Kwanini HAMAS sasa anapigana vita alivyoshindwa?

Kwanini HAMAS sasa anapigana vita alivyoshindwa?

HAMAS ni Nini ?; Baadhi ya watu ?, Ideology au Mapambano ya kupata Haki fulani kulingana na wao wanavyoona kwamba hawatendewi Haki ?

Ukigundua hayo huenda ukafahamu kwamba kwa kumuua Hamas mmoja unatengeneza elfu moja kesho...; Hivi vita sio vya kugombana kwa mabavu bali ni through education na kutowapa mwanya wasio na mema kufanya brainwashing na kuwaongezea pool ya recruitment...
 
Iran na wingi wao WATU milion 87 budget $53billion
Israel WATU milion 9 budget yao $130 billion yaan kiufupi mkuu Iran NI nchi maskin na Kwa ajil ya upuuzi wao bado wataendealea kuwa dhwaifu
Mwenzio kakupa facts wewe unaleta leta porojo
 
mi nadhan badala ya kuwapongeza hamas tukazane kuwaombea wanakufa wengi kuwapongeza hamas ni kujifariji ili tusijari yanayotokea gaza
Hakuna asiejali yanayoyokea ghaza landa awe mpenda uovu kama israhell marekani na vibaraka wake
Ila israhell kwakuua watu waso hatia pale ghaza hili kama lakupongezwa apongezwe kawaua vyakutosha
Ila kusema kama kawaua hamas huku nikujidanganya
 
Mkuu hujaelewa point yangu... point yangu ni kuwa lengo la hamas lilikuwa lini hasa?.. maana wote tunajua kuwa siku zote reaction ya Israel pale Hamas wanapojaribu kufight back inakuwa deadly.. so what is the point of starting the fight that will turn deadly on your side.....what will be the point ikiwa unaanzisha kitu ambaco unajua huwez kukimudu na kinahatarisha ku wipe the whole nationality ambayo ndo unapigania kuilinda..


Na hapo umesema sahihi Hamas anapata kila kitu kutoka israel.. lakini jua kuwa Hamas anaungwa mkono na baadhi ya mataifa ikiwemo Iran... unataka kunambia Hamas yote na Iran hawana makamanda wa vita waliobobea na wenye uweledi hadi kuja na plan mfu namna ile...ya kuingia na pick up na bidabioda utadhani kikundi cha kihalifu ambacho hakijulikani motive yake... watu hawaingii vitan ili onyeshe jinsi unavyopigwa war is not a game... kama hakuna jinsi ya kwuez akuwapa magari vita au zana kubwa za kijeshi then watafute plan B... mkiwa mateka hamkurupuki kuanzisha mapigano tu mnatafuta weakest link ya adui ili mjue mkilianzisha ni ushindi

mataifa Rafiki ya Palestina ambao wanatoa misaada ya Kijeshi kwa Hamasi.. they are simply using them and the whole palestians for their own benefits.. hawajali how muchpalestians life will be ruined or are going to be killed.. wangekuwa wako sincere wasingewaruhusu Hamas wakaanzisha hii vita namna ile... Hamas sio kama kikundi cha Al shabab ambacho hamjui what is their motives maana wanavamaia na kuua yoyote... Hamas wanabase na wanautawala maana yake kama wanajinasibu wanawapigania palestians basi walipaswa kuhakikisha chochote watakachoanzisha wana minimize at all cost maafa ya watu wanaowapigania


walichofanya Hamas ni sawa mtoto wako aje kukushtakia kuwa kapigwa na mtu na ww unachokifanya unakwenda kumpiga mtoto wa huyo jamaa.. yaani yeye akipiga wa kwako na ww unapiga wa kwake.. sasa hapo umemlinda kweli huyo mtoto au unazidi kumpa maumivu

1. Haipo shaka kuwa Israel yenye
makombora Hadi ya nyuklia HAMAS au Palestina ni kitu gani kwao?

2. Kwamba reaction za Israel zinafahamika kuwa ni deadly? Kwa idhini, uhalali au sheria zipi?

3. Kwa sababu hizo mbili hapo juu tu, hivyo ni mapendekezo yako wapalestina wasalimu amri milele?

4. Kama ndivyo, ukoloni ungalikuwa ungalipo kote ulimwenguni ikiwamo Tanzania.

5. Kama ndivyo hata jitihada za kupata katiba mpya hazitakaa zishinde kwa sababu wananchi hawana silaha bora kama za polisi na jeshi na hawatakaa wawe nazo milele.

