Kwanini Eva hakushtuka alipoanza kusemeshwa na nyoka pale bustani ya Eden?

Nyoka na binadamu waliwahi zungumza wakaelewana haijawahi tokea maandishi ya kwenye vitabu vitakatifu ni fumbo ili kuelewa utulize akili.kumbuka chetani asili yake ni nyoka ila anauwezo kujibadilisha na kuwa kwenye muonekano wa binadamu.
Sio kweli. Nyoka ni nyoka na shetani ni shetani. Ndio maana shetani aliingia kwa nyoka.

Kuingia ni kumaanisha kwenda ndani ya kitu usichokuwa.
 
Bahati mbaya ni kwamba Adam na Hawa pamoja na nyoka walilaaniwa onthe sport lakini mr sheth akaachwa akipeta.
 
Kama Mungu alifahamu nyokaa au shetani ata washawishi wale tunda(maana yeye anafahamu sasa na yajayo). Ikiwaje akaweka mti wa tunda la kati. Iweje akawafukuza bustanini
 
Adam na Eve stories ni animistic tu kama Panya mabaka na genge lake

Sio tu Eva, upo mfano mwingine ambapo ukisoma Numbers 22 utaona kuna punda aliongea na kuna mtu alikuwepo na hakushtuka
Yule baalam alikuwa mchawimchawi hivyo alizoea hizo drama.
 
If this myth is anything to go by, wanawake na wanadamu kwa ujumla ni watu wa kuogopa sana. Nyoka alichofanya ni kutoa ushauri, hakumlazimisha mtu kitu, ila bado analaumiwa.
 
Bahati mbaya ni kwamba Adam na Hawa pamoja na nyoka walilaaniwa onthe sport lakini mr sheth akaachwa akipeta.
Shetani tayari yupo kwenye adhabu maana alishushwa kutoka mbinguni. Ni sawa na leo umchukue majaliwa umpeleke pale kwenye viwanda vya MO awe anafanya kazi ya laki na nusu kwa mwezi. Ni adhabu tosha.
 
Imagine nyoka alipewa akili kuliko binadamu. At the same time binadamu akapewa uwezo wa kutawala viumbe vyote.

Aliyekula tunda ni mtu (Adamu na Hawa) hawa wanyama wanaokufa walikosa nini
Kukitokea mapinduzi halafu vita ifuatie na watoto na wanawake wafe, je wanakuwa wamekufa kwasababu wana makosa?
 
Nyoka na binadamu waliwahi zungumza wakaelewana haijawahi tokea maandishi ya kwenye vitabu vitakatifu ni fumbo ili kuelewa utulize akili.kumbuka chetani asili yake ni nyoka ila anauwezo kujibadilisha na kuwa kwenye muonekano wa binadamu.
Ai ai, Shetan asili yake ni malaika tena ndie malaika mzuri kuliko wote, Biblia yenyewe inazungumza mambo hayo Mkuu.

Sent from my TECNO WX3LTE using JamiiForums mobile app
 
Mungu alimpa ADAMU UTAWALA juu ya viumbe vyote,so hapakuwa na kiumbe cha kumtisha kwani na alikuwa anawasiliana nao, kumbuka huu uwezo pia alikuwa na mfalme SULEIMAN
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…