Kwanini hakukuwa na Manabii/Mitume Waafrika (watu weusi)?

mungu anawajua viumbe vyake na akili alizowapa. wafrika wangepewa unabii wangekuwa na tamaa ya pesa kuliko kufikisha maneno ya mungu na wangekuwa wazinifu sana. ona tuna manabii feki kanisani angalia wanavyopiga pesa kwa udanganyifu. au ujiulize kwanini wafrica hawatengenezi silaha au magari au tecnology yoyote mpaka tuwategemee watu weupe jibu hapo tu usiende kwenye mitume na manabii
 

Wanatupiga pesa.. alaf sisi sisi ndio tunawapa wenyewe.. MIUJIZA NINI?
 
Nlijua tu lazima ushindwe kujibu hili swali sababu ulichoongea hapo awali hukijui. Hivi Unataka utuaminishe wao hawaimport vitu kutoka kwetu kama Nyama, Asali? n.k vitabu,barghashia hata huku vinatengenezwa bila kufuata uarabuni.. Sasa nambie vitu wanavyonunua kutoka kwetu unamaanisha tumewatala?
 
Hamna point strong hata moja! Kuhij Ni Mara ngapi kwa mwaka?

Hujui Kama kuna maeneo mf. West Africa uislamu ukiingia kabla ya ukoloni Wala utumwa?

Points zako zngne sjazielewa mkuu
 
Mwanadamu wa kwanza nimmtu mweusi. Generation ya kwanza ya dunia ninwatj weusi hizo race nyingine zote zilifuata baada, so kusema hakujawahi kuwa na manabik weusi sio kweli.

Timeline ndio inatuchanganya watu kila race ilishawahi kuwa kwenye prime yaani top of civilization, hiki kwa sasa tunaonekana African tunasuffer ni kutokana na primetime yetu ilipita zamani sana.

kwa sasa tunaweza kutrace Africans primetime kupitia egypt( egpyt yote walikuwa waafrica na hiyo North Africa zamani ilikuwa inakaliwa na Africans, waarabu ni wahamiaji tuu.

Kuna hushahidi hata jews walikuwa blacks na sio hao jews tunawasoma kwenye vitabu.

Sasa kama race ya kwanza alikuwa mtu mweusi kwa nini kwenye vitabu hatutajwi, yaani sisi ndio watu wa mwanzo halafu tusiwe na (spiritual knowledge). Kuna namna vitabu vya sasa vimevheza na majina na race kujipromote wao zaidi kwa sababj za kimaslahi.
 
Swali jepesi sana hili na tayari limeshajijibu lenyewe.

Simple hakuna mitume ya kiafrika sababu dini hazikuanzishwa na waafrika wala chimbuko lake sio afrika.
Hawa waarabu na wazungu au watu weupe walikuja afrika na kuwabambikiza hizo dini.

Simple and Clear haihitaji akili kubwa.
 
Hamna point strong hata moja! Kuhij Ni Mara ngapi kwa mwaka?

Hujui Kama kuna maeneo mf. West Africa uislamu ukiingia kabla ya ukoloni Wala utumwa?

Points zako zngne sjazielewa mkuu
Wewe nenda kapitie Tena makabrasha Uislam west Africa ulienezwa kwa upanga,historia ipo wazi!
 
hawezi kuelewa,huyo ashakua Trapped na foreigner religions hasa kutoka middle east na hatakubaliana naukweli amekua brain washed!
 
Sidhan kama kwenye maandiko wametaja ngozi za watu. Hata kuumbwa kwa adam na eva hawakutaja ni weupe au weusi. Hizi issue za race zinaleta confusion tu. Kuhusu picha za Yesu mweupe hata mweusi yupo.

Mimi siamini kuhusu ngozi naamini kuhusu maandiko matakatifu ambapo naona yeyote mwenye imani yampasa hivyo.
 
Nikisahihishe kidogo chief, Yesu alizaliwa Bethlehem ya Yudah sio Nezareth.Ilikuwa ni nchi ya Yuda na ilikuwa imetabiriwa hivyo,angezaliwa eneo tofauti na Nchi ya Yuda unabii usingetimilika.
Petro alikuwa wa kwanza kuhubiri kwa watu wa mataifa lakini hakuendelea sana na hiyo role.Paulo ndio alibeba role na title ya Mtume wa mataifa.
Yesu umemwelezea kana kwamba alikuwa Nabii,Yesu hakuwa na Nabii,meseji yake haikuwa ya kinabii.Yesu ni Mungu.

Na ishu ya kutokuwepo na Mitume na Manabii weusi kipindi cha Biblia nafikiri inatokana na fact kuwa Waisrael sio weusi.Story yote ya ukombozi wa mwanadamu ilianzia Israel,kutokea kwa Abaraham(ambaye kimsingi hakuwa nabii wala Mtume) mpaka Paulo na mitume wengine.It was always someone from Israel and since Israelites wasnt black people there was no chance of Black Prophets or Apostles.
 

