Kwanini HAMAS sasa anapigana vita alivyoshindwa?

HAMAS ni Nini ?; Baadhi ya watu ?, Ideology au Mapambano ya kupata Haki fulani kulingana na wao wanavyoona kwamba hawatendewi Haki ?

Ukigundua hayo huenda ukafahamu kwamba kwa kumuua Hamas mmoja unatengeneza elfu moja kesho...; Hivi vita sio vya kugombana kwa mabavu bali ni through education na kutowapa mwanya wasio na mema kufanya brainwashing na kuwaongezea pool ya recruitment...
 
Iran na wingi wao WATU milion 87 budget $53billion
Israel WATU milion 9 budget yao $130 billion yaan kiufupi mkuu Iran NI nchi maskin na Kwa ajil ya upuuzi wao bado wataendealea kuwa dhwaifu
Mwenzio kakupa facts wewe unaleta leta porojo
 
mi nadhan badala ya kuwapongeza hamas tukazane kuwaombea wanakufa wengi kuwapongeza hamas ni kujifariji ili tusijari yanayotokea gaza
Hakuna asiejali yanayoyokea ghaza landa awe mpenda uovu kama israhell marekani na vibaraka wake
Ila israhell kwakuua watu waso hatia pale ghaza hili kama lakupongezwa apongezwe kawaua vyakutosha
Ila kusema kama kawaua hamas huku nikujidanganya
 

1. Haipo shaka kuwa Israel yenye
makombora Hadi ya nyuklia HAMAS au Palestina ni kitu gani kwao?

2. Kwamba reaction za Israel zinafahamika kuwa ni deadly? Kwa idhini, uhalali au sheria zipi?

3. Kwa sababu hizo mbili hapo juu tu, hivyo ni mapendekezo yako wapalestina wasalimu amri milele?

4. Kama ndivyo, ukoloni ungalikuwa ungalipo kote ulimwenguni ikiwamo Tanzania.

5. Kama ndivyo hata jitihada za kupata katiba mpya hazitakaa zishinde kwa sababu wananchi hawana silaha bora kama za polisi na jeshi na hawatakaa wawe nazo milele.

6. Ukombozi hauwezi kuwa Kwa ridhaa ya mafwedhuli wa kadhia husika.

7. Zingatia msingi wa hoja:

"HAMAS kafanya sehemu yake, ila katelekezwa na washirika wake wote."

8. Kutokana na #7 ni busara akachagua kufa moja kwa moja kwa maana kuachia mateka hakutamsidia kitu.

9. Mada inahusu HAMAS kujaribu na kutelekezwa. Kuwa hali yake saaa ni mbaya mno.
 
Tatizo siyo uarabu ila kama una chuki na uarabu sawa kwani wamizi hapo ni akina wazayuni au waarabu watu wanatetea nchi yao kisha wanaitwa ni maharamia katika nchi yao
 
Ni magaidi kwenye inchi yao hao mazayuni wapo Palestine kwa muda gani
 
Makao makuu ya Hamas apartment na hospital na Kambi za wa kimbizi
 
kwamba na yule mtz anaendelea na shughui zake akiwa huko mateka ? huon kuwa wanampotezea muda ? uislam ni nusu ushetan haujali utu , mf humu waislam hawajal lolote kuhusu watz wenzao waliotekwa na hamas na mmoja akafa kbs
Ila hii ya mashoga ndiyo dini
 
walichofanya Hamas ni sawa mtoto wako aje kukushtakia kuwa kapigwa na mtu na ww unachokifanya unakwenda kumpiga mtoto wa huyo jamaa.. yaani yeye akipiga wa kwako na ww unapiga wa kwake.. sasa hapo umemlinda kweli huyo mtoto au unazidi kumpa maumivu
Unakubaliana na Israel kufyeka pori kumsaka nyoka?Anachofanya Israel ni uharifu WA kivita,Hana uwezo WA kuwasaka Hamas mguu Kwa mguu anamalizia hasira zake Kwa kurusha ovyoovyo makombara,anapoulizwa anajibu wamejifichamo Hamas na watoto.

Usiwalaumu Hamas,walaumu Israel.
 

Kama ilivyotarajiwa, kimewaka tena. Laiti Israel angekuwa kapata mateka yake mbona ingekuwa shughuli? Hapa ndipo ulipo msingi wa hoja:

Bula kuungwa mkono na washirika wake HAMAS anayo option moja tu ya kufa kifo kitakatifu yeye pamoja na adui zake.
 
Hata hueleweki hoja yako ni ipi? Ya kwamba wapalestina wakae wasubirie mpaka siku wakija kuwa na silaha kama za Israel ndo waanze mapambano ya kulikomboa taifa lao au? ebu toa ufafanuzi uweleweke.
 
Njia pekee ya kuifanya Hamas ikose nguvu na ushawishi kwa wapalestina ni kwa Israel kukubali kuundwa kwa taifa la Palestine na wapalestina waondokane na mateso wanayo yapata sasa tofauti na hapo Hamas na makundi mengine ya wapiganaji yataendelea kuzaliwa na kupata nguvu kubwa ya silaha kitu ambacho sio msitakabari mzuri kwa Israel.
 


hivi n nn
 

Waarabu /Wasomali hawa watu kwao wanapofanya maamuzi wanatumia hisia siyo akili .
Huwa hawapigi mahesabu kabisa cost madhara ya maamuzi yao huwa wanaanza kulia dunia iwasaidie…..

Emotion na vita lazima ushindwe! lakini kwao n ushindi[emoji3][emoji23][emoji23]Mungu awasamehe hawa jamaa


Hawa watu n brainless ndo maana hawaongezeki
 

Inasikitisha sana. Fanatics, zealots, single minded ni wa kuhurumia na hasa wakiwa na haki ndiyo walioporwa:

Yemen waitaka Saudi Arabia ifungue njia Wapiganaji wake waingie Israel

Wako hapo 1,600km kwa mguu seriously kuelekea vitani.
 
Nitazungumzia vipi vya Tandahimba hivyo endeleeni navyo wenyewe machakani huko

hongera unaishi Gaza unajua ukweli[emoji23][emoji23][emoji23]
watanzania kweli mna ugonjwa wa akili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…