DOKEZO Kwanini fremu Dodoma zinafungwa sana na biashara kufa kila uchwao?

DOKEZO Kwanini fremu Dodoma zinafungwa sana na biashara kufa kila uchwao?

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Nipo dodoma kikazi ila ninachojionea ni balaa ,

Fremu nyingi zinafungwa na watu wameshindwa biashara,

Najiuliza tatizo ni nini , Nilijaribu kuuliza baadhi ya wadau , wengi wameniambia Cha kwanza bei za fremu ,

Utakuta fremu dodoma Hadi laki 7 ukija hizo Kodi za kufanya biashara mji huu ni utitiri wa Kodi , ambazo hazina kichwa wala miguu

Naomba viongozi wa Jiji la dodoma fatilieni hili swala , Pana haha Gani mtu alipe TBS ,tra, mzani , bibi afya, usafi , mzani ,mlinzi,fire,

Jamani uongozi wa Jiji la DODOMA mnaumiza wafanyabiashara ,
Naomba wenye mamlaka ingilieni kati,

Hii inafanya bidhaa dodoma kuwa kubwaa mno , inafanya watu kuishi dodoma ni changamoto
Mji wenyewe umekaa kiboya afu wanajikuta

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Na operate law firm nilikodi ofc space mjini kwa 400k per month and still ninalipa makazi 350k kwa mwezi at Kisasa. Nikaona upuuzi, nikarudisha ofc space na kuhamishia ofc nyumbani kwa kugeuza sebule kuwa ofc....the good thing is kuna siku naingia ofcn nikiwa nimevaa boxer [emoji1]
Kama hizo ndio bei zipo ujue kwamba soko lipo na kama halipo bei zingeshuka zenyewe 🤪🤪 Kwa sababu soko ndio huamua
 
Naam, na wengi wanauza majengo waliyojenga wakitarajia wangepangisha.

Uchumi wa Dodoma ni wa kisiasa, hauna mizizi kwenye jamii, watu hawana hela. Halafu hata bei ya vitu vingi ni inflated.

Siku ujenzi wa majengo ya serikali ukifikia mwisho, wale wafanyakazi wakaondoka, Dodoma ijiandae kwa pigo jingine.

Serikali iangalie namna ya kuibalansi Dodoma kiuchumi, coz hata wakazi wa asili wa Dodoma ni kama wamekumbwa tu na tukio, hawakujipanga
Kinachoitwa uchumi wa kisiasa sijui hauna mizizi labda mtueleze ndio uchumi gani huo.

Kama ulizoea mzunguko wa Dar kwenye watu mil.4 ndio uje ulete Dom yenye watu 800k utakuwa huna akili.

Mwisho unachokiona Sasa Dom kuanzia kule Mji wa Serikali nk ndio kwanza hata nusu ya majengo ya taasisi Bado.

Mfano Yale majengo ya Wizara ni awamu ya kwanza,Kila Wizara Bado majengo 2 zaidi maana plan nimekuwa na majengo 3 Kwa Kila Wizara so Dom haipoi Leo Wala kesho.

Mji utazidi kukua huo,hapo ni 40% tuu ya mhitaji ya kiserikali yamekamilishwa maana hata basic miundombinu Bado ikiwemo airports,masoko na stendi za daladala.
 
Nipo dodoma kikazi ila ninachojionea ni balaa ,

Fremu nyingi zinafungwa na watu wameshindwa biashara,

Najiuliza tatizo ni nini , Nilijaribu kuuliza baadhi ya wadau , wengi wameniambia Cha kwanza bei za fremu ,

Utakuta fremu dodoma Hadi laki 7 ukija hizo Kodi za kufanya biashara mji huu ni utitiri wa Kodi , ambazo hazina kichwa wala miguu

Naomba viongozi wa Jiji la dodoma fatilieni hili swala , Pana haha Gani mtu alipe TBS ,tra, mzani , bibi afya, usafi , mzani ,mlinzi,fire,

Jamani uongozi wa Jiji la DODOMA mnaumiza wafanyabiashara ,
Naomba wenye mamlaka ingilieni kati,

Hii inafanya bidhaa dodoma kuwa kubwaa mno , inafanya watu kuishi dodoma ni changamoto
Tanzania huwezi kufanya biashara kwa kufuwata sheria halafu hiyo biashara ikaja ikakuwa. Ili biashara yoyote Tanzania ikuwe lazima kwanza ujuwe kukwepa kodi au uwe karibu na serikali ya ccm ili msaidiane kuibia watu.
 
Dodoma ni mji wa kiserikali si mji wa kibiashara. Ukitaka biashara nenda Dar. Kunawakati eti Dodoma ilikusanya kodi kubwa kuliko dsm, dsm wakalumiwa kwa uzembe. Mimi nilisema hili tukio la uda mfupi tu soon dar itarejea kwnye sehemu yake.
Kwa waliokwenda dodoma kufanya biashara walipaswa kujua kuwa biashara hiyo ni ya muda mfupi tu, piga hela then rudi dsm uendeleza biashara yako halisi
Haijawahi kutokea na haitokaa itokee Dodoma ikusanye pesa kuliko Dar. Dom kama mkoa inazidiwa na wilaya za Ilala na kinondoni kila moja ikisimama kivyake. Huo mwaka walilinganisha asilimia siyo kiasi.
 
Safi sna hi Ni hoja Kali San

Mm pia Niko ddm jiji juzi kati nilikwenda kutembelea fremu fln HV maeneo ya nzuguni Kisha nikatembee mbele kidg kucheki zingjne ambazo niliwahi kuomba kupanga tokea mwezi wa Feb 2023 ila mpka leo hazijapata mpangaji Hadi Leo

Na moja nilikuwa namuona mtu anauza samaki na kuku hapo Happ nzuguni boda nae kafunga

Sass ajabu nikauliza Bei za fremu hzo nikaambiwa Ni laki nne [emoji23] na Kuna mtu kalipia kafungu duka la nyumbani na kuweka vikorokor vidogo Sana yenye thamani ya milion moja inafikirisha sna najiuliza anawezaje kulipa Kodi ikiqa hata mtaji wake tu Ni pungufu


Hzi Ni fremu zilizoko nzuguni boda Bei zake Ni laki 400k kwa mwezi View attachment 2895341
IMG_20240128_141151_6.jpg
 
Nipo dodoma kikazi ila ninachojionea ni balaa ,

Fremu nyingi zinafungwa na watu wameshindwa biashara,

Najiuliza tatizo ni nini , Nilijaribu kuuliza baadhi ya wadau , wengi wameniambia Cha kwanza bei za fremu ,

Utakuta fremu dodoma Hadi laki 7 ukija hizo Kodi za kufanya biashara mji huu ni utitiri wa Kodi , ambazo hazina kichwa wala miguu

Naomba viongozi wa Jiji la dodoma fatilieni hili swala , Pana haha Gani mtu alipe TBS ,tra, mzani , bibi afya, usafi , mzani ,mlinzi,fire,

Jamani uongozi wa Jiji la DODOMA mnaumiza wafanyabiashara ,
Naomba wenye mamlaka ingilieni kati,

Hii inafanya bidhaa dodoma kuwa kubwaa mno , inafanya watu kuishi dodoma ni changamoto
mji mkuu kwa sasa ni DSM
 
Back
Top Bottom