Kwanini hakukuwa na Manabii/Mitume Waafrika (watu weusi)?

Kwanini hakukuwa na Manabii/Mitume Waafrika (watu weusi)?

Hakika tumetengwa sana.. na naweza kuamini hawa mitume na manabii waliojaa AFRICA ni malipizi na sisi WAAFRICA tujidai na kujipambanua sema tatizo manabii na mitume yetu inazingua sana au kwa vile wamekuja zama moja kwa mpigo kwa wingi sana
Hivi hawa mitume na manabii "wajasiria dini" aina ya gwajiboy, unawaweka kundi la mitume wa kwenye vitabu vitakatifu?

Mbona unaleta mkanganyiko usio wa lazima kwenye mada?
 
Poleni na mizunguuko ya dunia na karibuni

(1) Kwanini hakukua na nabii au mtume MWAFRICA

(2) Nini M/MUNGU ametuficha au kuna baadhi ya mataifa ambayo sio ya AFRICA yametuficha vitu sisi Waafrika

(3) Au hawa manabii na mitume wa sasa wa AFRICA M/MUNGU ametuletea kama malipizi na sisi tupate manabii na mitume kama ni kweli mbona hatuwasikilizi tunawadhalau na wao mbona wanaonekana kama wanaongoza ibada zao kwa tamaa na mambo yasiyo sahihi KIUUNGU

(4) Labda kwa kigezo cha AFRICA tumepewa mali wao wamepewa akili; hapana hata wao mali wanazo tena nyingi kuliko zetu na bado wanakuja kuvuna mali AFRICA

(5) Na mbona wanasema binaadamu wa kwanza mwafrica alikuwa nyani.. na wao hawakuwa nyani mbona hiko kizazi cha nyani cha mwafrica akiendelei au waliwakusanya wale nyani wote waliokuwa wanageuka au wanazaa binadamu wakawaua KUNA HAJA YEYOTE YAKUENDELEA KUTUMIA VITABU(PROTOCOL) AMBAVYO HAVINA MSINGI NA VINA HISTORY MBAYA WALIOPAKAZIWA WAAFRICA..

Mpendwa wenu katika ujenzi wa taifa
Hakuna dini inayofuatwa iliyoanzishwa na mtu mweusi
Hakuna dhehebu la kiafrika
Yesu hakuwa mtu mweusi
Mtume hakuwa mtu mweusi
Hela zinazoendesha dunia au kujulikana siyo za mtu mweusi
Binadamu anayeendesha dunia ni mtu mweupe mwanaume
 
Kama kuna anayejua.. atuelezee.. wale wanafunzi wa YESU 12-mitume yesu aliwaagiza watawanyike kwenda kufundisha/kulitangaza NENO ..JE? Kuna aliyefika AFRICA na kama walifika AFRICA walifikia mji gani? na atupe mchanganuo mzuri please [emoji1431]
 
Leo hii tuna mitume na manabii kibao ambao ni weusi lakini bado tunawakataa na kuwapinga, sasa enzi hizo hata wangekuwepo (na huenda walikuwepo) nani angewakubali?

Hawa wana kosa kwanza kujiita mitume na manabii.. wangetafuta wadhifa mwingine tu hata (USPIKA)
 
Nimejibu hili ila ngoja nikujibu na wewe personally.(Nitajibu kama Mkristu)

Taifa la watu wa Israel kiasili sio watu weusi.Ni weupe ambao wanaasili ya kiarabu.Ingawa palikuwa na mchanganyiko wa watu weusi wachache kutoka Ethiopia(Cush) hawa hawakuwa sehemu ya meseji ya ukombozi wa mwanadamu kama ambavyo tunatambua Mungu alichagua taifa la Israel kiwa taifa teule na kupitia taifa hili watu watamjua yeye na Ukombozi utapatikana.

Kwa mantiki hiyo basi manabii na mitume wote kwa sababu ni descendants wa Yakobo yaani watoto 12 wa Yakobo na kiasili ni weupe hivyo sio kitu cha kushangaza wote wakiwa weupe.

Pia sio kila jina la kitabu la kwenye Biblia linawakilisha Nabii au Mtume kuna vitabu kadhaa vimeandikwa lakini waandishi wake hawayambuliwi kama manabii au watume.Nitakupa mifano kadhaa,

Musa hakuwa nabiii wala mtume
Joshua hakuwa nabii wala mtume
Waamuzi wote wakijumuishwa na Samson hawakuwa manabii wala mitume
Samweli alikuwa Kuhani tu hakuwa nabii wala mtume.
Hata Daudi pamoja na kuandika kwake Zaburi hakuwa nabii wala mtume,wakati wa Daudi ujume wa kinabii alikuwa anaupata Kwa Nathan.
Solomoni hakuwa nabii wala mtume

Hii List ni kubwa sana kwa hiyo tujifunze namna ya kuwatofautisha hawa watu.

