Kwanini HAMAS sasa anapigana vita alivyoshindwa?

Kwanini HAMAS sasa anapigana vita alivyoshindwa?

Hizi pumba zingine afu anakuja anzisha mada 😄

We wambie basi Israel wawamalize Hamasi kama wao wanaume, we ka unasikiliza kelele za Natanyahu wakati jeshi Lake wengine wameisha kimbia Gaza

Israel anaomba vita visiendele we unakuja leta ujinga wa Paulo hapa.

Huyo hapo ni mfia dini mwenzio mbona unamjibu kwa ukali, amekubalia kuanza kutumia ubongo, sema tatizo kwenye hiyo dini kila mtu anatakiwa awe kama zombie, akianza kutumia akili mnamfokea.
 
Unayakumbuka yale mambo yetu? Kuachia mateka ili abamizwe wakiisha haikuwa sahihi wala na manufaa yoyote kwa HAMAS, wapalestina au waarabu.

Kwamba alikuwa katekelezewa jumba lote bovu? Busara ilikuwa ni kufa yeye, wa kwake, wao na yeyote mwenye kusikilizana naye.

Walaaniwe Iran, waarabu na wote waliomtelekeza mzalendo huyu wa vitendo.

“chuki itakuua blaza”

Watu type yako magaidi ndo huwa wana target maana ni easy kuwalisha itikadi na mkavaa bomu
 
Huyo hapo ni mfia dini mwenzio mbona unamjibu kwa ukali, amekubalia kuanza kutumia ubongo, sema tatizo kwenye hiyo dini kila mtu anatakiwa awe kama zombie, akianza kutumia akili mnamfokea.

[emoji23][emoji23]
 
Huyo hapo ni mfia dini mwenzio mbona unamjibu kwa ukali, amekubalia kuanza kutumia ubongo, sema tatizo kwenye hiyo dini kila mtu anatakiwa awe kama zombie, akianza kutumia akili mnamfokea.

Dini kitu gani ndugu? Wadhani kila mtu mdini kama wewe? Ulishindwa kuelewa hakuna vita vya dini Gaza uelimishwe vipi ndugu mburula?
 
Hizi pumba zingine afu anakuja anzisha mada 😄

We wambie basi Israel wawamalize Hamasi kama wao wanaume, we ka unasikiliza kelele za Natanyahu wakati jeshi Lake wengine wameisha kimbia Gaza

Israel anaomba vita visiendele we unakuja leta ujinga wa Paulo hapa.
Kumbe mchele wako uko wapi ustaadhi Adiosamigo ?
 
Hizi pumba zingine afu anakuja anzisha mada 😄

We wambie basi Israel wawamalize Hamasi kama wao wanaume, we ka unasikiliza kelele za Natanyahu wakati jeshi Lake wengine wameisha kimbia Gaza

Israel anaomba vita visiendele we unakuja leta ujinga wa Paulo hapa.
Kumbe mchele wako uko wapi ustaadhi Adiosamigo ?
 
Dini kitu gani ndugu? Wadhani kila mtu mdini kama wewe? Ulishindwa kuelewa hakuna vita vya dini Gaza uelimishwe vipi ndugu mburula?

Nilidhani umeanza kutumia akili, kumbe bado kilaza.....ingekua sio hiyo dini yenu na mauchafu yake watu wa pael Gaza wangeishi kwa amani, ila kwa vile mliaminishwa na 'mungu' wenu kuua kila Myahudi, ndio maana mnajilipua lipua mabomu na hamtaki mazungumzo yoyote...

sahih muslim 2921
Abdullah b. 'Umar reported Allah's Messenger (ﷺ) as saying:
You and the Jews would fight against one another until a stone would say: Muslim, here is a Jew behind me; come and kill him.
 
