Kwanini hakukuwa na Manabii/Mitume Waafrika (watu weusi)?

Mwamposa si Mtume na nabii pia.

Hawa sasa M/MUNGU ndio katuletea kwa kigezo cha malipizi kwa kipindi kile aliwapa watu wa MABARA ya mbali huko now ameona hatuzawadie hawa tatizo lao hawana mifumo tu wanaenda enda tu
 
Yohana, Luka, Amosi, matendo, mathayo daudi, esta, yesu, yakobo,yuda Maria, yusufu, abeli, Musa, hayo majina yote yana asili ya kibantu kijana jiongeze wewe
 
Yohana, Luka, Amosi, matendo, mathayo daudi, esta, yesu, yakobo,yuda Maria, yusufu, abeli, Musa, hayo majina yote yana asili ya kibantu kijana jiongeze wewe

Haya majina tumebatizwa majuzi kati hapo majina yetu ni... Mgoso, Mogera, kipingu, pinda, nyandamira, pwagu achana nayo hayo yakubatizwa hayo MZEE “JEIPM
 
Hawa sasa M/MUNGU ndio katuletea kwa kigezo cha malipizi kwa kipindi kile aliwapa watu wa MABARA ya mbali huko now ameona hatuzawadie hawa tatizo lao hawana mifumo tu wanaenda enda tu
Daaah [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Rudia Kusoma Historia Human Ancestors wote wametokea pamoja na walianzia Africa na kufanya migration sehemu tofauti...

Kuhusu hizo za imani chagua unachoamini wewe binafsi Kama ni kutokea Asia utaamini walikuwa wa-Asia Afrika utaamini walikuwa waafrika (mizimu ya babu zetu) kama ni hizi Imani zilizokuja na Meli kutoka originally from Arabic countries na Israel / Palestina basi utaamini unavyoamini wewe...
 

Hii tulikuwaga nyani/sokwe nayo walituwekea kwenye kile kitabu tukaanza kubadilika kwa hatua zao walizotupangia sasa mbona wanatusomesha uongo updates
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…