6. Ukombozi hauwezi kuwa Kwa ridhaa ya mafwedhuli wa kadhia husika.

7. Zingatia msingi wa hoja:

"HAMAS kafanya sehemu yake, ila katelekezwa na washirika wake wote."

8. Kutokana na #7 ni busara akachagua kufa moja kwa moja kwa maana kuachia mateka hakutamsidia kitu.

9. Mada inahusu HAMAS kujaribu na kutelekezwa. Kuwa hali yake saaa ni mbaya mno.
 
kwan hawakuyajua haya kipind wanaenda shambulia na kuteka raia wa israel pamoja na mtz mwenzio ? Hv nyie watu weusi mmelogwa na waarabu , wakijamba pia mtasema walivaa chupi ya mzayuni ndio maana walijamba ili ionekane mzayuni ndo kasababisha ila mjambaj hana baya
Tatizo siyo uarabu ila kama una chuki na uarabu sawa kwani wamizi hapo ni akina wazayuni au waarabu watu wanatetea nchi yao kisha wanaitwa ni maharamia katika nchi yao
 
waislam dini imewatia ukichaa , mlishangilia shambulio la kigaid la hamas , kisha mkajibiwa mkasema waje gaza wanaume wapo gaza ss h mnasema wawamalize hamas watawamaliza mtabadili story mtasema hamas hawakuwai kuwepo ni vita dhidi ya waislam bas mtaomba wawamalize waislam , NYIE KIMA HIYO DINI YENU INAEZA KUWA MNAMWABUDU SHETANI HKN MUNGU ANAFUNDISHA WAUMIN WAKE KUWA WEHU KIAS HICHO
Ni magaidi kwenye inchi yao hao mazayuni wapo Palestine kwa muda gani
 
hamas sio wajinga kuteka na kwenda kuwaweka hapo gaza kaskazin penye vita kali , gaza kusini hakuna mashambuliz mengi so lzm walikuwa huko , na idf hajataka ionekane anashambulia gaza nzima bali anajikita kwenye kuangamiza makao makuu ya hamas ambayo ni gaza kaskazini
Makao makuu ya Hamas apartment na hospital na Kambi za wa kimbizi
 
walichofanya Hamas ni sawa mtoto wako aje kukushtakia kuwa kapigwa na mtu na ww unachokifanya unakwenda kumpiga mtoto wa huyo jamaa.. yaani yeye akipiga wa kwako na ww unapiga wa kwake.. sasa hapo umemlinda kweli huyo mtoto au unazidi kumpa maumivu
Unakubaliana na Israel kufyeka pori kumsaka nyoka?Anachofanya Israel ni uharifu WA kivita,Hana uwezo WA kuwasaka Hamas mguu Kwa mguu anamalizia hasira zake Kwa kurusha ovyoovyo makombara,anapoulizwa anajibu wamejifichamo Hamas na watoto.

Usiwalaumu Hamas,walaumu Israel.
 
brazaj Mimi sijifariji,ukiangalia yanayotokea pale,na uwezo tunaoaminishwa kwenye makaratasi ni tofauti.
Hamas jeuri ya kumlazimisha Israel asitishe vita kaitoa wapi?,mateka kwatafuta Kwa mtutu kawakosa ilihali wapo umo humo Gaza tunakoambiwa ameizingira.
Mjiandae kisaikolojia Kuna nchi inafutika Huko,China ameshaitoa Israel kwenye ramani anajua kifuatacho.