Pia sio tu hakuna Nabii au mtume mweusi,hapakuwa hata na nabii mchina au muhindi.

Hoja yako ya mwisho kabisa kuhusu nyani ni ya kuachana nayo hakuna kitu cha namna hiyo.Binadamu alianza kama mtu kwa kuumbwa.

Hoja ya nyani [emoji1431]
 
Waafruca tunataguta validation kwenye uislam au ukristo, lakini hii dunia ina dini kibao sababu dini ni mila na desturi tamaduni za watu fulani, sababj ya brainwashing ya mzunfu na mwarabu tuna amini lazima huwe muislam au mkristo.

Sasa ni kulazimisha tuu kufit kwenye history book za jamaii za Bible na quaran ni history book, hata ukienda asia utakuta nao wanavitabu vyao, sababu ya strong culture hawana hii inferior na misinformation tunayogace sisi waafrica, ushamuona mchina analalamika kwanini Bible haijamtaja. Bible wanazungumzia timeline yao na baadhi ya matukio kidogo kabla yao same Quran watazungumzia waliopita hila ziadi life ya muhamad, wewe haupo kwenye hiyo timeline na hayo matukio.

In short haupo ukitaka kushiriki shiriki tuu kama spiritual knowledge so far mwanadamu nahitajj lakini usitafute kukubalika au uhalali wa kuwepo aua kutajwa kwenue vitabu au historia ya jamii isiyokuhusu, hata wazungu hawapo kwenye Quran wala Bible na wala hwalalamiki na life linasonga.

Hapa naona sisi WAAFRICA tuna tamaduni zetu ambazo zilizofanywa na mababu zetu ambazo sasa tumezibadili jina tunaziita USHIRIKINA.. ukiendelea kidogo tu kuelezea ntakuelewa uzuri MKUU.. Asante
 
Hivi hawa mitume na manabii "wajasiria dini" aina ya gwajiboy, unawaweka kundi la mitume wa kwenye vitabu vitakatifu?

Mbona unaleta mkanganyiko usio wa lazima kwenye mada?

Mkuu .. wao si ndio wanajipa wadhifa huo.. tunajaribu kuwatoa huko .. mtoto akizaliwa leo baada ya miaka 15 asipopata elimu nzuri anaweza akajua huu ndio uzao wa YESU..
 
Hakuna dini inayofuatwa iliyoanzishwa na mtu mweusi
Hakuna dhehebu la kiafrika
Yesu hakuwa mtu mweusi
Mtume hakuwa mtu mweusi
Hela zinazoendesha dunia au kujulikana siyo za mtu mweusi
Binadamu anayeendesha dunia ni mtu mweupe mwanaume

Kizazi cheusi kimetengwa duniani na hakihitajiki: tuongeeni ukweli banah.. wanatunyanyasa sana
 
Sidhan kama kwenye maandiko wametaja ngozi za watu. Hata kuumbwa kwa adam na eva hawakutaja ni weupe au weusi. Hizi issue za race zinaleta confusion tu. Kuhusu picha za Yesu mweupe hata mweusi yupo.

Mimi siamini kuhusu ngozi naamini kuhusu maandiko matakatifu ambapo naona yeyote mwenye imani yampasa hivyo.

Tunacho kosea sisi tuna-focus na dini badala ya ku-focus na M/MUNGU na nakuhaidi tuki-focus kwa M/MUNGU; tutafanikiwa sana .
KIUJUMLA .. M/MUNGU wa dini zote ni MMOJA TU.. ila wao wamekuja kutugawanya kwa kutuletea DINI ili watutawale.. sema hatuna muongozo wa kumjua M/MUNGU vyema mpaka tupitie kwenye DINI.. hapa ndio pagumu
 
Hapa naona sisi WAAFRICA tuna tamaduni zetu ambazo zilizofanywa na mababu zetu ambazo sasa tumezibadili jina tunaziita USHIRIKINA.. ukiendelea kidogo tu kuelezea ntakuelewa uzuri MKUU.. Asante
Mkuu hapa Focus sio dini ni piritual knowledge, hila watu wengi wanafocus na dini, tokea mtu wa kwanza anaumbwa alipewa maarifa namna ya kuwasiliana na muumba wake, alifundishwa kila kitu, hata ukisoma hivyo vitabu vyao wanasema Adam (mweusi) alifundishwa kila kitu.

