Kwanini flyover Ubungo haimalizi tatizo la foleni?

Kwanini flyover Ubungo haimalizi tatizo la foleni?

Foleni haitaondoka mkuu. Itahamia kwenye hizo juction nyingine. Kumbuka barabara ya Morogoro imejengwa mara 5 ndani ya miaka 25 na mara zote inajengwa kuondoa foleni lakini foleni haiondoki. Planners wetu wajifikirie upya. Wanapoplan mradi mkubwa kama huu wafikiri miaka 50 au 100 ijayo siyo 5
Mkuu hatuna Hela ya kufanya iyo construction ya mipango ya miaka mia ama 50. Ivi Unajua ujenzi ulivyo gharama ama unausikia kaka/Dada. Miaka mia mtahitaji triliioni 80-150. Je , mnazo hizi Hela ndugu ama mihemuko.

Ujenzi ni kulingana na uwezo wako ama hata hujajenga Unajua ulivyo gharama.
Unaijua flyover from posta to chalinze ni bei gani.
MIE mnaongea tu nawacheki.yaani Iko ivi hao planners wanaweza sana sema ishu ni budget constraints. Utakomaa kuweka fence ya nyumba afu watoto wasiende shule. Mkuu hata miaka 500 inawezekana projection inafanyika maana traffic growth rate IPO. Ama hauelewi kuwa idadi ya magari yanayopita hapo hapo yanajulikana idadi na uwezo wa kuyajengea road inayoweza kuyabeba inajulikana sema sie ni masikini ama huwa huelewi mana ya nchi ya masikini kaka.


Nikuulize swali hivi Unajua ni kwa nini gharama ya Gari used/new in Japan gharama yake ni ndogo kuliko ushuru tunaoilipa TRA? Ukinijibu hili swali nitag please
 
Akili ya ccm planners ni fupi hazivuki urefu wa pua zao. Wao wamejenga flyover ubungo few meter toka hapo kuna junctions Shekilango, njia panda ya chuo, sinza na riverside. Walichofanya ni kuhamisha foleni. Sijui kama hata waliona hili
Toa ushauri....
 
Huenda hawajamaliza upanuzi wa barabara ila ni wazi kwa ramani hii wameamua tu kupunguza tatizo la foleni badala ya kulimaliza pamoja na kutumia billions za kutosha.
una uelewa wowote wa uhandisi?
hata mwendo kasi mlifungulia ma thread oo basi zitashusha vipi abiria wakati vituo vinasomeka kulia,kumbe mlikariri tu mabasii yatakuja na milango upande wa kushoto
subiri mradi ukamilike ndipo ulete tathmini yako
 
Naipongeza Serikali yetu kwa juhudi kubwa za kutuletea maendeleo ikiwemo kuboresha miundombinu yetu. Leo daraja la juu pia limefunguliwa kwa magari yanayotokea mwenge kuelekea Riverside lakini kinachonishangaza ni kwanini foleni bado ni kubwa sana kwa magari yanayotokea Kimara?

Huenda hawajamaliza upanuzi wa barabara ila ni wazi kwa ramani hii wameamua tu kupunguza tatizo la foleni badala ya kulimaliza pamoja na kutumia billions za kutosha.

Nachojiuliza walishindwa vp kuongezea bilioni zingine wakajenga kitu cha kuishi miaka yote kitakachomaliza tatizo? Na hii hali inajirudia pale mbezi mwisho licha ya mapesa mengi yanayotumika ila hakuna dalili za kumaliza tatizo la foleni sana sana ni kama foleni ya Ubungo wanaihamishia Mbezi Mwisho.

Tuna watu wanaofikiri sawasawa? Hawatembei nchi nyingine? Wakitembea huko hawajifunzi wenzetu wanafanyaje?
Nini wangefanya ili kumaliza kabisa foleni ...ushauri wako
 
Watz tukiitwa washamba na malimbukeni ni kwasababu hua tunajifanya tunajua sana kila kitu...mtu unabisha ile sio flyover haya ni nn basi?ni daraja la juu ilmradi magari yanavuka bila kusubiriana ...Na katika miji yote mikubwa duniani jenga daraja kila intersection foleni haiishi inapungua tu...tuache tabia yakujifanya kila kitu tunajua ilihali hakuna unalojua
 
Watz tukiitwa washamba na malimbukeni ni kwasababu hua tunajifanya tunajua sana kila kitu...mtu unabisha ile sio flyover haya ni nn basi?ni daraja la juu ilmradi magari yanavuka bila kusubiriana ...Na katika miji yote mikubwa duniani jenga daraja kila intersection foleni haiishi inapungua tu...tuache tabia yakujifanya kila kitu tunajua ilihali hakuna unalojua
Shida everything is being politicized. And most of naysayers don't even take time to research their claims.

Matokeo yake tunaonekana taifa la ujuaji mwingiiii mbele giza.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Daraja limejemeuengwa kupunguza foleni juction ya ubungo na mpaka sasa foleni imepungua ukilinganisha na wakati kuna taa japokua ujenzi haujakamlika kama foleni imehamia kwingine ila suala lingine ila ubungo foleni imepungua
Yes. Foleni itapungua kwa kiasi fulani.
 
''Nonsense''

Unaongea kama si mkazi wa muda mrefu wa hayo maeneo unayoyataja ... In short, kwa mega city kama Dar, kwa sasa hayo maeneo yote uliyoyataja hayana foleni na utaratibu uliopo ni mzuri.

Umewahi kupita mida ya 0800h - 1700h? Hali ipoje?

Hali ni nzuri sana na hakuna foleni.
Kusema hakuna foleni ni kutia chumvi. Maneno sahihi ni foleni imepungua.
 
Kusema hakuna foleni ni kutia chumvi. Maneno sahihi ni foleni imepungua.

Kama hii ya sasa hivi unaiita foleni iliyopungua then ile ya wakati wa ujenzi utaiita nini? Just live with it, hii ndio foleni ndogo sana utakayoiona katika haya maeneo katika kipindi hiki, siku zinavyokwenda itazidi kuongezeka, so enjoy as it last.
 
Shida everything is being politicized. And most of naysayers don't even take time to research their claims.

Matokeo yake tunaonekana taifa la ujuaji mwingiiii mbele giza.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Naam nadhan iyo ndio inayoleta haya yote...
 
Pale mfugale kama unatoka airport kuelekea mjn unapita juu no jam and vice versa...Kabla ya daraja pale ilikua umewah sana kuvuka ni saa moja lakin bado kuna watu wanatema mashudu wacheni izo
 
Pale mfugale kama unatoka airport kuelekea mjn unapita juu no jam and vice versa...Kabla ya daraja pale ilikua umewah sana kuvuka ni saa moja lakin bado kuna watu wanatema mashudu wacheni izo
Watakwambia foleni ipo VETA
 
Back
Top Bottom