Ebu tukirejea mzozo WA Urusi na Uikrane, Urusi alishasema atakayeingilia atakiona Cha moto, ukumbuke Waisrael walisaidiwa pa nono na Urusi kule German.wakati Urusi anaanzisha SMO Israel haikutaka kuegamia NATO . Israel ilijua ikifanya hivyo Nini kitafuatia.Sikio la kufa halisikii dawa akatuma siraha Uikrane kosa kubwa alofanya.

Nchini Belarus wapiganaji WA Wagner wapatao 20,000 wamepotea kwenye mazingira ya kutatanisha hawajulikani walipo,UK ililalama.Uk ikaenda mbali zaidi ikasisitiza hao wapiganaji juu ardhi hawapo labda kwenye mahandaki.Haikupita wiki mbili kikawaka Israel ambapo hatosahau.

Aina Yao ya mapigano ya Hamas wanakwambia hayana tofauti na warusi.View attachment 2829003View attachment 2829004

Kama ilivyotarajiwa, kimewaka tena. Laiti Israel angekuwa kapata mateka yake mbona ingekuwa shughuli? Hapa ndipo ulipo msingi wa hoja:

Bula kuungwa mkono na washirika wake HAMAS anayo option moja tu ya kufa kifo kitakatifu yeye pamoja na adui zake.
 
Mkuu hujaelewa point yangu... point yangu ni kuwa lengo la hamas lilikuwa lini hasa?.. maana wote tunajua kuwa siku zote reaction ya Israel pale Hamas wanapojaribu kufight back inakuwa deadly.. so what is the point of starting the fight that will turn deadly on your side.....what will be the point ikiwa unaanzisha kitu ambaco unajua huwez kukimudu na kinahatarisha ku wipe the whole nationality ambayo ndo unapigania kuilinda..


Na hapo umesema sahihi Hamas anapata kila kitu kutoka israel.. lakini jua kuwa Hamas anaungwa mkono na baadhi ya mataifa ikiwemo Iran... unataka kunambia Hamas yote na Iran hawana makamanda wa vita waliobobea na wenye uweledi hadi kuja na plan mfu namna ile...ya kuingia na pick up na bidabioda utadhani kikundi cha kihalifu ambacho hakijulikani motive yake... watu hawaingii vitan ili onyeshe jinsi unavyopigwa war is not a game... kama hakuna jinsi ya kwuez akuwapa magari vita au zana kubwa za kijeshi then watafute plan B... mkiwa mateka hamkurupuki kuanzisha mapigano tu mnatafuta weakest link ya adui ili mjue mkilianzisha ni ushindi

mataifa Rafiki ya Palestina ambao wanatoa misaada ya Kijeshi kwa Hamasi.. they are simply using them and the whole palestians for their own benefits.. hawajali how muchpalestians life will be ruined or are going to be killed.. wangekuwa wako sincere wasingewaruhusu Hamas wakaanzisha hii vita namna ile... Hamas sio kama kikundi cha Al shabab ambacho hamjui what is their motives maana wanavamaia na kuua yoyote... Hamas wanabase na wanautawala maana yake kama wanajinasibu wanawapigania palestians basi walipaswa kuhakikisha chochote watakachoanzisha wana minimize at all cost maafa ya watu wanaowapigania


walichofanya Hamas ni sawa mtoto wako aje kukushtakia kuwa kapigwa na mtu na ww unachokifanya unakwenda kumpiga mtoto wa huyo jamaa.. yaani yeye akipiga wa kwako na ww unapiga wa kwake.. sasa hapo umemlinda kweli huyo mtoto au unazidi kumpa maumivu
Hata hueleweki hoja yako ni ipi? Ya kwamba wapalestina wakae wasubirie mpaka siku wakija kuwa na silaha kama za Israel ndo waanze mapambano ya kulikomboa taifa lao au? ebu toa ufafanuzi uweleweke.
 
HAMAS ni Nini ?; Baadhi ya watu ?, Ideology au Mapambano ya kupata Haki fulani kulingana na wao wanavyoona kwamba hawatendewi Haki ?