Na kumbuka spiritual ni part ya mwanadamu so asingweza kuishi bila kuwa spiritual awareness, conscious, well being.

Timeline namaanisha first people kabla yangu mimi na wewe, utaanza na adam, Ni kama mimi na wewe by appearance lakini physical hawafanani mimi na wewe

Adam (mweusi) alikuwa na mita 60 na upana wa mita 20 nusu na uwanja wa mpira, life expectancy ilikuwa kubwa, Adam aliishi almost miaka 1000, baada ya hapo wamekuja kina Noah Suleman miaka 500 wameishi mpaka mimi.na wewe leo tumezidi sana 103 hila average ni 70.

Sasa unaweza ukaona kwann hivi vitabu haviwezi kumention mtu mweusi maana wakati mtu historia yake inakuwa ipo nyuma sana lakini yeye ndio foundation ya spiritual knowledge (SIO DINI),

spiritual knowledge ni somo kubwa na practice kubwa hicho tunachofanya Sasa hivi ni sehemu ndogo mno ya spiritual awareness ambayo hao kina Adam( mweusi) na watu wa mwanzo walikuwa nayo.

Mwafrica naweza kufit kote huko hila kwa real spiritual awakening muafrica lazima turudi kwenye roots zetu za asili na watu wajichimbue kweli hasa.

Hizi stori za mizimu, uchawi, ushirikina zipo kila.jamii ndio katika dini na mila zinawazuia kufanya vitu na hizo philosophy na hayo matatizo hila wao hawawezi kusema, uarabuni uchawi hata muahamad aliwahi.kurogwa, middle , Asia. Hata sisi kuwa na uchawi ushirikina sio ajabu.

Cha msingi tu focus na kumtafuta muumba kwa namna sahihi nje ya uarabu, ujahudi n.k,

Asia mpaka leo wapo na budha wao mpaka kesho huwaambii kitu hawamjui Jesus wala Muhamad. Jenda

Wazungu walishapiga chini hizi habari za dini long time wengi hawaamini kupitia Jesus n.k wao wanasearch spiritual awakening( third eye). Kwa sababu walikuja kugundua hii miyeyusho, Kitu ambacho huko nyuma watu walikuwa na high spiritual awareness hilo jicho la tatu lilikuwepo tu .
 
Mkuu hapa Focus sio dini ni piritual knowledge, hila watu wengi wanafocus na dini, tokea mtu wa kwanza anaumbwa alipewa maarifa namna ya kuwasiliana na muumba wake, alifundishwa kila kitu, hata ukisoma hivyo vitabu vyao wanasema Adam (mweusi) alifundishwa kila kitu.

Na kumbuka spiritual ni part ya mwanadamu so asingweza kuishi bila kuwa spiritual awareness, conscious, well being.

Timeline namaanisha first people kabla yangu mimi na wewe, utaanza na adam, Ni kama mimi na wewe by appearance lakini physical hawafanani mimi na wewe

Adam (mweusi) alikuwa na mita 60 na upana wa mita 20 nusu na uwanja wa mpira, life expectancy ilikuwa kubwa, Adam aliishi almost miaka 1000, baada ya hapo wamekuja kina Noah Suleman miaka 500 wameishi mpaka mimi.na wewe leo tumezidi sana 103 hila average ni 70.

Sasa unaweza ukaona kwann hivi vitabu haviwezi kumention mtu mweusi maana wakati mtu historia yake inakuwa ipo nyuma sana lakini yeye ndio foundation ya spiritual knowledge (SIO DINI),

spiritual knowledge ni somo kubwa na practice kubwa hicho tunachofanya Sasa hivi ni sehemu ndogo mno ya spiritual awareness ambayo hao kina Adam( mweusi) na watu wa mwanzo walikuwa nayo.

Mwafrica naweza kufit kote huko hila kwa real spiritual awakening muafrica lazima turudi kwenye roots zetu za asili na watu wajichimbue kweli hasa.

Hizi stori za mizimu, uchawi, ushirikina zipo kila.jamii ndio katika dini na mila zinawazuia kufanya vitu na hizo philosophy na hayo matatizo hila wao hawawezi kusema, uarabuni uchawi hata muahamad aliwahi.kurogwa, middle , Asia. Hata sisi kuwa na uchawi ushirikina sio ajabu.