Hata hueleweki hoja yako ni ipi? Ya kwamba wapalestina wakae wasubirie mpaka siku wakija kuwa na silaha kama za Israel ndo waanze mapambano ya kulikomboa taifa lao au? ebu toa ufafanuzi uweleweke.

sio wakae wasubiri... kama wamefanya mipango ya kijeshi na kufanya shambulio kama lile.. maana yake its a no brain kuangalia na possible outcome.. wangeweka kwenye mizani impact yake itakuwaje.. na kutoka kwa sponsors wao wangewaambia kuwa tunahitaj msaada wa aina hii ili tuweze ku lunch an attack inayoweza kutoa impact kubwa..

Palestina walitakiwa wabadilike kutokana na dunia... maana yake wangeweza kufanya yafuatayo (nahisi hawafanyi kama wanafanya basi ni wakiwango kidogo)

1. Espionage activities ( upelelezi wa kupandikiza watu ili kuweza kusoma nyendo za adui na kuweza kujua hata weakness zao) hiki kitu maana yake ukiangalia huu mgogoro una miaka zaid ya 30 then palestina walipaswa kuanza kupandikiza watu israel ili kuweza kujua wakiamua ku attack then wana attack ambako kutaweza kuwa cripple Israel . hata israel wakijibu haitakuwa deadly kama ilivyokuwa sasa.. maana yake wangepandikiza watu ambao wanaoa kuolewa na kuishi katikati ya wayahudi hata kuweza kushika kwenye vitengo muhimu wangeweza hata kupandikiza vitu vya mlipuko ikitokea siku wakiamua waki lunch military attack kama walivyofanya.. yaani israel anapigwa kutoka nje and within...sio namna hii kuingia kama mnakwenda kuvamia shopping malls..


2. Millitary training and millitary equipments. hapa hawa jaamaa sababu ya kuwa wako sorrounded na israel ilitakiwa wajikite kutrain watu wao then kuanza kuunda silaha zao wenyewe..


NARUDIA TENA HAYO NILIOSEMA HAPO JUU YALIPASWA KUWA KWENYE "DRAWING BOARD" ya palestina na washirika wake.. mipango ya kimkakati ambapo utekelezaji wake mnaweka hata baada ya miaka 20.

angalia wayahudi na washirika wake walivyofanya kila kitu kimkakati kutoa kuundwa kwa taifa lao hadi saa.. walikuwa kila angle wanaifanya kimakakati..kisiasa ( wamehakikisha wayahudi wameshika ulaya kwenye vitengo muhimu kunakoweza ku influence maamuzi ya nchi husika. kibiashara, kielimu ( Kijeshi na had kiteknolojia)...

kukomboa taifa sio kama unakomboa kijiji.. au mtaa.. historia inaonyesha vita ya nchi kwa nchi kwa ajili ya kukomboa/kushika madaraka ya sio kitu rahis ni vitu ambavyo kuna operation zinazofanyika behind the scene kwa mda mrefu sana hadi watu kuja kutupiana risasi.

angalia Kagame na rwanda mikakati aliiifanyia Uganda.. almost 10 ( from 1987) years before ya ku lunch an attak.

Palestina hawajaweza ku match hata level ya support kwa manaa ya huku dunian majority ya mataifa wana side na isreal. walio upande wa palestina aidha watoe suppot ya kijeshi ndogo au wabakie kupiga kelele za kulaani .
 
Na huu ndiyo ulio ukweli mchungu kwa sasa. Na haswa ikizingatiwa Israel kuweka sharti la pause hii kutozidi siku 10.

Cc: FaizaFoxy, wangatala
Watu 100+ wamekufa kwenye mashambulizi mapya baada ya muda wa 'pause' kumalizika.


Hizi 'pause' ni upuuzi tu, yaani unawapa watu muda wa kuvuta pumzi kisha unarudi tena kuwaua, huu ni ushenzi mtupu.

Unawaachia huru wafungwa 180, kisha baadae unaenda kuua raia 100+.... nonsense

Hii dunia imejaa unafiki tu.
 
Watu 100+ wamekufa kwenye mashambulizi mapya baada ya muda wa 'pause' kumalizika.