Ukigundua hayo huenda ukafahamu kwamba kwa kumuua Hamas mmoja unatengeneza elfu moja kesho...; Hivi vita sio vya kugombana kwa mabavu bali ni through education na kutowapa mwanya wasio na mema kufanya brainwashing na kuwaongezea pool ya recruitment...
Njia pekee ya kuifanya Hamas ikose nguvu na ushawishi kwa wapalestina ni kwa Israel kukubali kuundwa kwa taifa la Palestine na wapalestina waondokane na mateso wanayo yapata sasa tofauti na hapo Hamas na makundi mengine ya wapiganaji yataendelea kuzaliwa na kupata nguvu kubwa ya silaha kitu ambacho sio msitakabari mzuri kwa Israel.
 
Mkuu HAMAS hana kifaru Wala ndege 1. Anapata chakula, maji, umeme hadi internet thanks to Israel.

Kusema kweli hadi hapo alikuwa kajitahidi mno na hakuna anayeweza kuamini aliyaweza hayo.

HAMAS alipigana na bodaboda na pick ups Kwa sababu ndizo alizo nazo.

Fimbo ya mbali tangu lini iuwe nyoka?

HAMAS alijaribu kuliko wote bahati mbaya ni kuwa katelekezewa mtiti na waliopaswa kumwunga mkono.

IMG_1848.jpg

hivi n nn
 
1. Alianza vizuri HAMAS kuwapigania wapalestina na waarabu kwa ujumla vita vyao dhidi ya mvamuzi wao sugu 7 Oct 2023.

2. Bahati mbaya waarabu hadi wapalestina wa West Bank wameufyata na kumwachia mtiti wote peke yake!

3. Mafanikio yake kwenye vita hivi yalikuwa:

a) Kumpata Israel kukubali kuongea.
b) Kumpata Israel kukubali kubadilishana wafungwa.
c) Kumfanya Israel na Marekani kuitambua sura ya HAMAS. Kumbe nani anaongea na gaidi?

4. Lakini alipo HAMAS sasa, ni heri angeamua kujitoa mhanga; yeye na jamii yake yote.

5. Kwamba wakati wa kubadilishana wafungwa, Israel anaendelea kukamata na kuuwa wapalestina wengine.

6. Kwamba walioachiwa wanaweza kuuwawa na hata kukamatwa tena wakati wowote.

7. Kwamba Israel kasema lengo lake ni kumfuta HAMAS duniani.

8. Kwamba lengo ni kumsubiri amalize kuachilia mateka tu, halafu akione cha mtema kuni!

View attachment 2827378

Kulikoni HAMAS kuendelea kukenua kinyonge hivi?

Waarabu /Wasomali hawa watu kwao wanapofanya maamuzi wanatumia hisia siyo akili .
Huwa hawapigi mahesabu kabisa cost madhara ya maamuzi yao huwa wanaanza kulia dunia iwasaidie…..

Emotion na vita lazima ushindwe! lakini kwao n ushindi[emoji3][emoji23][emoji23]Mungu awasamehe hawa jamaa

IMG_1849.jpg

Hawa watu n brainless ndo maana hawaongezeki
 
Waarabu /Wasomali hawa watu kwao wanapofanya maamuzi wanatumia hisia siyo akili .
Huwa hawapigi mahesabu kabisa cost madhara ya maamuzi yao huwa wanaanza kulia dunia iwasaidie…..

Emotion na vita lazima ushindwe! lakini kwao n ushindi[emoji3][emoji23][emoji23]Mungu awasamehe hawa jamaa

View attachment 2830083
Hawa watu n brainless ndo maana hawaongezeki

Inasikitisha sana. Fanatics, zealots, single minded ni wa kuhurumia na hasa wakiwa na haki ndiyo walioporwa:

Yemen waitaka Saudi Arabia ifungue njia Wapiganaji wake waingie Israel

Wako hapo 1,600km kwa mguu seriously kuelekea vitani.
 
Back
Top Bottom