Kwanini frame za Sinza Kodi ipo juu Lakini sioni muingiliano wa watu madukani?



Hao wanaolipa kodi wanapata kwa wateja, biashara ni mbinu
 
Msisahau kinondoni napo, nilikua naishi kule kilichonishangaza Ni kukuta duka la nguo lipo Waz mpk saa Tisa za ucku aisee,ndan mule Ni vijana wadogo na vibinti ndio wanaoshindshwa mule kutwa ucku kucha kuuza sura, la hasha nilipata wazo nkashtuka kutakua na illegals kadhaa znaendeshwa site zle
 
Mkuu elewa hata nguo zinazouzwa sinza bei ni tofauti kubwa na kariako.


Wenye pesa zao hawana muda kuingia kariakoo kupigana vikumbo na wamachinga bali wanaenda kununua Sinza, hivyo pango linalipika kirahisi tu
 
Mimi nilishawahi kuwa na frem Kijitonyama na Kinondoni. Mwanzoni nilikuwa nachanganyikiwa kinoma kwa sababu vidada vidogo tu vina viduka vya nguo lakini wanaishi maisha expensive. Hata vijana wa kiume utakuta anafanya kazi saluni ila maisha yake ni ghali. Siku nimekuja kujua hawa washenzi ni wa kuwapuuza ni siku nimeenda China kwa mara ya kwanza miaka kama mitano iliyopita. Kwenye hotel niliyofikia kuna wadada wawili toka Sinza nao walikuwa wamefikia hapo. Kumbe wale walikuwa wanajiuza karibu muda wote wanaokuwa kule. Ikibaki kama siku 3 visa iishe muda ndo wananunua vimzigo vya kuzugia. Huku bongo wanajua fulani alienda China kufunga mzigo. Pia utakatishaji wa pesa Dar ni kufuru. Magu alidhibiti kumtindo ila hakuweza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…