Cha msingi tu focus na kumtafuta muumba kwa namna sahihi nje ya uarabu, ujahudi n.k,

Asia mpaka leo wapo na budha wao mpaka kesho huwaambii kitu hawamjui Jesus wala Muhamad. Jenda

Wazungu walishapiga chini hizi habari za dini long time wengi hawaamini kupitia Jesus n.k wao wanasearch spiritual awakening( third eye). Kwa sababu walikuja kugundua hii miyeyusho, Kitu ambacho huko nyuma watu walikuwa na high spiritual awareness hilo jicho la tatu lilikuwepo tu .

Shukrani.. mkuu kwa hii
 
Utapanda ndege ukaangalie makumbusho na kusimuliwa historia jelusalemu , islael, macca, madina na ukienda huku utaonyeshwa mpaka nyumba na vitanda walivyolalia..tufanye walikuwa weusi lakini sio waafrica sawa..sisi tunaenda kumuangalia firauni na mapiramid MISRI .. nilichotaka kuhoji ni kwamba historia ya manabii na mitume ipo sema hawajaiweka kwenye vitabu tunavyovifuata na kuviamini.. kama wewe unaingiaga misa ya kingereza sawa
Kumbe sio rangi ila ni uafrica ndio unakukereketa. Unajuaje miaka ya huko BC na AD kama kulikua na uafrica na blahblah zote za mabara. Wewe ndio soma historia vizuri maana unabishia kitu usichojua bila kureason mwenyewe
 
Nimejibu hili ila ngoja nikujibu na wewe personally.(Nitajibu kama Mkristu)

Taifa la watu wa Israel kiasili sio watu weusi.Ni weupe ambao wanaasili ya kiarabu.Ingawa palikuwa na mchanganyiko wa watu weusi wachache kutoka Ethiopia(Cush) hawa hawakuwa sehemu ya meseji ya ukombozi wa mwanadamu kama ambavyo tunatambua Mungu alichagua taifa la Israel kiwa taifa teule na kupitia taifa hili watu watamjua yeye na Ukombozi utapatikana.

Kwa mantiki hiyo basi manabii na mitume wote kwa sababu ni descendants wa Yakobo yaani watoto 12 wa Yakobo na kiasili ni weupe hivyo sio kitu cha kushangaza wote wakiwa weupe.

Pia sio kila jina la kitabu la kwenye Biblia linawakilisha Nabii au Mtume kuna vitabu kadhaa vimeandikwa lakini waandishi wake hawayambuliwi kama manabii au watume.Nitakupa mifano kadhaa,

Musa hakuwa nabiii wala mtume
Joshua hakuwa nabii wala mtume
Waamuzi wote wakijumuishwa na Samson hawakuwa manabii wala mitume
Samweli alikuwa Kuhani tu hakuwa nabii wala mtume.
Hata Daudi pamoja na kuandika kwake Zaburi hakuwa nabii wala mtume,wakati wa Daudi ujume wa kinabii alikuwa anaupata Kwa Nathan.
Solomoni hakuwa nabii wala mtume

Hii List ni kubwa sana kwa hiyo tujifunze namna ya kuwatofautisha hawa watu.

Pia sio tu hakuna Nabii au mtume mweusi,hapakuwa hata na nabii mchina au muhindi.

Hoja yako ya mwisho kabisa kuhusu nyani ni ya kuachana nayo hakuna kitu cha namna hiyo.Binadamu alianza kama mtu kwa kuumbwa.
Nimependa hapo pa mchina na muhindi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Tunacho kosea sisi tuna-focus na dini badala ya ku-focus na M/MUNGU na nakuhaidi tuki-focus kwa M/MUNGU; tutafanikiwa sana .
KIUJUMLA .. M/MUNGU wa dini zote ni MMOJA TU.. ila wao wamekuja kutugawanya kwa kutuletea DINI ili watutawale.. sema hatuna muongozo wa kumjua M/MUNGU vyema mpaka tupitie kwenye DINI.. hapa ndio pagumu
Kama issue ya kutawaliwa mbona kuna mambo mengi yanafanywa sasa bila kutumia kigezo cha dini na wanatawala vizuri tu. Mchina huyoo ananyemelea kiti na yeye % kubwa ni atheist
 
Kumbe sio rangi ila ni uafrica ndio unakukereketa. Unajuaje miaka ya huko BC na AD kama kulikua na uafrica na blahblah zote za mabara. Wewe ndio soma historia vizuri maana unabishia kitu usichojua bila kureason mwenyewe

Hiyo historia unayoisoma ameandika nan? Mkuu
 
Back
Top Bottom