Utapanda ndege ukaangalie makumbusho na kusimuliwa historia jelusalemu , islael, macca, madina na ukienda huku utaonyeshwa mpaka nyumba na vitanda walivyolalia..tufanye walikuwa weusi lakini sio waafrica sawa..sisi tunaenda kumuangalia firauni na mapiramid MISRI .. nilichotaka kuhoji ni kwamba historia ya manabii na mitume ipo sema hawajaiweka kwenye vitabu tunavyovifuata na kuviamini.. kama wewe unaingiaga misa ya kingereza sawa
 
Alaf muelewe walikuja kufanya biashara tu ya ubabe..
 
Ezekieli Samweli Samson Walikuwa Weusi
Hamna mweusi hapo,

Ezekiel alikuwa Priest wa kabila la Kilawi lakini kwa sababu wakati wa yeye kuanza kufanya kazi za kikuhani ulipofika alikuwa Uhamishoni Babeli Mungu akampa jukumu la unabii, jamaa ni descendants wa Mtoto wa Yakobo Lawi,muisrael Pure.

Samson hakuwa nabii wala mtume,yeye alikuwa mwamuzi wa mwisho wa Israel ambaye story yake iliishia kwa yeye kutobolewa macho kama ambavyo story ya Mfalme wa mwisho wa Israel (Zedekiah) alitobolewa macho.(Kuna cha kujifunza hapa)

Samwel pia hakuwa nabii, alikuwa Kuhani na aliishi hekaluni hivyo ni wazi kuwa alikuwa ametoka katika kabila la Lawi ambalo kama nilivyosema hapo awali ni descendants wa Lawi mtoto wa Yakobo.
 
Leo hii tuna mitume na manabii kibao ambao ni weusi lakini bado tunawakataa na kuwapinga, sasa enzi hizo hata wangekuwepo (na huenda walikuwepo) nani angewakubali?
 
Nimejibu hili ila ngoja nikujibu na wewe personally.(Nitajibu kama Mkristu)

Taifa la watu wa Israel kiasili sio watu weusi.Ni weupe ambao wanaasili ya kiarabu.Ingawa palikuwa na mchanganyiko wa watu weusi wachache kutoka Ethiopia(Cush) hawa hawakuwa sehemu ya meseji ya ukombozi wa mwanadamu kama ambavyo tunatambua Mungu alichagua taifa la Israel kiwa taifa teule na kupitia taifa hili watu watamjua yeye na Ukombozi utapatikana.

Kwa mantiki hiyo basi manabii na mitume wote kwa sababu ni descendants wa Yakobo yaani watoto 12 wa Yakobo na kiasili ni weupe hivyo sio kitu cha kushangaza wote wakiwa weupe.

Pia sio kila jina la kitabu la kwenye Biblia linawakilisha Nabii au Mtume kuna vitabu kadhaa vimeandikwa lakini waandishi wake hawayambuliwi kama manabii au watume.Nitakupa mifano kadhaa,

Musa hakuwa nabiii wala mtume
Joshua hakuwa nabii wala mtume
Waamuzi wote wakijumuishwa na Samson hawakuwa manabii wala mitume
Samweli alikuwa Kuhani tu hakuwa nabii wala mtume.
Hata Daudi pamoja na kuandika kwake Zaburi hakuwa nabii wala mtume,wakati wa Daudi ujume wa kinabii alikuwa anaupata Kwa Nathan.
Solomoni hakuwa nabii wala mtume

Hii List ni kubwa sana kwa hiyo tujifunze namna ya kuwatofautisha hawa watu.

Pia sio tu hakuna Nabii au mtume mweusi,hapakuwa hata na nabii mchina au muhindi.

Hoja yako ya mwisho kabisa kuhusu nyani ni ya kuachana nayo hakuna kitu cha namna hiyo.Binadamu alianza kama mtu kwa kuumbwa.
 
Waafruca tunataguta validation kwenye uislam au ukristo, lakini hii dunia ina dini kibao sababu dini ni mila na desturi tamaduni za watu fulani, sababj ya brainwashing ya mzunfu na mwarabu tuna amini lazima huwe muislam au mkristo.

Sasa ni kulazimisha tuu kufit kwenye history book za jamaii za Bible na quaran ni history book, hata ukienda asia utakuta nao wanavitabu vyao, sababu ya strong culture hawana hii inferior na misinformation tunayogace sisi waafrica, ushamuona mchina analalamika kwanini Bible haijamtaja. Bible wanazungumzia timeline yao na baadhi ya matukio kidogo kabla yao same Quran watazungumzia waliopita hila ziadi life ya muhamad, wewe haupo kwenye hiyo timeline na hayo matukio.

In short haupo ukitaka kushiriki shiriki tuu kama spiritual knowledge so far mwanadamu nahitajj lakini usitafute kukubalika au uhalali wa kuwepo aua kutajwa kwenue vitabu au historia ya jamii isiyokuhusu, hata wazungu hawapo kwenye Quran wala Bible na wala hwalalamiki na life linasonga.
 

Kwani huwasikii akina Mtume Mwamposa sijui Na wengine huko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…