Kwanini familia ya Kikwete inapendekeza mishahara kwa wake wa viongozi wakati tayari wengi wao wako serikalini?

Mimi mwenyewe nimeshangaa heading imebadilika wakati haikuwa na shida kabisa.
 
Kwa kweli mama Salma hapa alitukosea sana.

Hivi kwa mfano mama Salma ana shida gani ya pesa hadi akadai nyingine?

Mipesa ya ubunge anayo, mipesa ya mumewe, mipesa ya shughuli zake binafsi, halafu bado anataka nyingine?

Wakati mwingine tuweke masilahi ya umma mbele
 
Tatizo sio mpeleka hoja. TATIZO NI HAO WALIOIPITISHA HIYO HOJA. Wabunge ndio walaumiwe
 
Kikwete tena; wazo la salma kikwete km salma, lkn matusi anayavaa kikwete na familia yake......Pole sana mzee wetu.
 
Ridhiwani atakuwa rais 2030 ili aendelee kuchuma. Moende au msipende.
Asiyependa ama atakayependa ni wewe na nafsi yako.

Haujatubebea dhima ya mawazo ya Watz wote.

na wewe siye Mwenyezi Mungu wa kuliamulia taifa lipitie mkondo wa kutawaliwa na mtu gani.
 
Naunga mkono hoja
 
Duh..
 
πŸ“πŸ”ŠπŸ†’πŸ‘ŒπŸ‘πŸ‘ŒπŸ‘πŸ‘ŠπŸ€πŸ™πŸŽπŸ—ΌπŸ›‘οΈ
 
[emoji404][emoji344][emoji684][emoji108][emoji106][emoji108][emoji122][emoji109][emoji1666][emoji120][emoji320][emoji556][emoji2924]
Utakuwa unafaidi sehemu ya huu ufisadi wa awamu hii ya sita. Mawazo ya kipuuzi kabisa kwako ndio unayapigia vigelegele!.
 
Nyerere kama angewaona kina kikwete ni wahuni kwanini aliwaacha madarakani wakawa mawaziri huku aliona ? Unless na yeye alikuwa muhuni
Huyo nyerere hakuna anaweza kwepa lawama za nchii, kila kitu kilioriginate kutoka kwake
 
Mkuu acha chuki! Chuki haimuachi mwenye nayo salama!
 
Siku Mungu akituondolea huyu baba mwenye tamaa ya mali nchi itapona!! Yaani JK, Makamba, Kinana, Zito na Mbowe wakifa hii nchi itasonga mbele
Makojo
 
Inawezekana hata Nyerere alikuwa mhuni Ila uhuni wake haufanani na huyu Jamaa wa Msoga, mtu wa kujilisha na kujitwalia mema yote ya nchi na watu wake awapendao.
Hebu tujuzeni mabaya makubwa ya huyo bwana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…