george aloyce
JF-Expert Member
- Aug 22, 2017
- 1,302
- 2,023
- Thread starter
- #161
Endelea kukalili tumji mkuu kwa sasa ni DSM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Endelea kukalili tumji mkuu kwa sasa ni DSM
Kila sehemuNi Tanzania nzima
Juzi nimeulizia praizi wameniambia 10000 bila aibu kabisaDodoma vitu ghali sana halafu vya kawaida sana.
Tatizo la dar Nako biashara kuigana sanaDar Es Salaam Watu Wanarudi Taratibu
Hata dar ni hivohivoDodoma na Chato ni Miji ya kisiasa,Upepo umebadirika wafanyabiashara wanahangaika.
KabisaaMkitajiwa baraka mnafurahi sana si mme amriwa [emoji848]
KabisaaMbna mm naona mtelezo tu ukiqa mbunifu ddom kutoba Ni faster sana
Tunasubili mazuri hukoKinachoitwa uchumi wa kisiasa sijui hauna mizizi labda mtueleze ndio uchumi gani huo.
Kama ulizoea mzunguko wa Dar kwenye watu mil.4 ndio uje ulete Dom yenye watu 800k utakuwa huna akili.
Mwisho unachokiona Sasa Dom kuanzia kule Mji wa Serikali nk ndio kwanza hata nusu ya majengo ya taasisi Bado.
Mfano Yale majengo ya Wizara ni awamu ya kwanza,Kila Wizara Bado majengo 2 zaidi maana plan nimekuwa na majengo 3 Kwa Kila Wizara so Dom haipoi Leo Wala kesho.
Mji utazidi kukua huo,hapo ni 40% tuu ya mhitaji ya kiserikali yamekamilishwa maana hata basic miundombinu Bado ikiwemo airports,masoko na stendi za daladala.
Duu aisee laki nne na watu hamna kabisaa , yaani unachoma pesa hapoSafi sna hi Ni hoja Kali San
Mm pia Niko ddm jiji juzi kati nilikwenda kutembelea fremu fln HV maeneo ya nzuguni Kisha nikatembee mbele kidg kucheki zingjne ambazo niliwahi kuomba kupanga tokea mwezi wa Feb 2023 ila mpka leo hazijapata mpangaji Hadi Leo
Na moja nilikuwa namuona mtu anauza samaki na kuku hapo Happ nzuguni boda nae kafunga
Sass ajabu nikauliza Bei za fremu hzo nikaambiwa Ni laki nne [emoji23] na Kuna mtu kalipia kafungu duka la nyumbani na kuweka vikorokor vidogo Sana yenye thamani ya milion moja inafikirisha sna najiuliza anawezaje kulipa Kodi ikiqa hata mtaji wake tu Ni pungufu
Hzi Ni fremu zilizoko nzuguni boda Bei zake Ni laki 400k kwa mwezi View attachment 2895341View attachment 2895342
Ishawai kutokea kipindi Cha jiweHaijawahi kutokea na haitokaa itokee Dodoma ikusanye pesa kuliko Dar. Dom kama mkoa inazidiwa na wilaya za Ilala na kinondoni kila moja ikisimama kivyake. Huo mwaka walilinganisha asilimia siyo kiasi.
Kabisa aiseeTanzania huwezi kufanya biashara kwa kufuwata sheria halafu hiyo biashara ikaja ikakuwa. Ili biashara yoyote Tanzania ikuwe lazima kwanza ujuwe kukwepa kodi au uwe karibu na serikali ya ccm ili msaidiane kuibia watu.
Kabisa mkuuNimekwambia Serikali inajenga Dodoma Kwa sura zote 2 yaani kuwa Mji wa kiserikali na Mji wa biashara.
Ndio maana Kilimo Cha Umwagiliaji kinaletwa,viwanda vinahimizwa,logistics cetre zinawekwa ,na mambo kama hayo yanayovutia wawekezaji ikiwemo uchimbaji nanuchenjuaji Madini,arenas nk
Ila kweliKama hizo ndio bei zipo ujue kwamba soko lipo na kama halipo bei zingeshuka zenyewe [emoji2957][emoji2957] Kwa sababu soko ndio huamua
One day mambo yatakua shwalikiserikali mafanikio yapo ila kibiashara bado mji unachechemea.
Umetumia akili sana aiseeeNa operate law firm nilikodi ofc space mjini kwa 400k per month and still ninalipa makazi 350k kwa mwezi at Kisasa. Nikaona upuuzi, nikarudisha ofc space na kuhamishia ofc nyumbani kwa kugeuza sebule kuwa ofc....the good thing is kuna siku naingia ofcn nikiwa nimevaa boxer [emoji1]
Kwahyo km family yako haijawahi kufanya biashara hutakiwi ww kufanya biashara sindio?basi sawaMkiambiwa biashara ni mfumo mnabisha...biashara sio ya kila mtu...yaan unakuta familia nzima hamjawah fanya biashara afu unajipendekeza lazima uchochore haswa...
Serikali naamini itatatua changamoto zoteUkisema mzunguko wa pesa ni mdogo unakuwa hujui unachoongea.Moja ya kiashiria Cha mzunguko.mkubwa wa pesa ni kuongezeka Kwa gharama za maisha hasa kwenye miji lakini mda huo huo Kasi ya ujenzi inazidi kuwepo.
Maisha ya Sasa yanahitaji ubunifu na sio traditional methods.
Wakati wewe unadai mzunguko hakuna na maisha magumu ila mtaani Kasi ya ujenzi ni kubwa sana hasa Private sector,Mabenki na bima wanapata faida hazijawahi tokea, biashara zinafunguliwa nyingi kuliko wanaoshindwa.
Just imagine kama mzunguko ni mdogo yet Utalii, uwekezaji na Ajira hazikauki wewe unaona uko sawa?
Ndio hivo tenaHahaha nyie watu hamuishiwi vituko. Nimebaki kucheka tu kwa sauti.
Hua wanazingua sanaBei za fremu nizakipumbavu mno, wana wa charge kama kariakoo wakati dodoma mzunguko wa biashara ni mdogo mno.