Yaan mkuu umenichekesha haswa..πππ...kwa hyo wamekuudhi kwenye bei ya samaki... dah saf sana binafsi napenda sana samakiDodoma ni mji wa gharama utakuja kuvunja rekodi hapo ...Hali ya ule mji utakuwa zaidi ya Dar hawana uzalishaji hata mazao ya kilimo...Kila kitu wanaagiza mkoani Dodoma samaki ni bei sana
Kaa kimya kama hujui unachosemaHivi kwel kodi ya laki saba ndio unatupigia makelele humu...ww sio mfanyabiashara ni bora ukae kimya....hao ni machinga...unajua maana ya kilemba ww..?
Sema wwKaa kimya kama hujui unachosema
Kuna machinga analipa 700K kama kodi ya pango???Sema ww
Wewe Binti tulia basiPeleka upuuzi wako huko...kwa hyo umeniajiri?
Dogo hatukutaki huku baki huko huko international forum uwatetetee mabwana zako miarabu, miajemi na mirusi.Umeuliza halafu ukajijibu kwahio tuendelee kuchangia ama muafaka ushaujua boss
Ila kama kweli inatia huzuni na simanzi sana
Hahaha GT banaWewe haupo Dodoma kikazi bali na wewe ni mfanyabiashara kwenye hizo fremu.
Over framing ππNipo dodoma kikazi ila ninachojionea ni balaa ,
Fremu nyingi zinafungwa na watu wameshindwa biashara,
Najiuliza tatizo ni nini , Nilijaribu kuuliza baadhi ya wadau , wengi wameniambia Cha kwanza bei za fremu ,
Utakuta fremu dodoma Hadi laki 7 ukija hizo Kodi za kufanya biashara mji huu ni utitiri wa Kodi , ambazo hazina kichwa wala miguu
Naomba viongozi wa Jiji la dodoma fatilieni hili swala , Pana haha Gani mtu alipe TBS ,tra, mzani , bibi afya, usafi , mzani ,mlinzi,fire,
Jamani uongozi wa Jiji la DODOMA mnaumiza wafanyabiashara ,
Naomba wenye mamlaka ingilieni kati,
Hii inafanya bidhaa dodoma kuwa kubwaa mno , inafanya watu kuishi dodoma ni changamoto
Lakini Kodi gani hizo ambazo ziko Dom pekee?Nipo dodoma kikazi ila ninachojionea ni balaa ,
Fremu nyingi zinafungwa na watu wameshindwa biashara,
Najiuliza tatizo ni nini , Nilijaribu kuuliza baadhi ya wadau , wengi wameniambia Cha kwanza bei za fremu ,
Utakuta fremu dodoma Hadi laki 7 ukija hizo Kodi za kufanya biashara mji huu ni utitiri wa Kodi , ambazo hazina kichwa wala miguu
Naomba viongozi wa Jiji la dodoma fatilieni hili swala , Pana haha Gani mtu alipe TBS ,tra, mzani , bibi afya, usafi , mzani ,mlinzi,fire,
Jamani uongozi wa Jiji la DODOMA mnaumiza wafanyabiashara ,
Naomba wenye mamlaka ingilieni kati,
Hii inafanya bidhaa dodoma kuwa kubwaa mno , inafanya watu kuishi dodoma ni changamoto
YesSasa turudi nyuma kwenye hizo familia za wafanyabiashara ni lazima kuna mwana familia wa kwanza kabisa kuanza kufanya biashara kisha ndio wengine wakafuatia. Hoja yako aina mashiko.
Leta business plan Yako tuione hapa,Mkuu nina ofisi mbili mkoani...moja nalipa laki nane kwa mwez na nyingine nalipa laki tano kwa mwezi...ukibisha njoo inbox nakupa na receipts kabisaa...yaan ukishindwa umeshindwa wewe...
Fungua danguro, massage parlourUfafanuzi kidogo, Hapo kwenye ngono tunawekezaje?
Waheshimiwa huko wanapenda sana chini.....Dom ngono na pombe anachosema muhusika ni kweli even appartment,na nyumba za kupanga saizi zipo nyingi sana ushindwe ww tu
Bongo yote biashara ni ngumu kwa sasa ,mzunguko wa pesa upo chini vibaya mnoSiyo Dodoma tu ni Nchi nzima