Hizi 'pause' ni upuuzi tu, yaani unawapa watu muda wa kuvuta pumzi kisha unarudi tena kuwaua, huu ni ushenzi mtupu.

Unawaachia huru wafungwa 180, kisha baadae unaenda kuua raia 100+.... nonsense

Hii dunia imejaa unafiki tu.

Lengo lilikuwa kujua mateka watatokea wapi. Kuwaondoa mateka wasioweza kumudu kujiokoa wenyewe kabla yapurukushani kubwa zaidi.

Kwamba ilikuwa wazi kuwa baada ya kuwaachia mateka halafu kipigo cha mbwa koko kitafuata. Ajabu na kweli kuwa mtu yeyote ingemwingia akilini:

"Kulikoni kukubaliana na pause hizo kwa masharti hayo?"
 
1. Haipo shaka kuwa Israel yenye
makombora Hadi ya nyuklia HAMAS au Palestina ni kitu gani kwao?

2. Kwamba reaction za Israel zinafahamika kuwa ni deadly? Kwa idhini, uhalali au sheria zipi?

3. Kwa sababu hizo mbili hapo juu tu, hivyo ni mapendekezo yako wapalestina wasalimu amri milele?

4. Kama ndivyo, ukoloni ungalikuwa ungalipo kote ulimwenguni ikiwamo Tanzania.

5. Kama ndivyo hata jitihada za kupata katiba mpya hazitakaa zishinde kwa sababu wananchi hawana silaha bora kama za polisi na jeshi na hawatakaa wawe nazo milele.

6. Ukombozi hauwezi kuwa Kwa ridhaa ya mafwedhuli wa kadhia husika.

7. Zingatia msingi wa hoja:

"HAMAS kafanya sehemu yake, ila katelekezwa na washirika wake wote."

8. Kutokana na #7 ni busara akachagua kufa moja kwa moja kwa maana kuachia mateka hakutamsidia kitu.

9. Mada inahusu HAMAS kujaribu na kutelekezwa. Kuwa hali yake saaa ni mbaya mno.

hiyo namba namba 7 ndio msingi wa hoja yangu.. aidha Hamas wamekubali kutumika au wao na washirika wao hawakuwa na strategy nzuri.. huwez kusema hamas kaingia vitan kuwa katimiza wajibu wake.. wajibu wa vita ni kutoka na ushindi.. Je hao washirika waliomsanda Hamas kulikuwa ana makubaliano kuwa Hamas wakilianzisha wao watakuja na madege yao?.. ama makubaliano yalikuwa wapi... sikatai Palestina wanahaki ya kuishi Nchi huru.. shida yangu ni mkakat wa kuitafuta Nchi uhuru unavyoendeshwa..

hamuwez kuanzisha mambo ambayo yana wacost uhai na miundo mbinu kila siku.. halafu mseme "oh! we did our best wanaotusapoti nao wafanye yao.." kumbuka hao wanaosapoit wana Ajenda zao ziwe ni positive ( kwa maana ya kutaka Haki itendeke na wanasimamia haki.. ama negative kwa maana ya wao kutengeneza superiority ukanda ule... kwa kuwa watakuwa na influence ya utawala wa palestina huru. sababu yoyote ile ambayo washirika wa palestina watakayoitoa kuwa kwa nini wako upande wa hamas, basi hiyo sababu ambayo wao wenyewe wanaiona haina uzito wa kiasi cha wao kuingia vitani kuwasaidia Hamas na palestina yote... so shida yangu ni Aina ya jinsi mambo yalivyoendeshwa na hamas miaka yote ile..

angalia wanaounga mkono Isreal mataifa ya Ulaya na Marekani.. sio tu wametoa matamko wamekwenda mbali zaid na kusogeza vifaa vya kijeshi.. maana yake wanaangalia nani anasuport Hamas atajoin the fight. they didnt shy out kwenye kusupoprt Israel.. so i expected the same kwa upande wa Hamas kwa uthubutu waliouonyesha

na kwa kukujuza tu Hamas ni chimbuko la muslim brotherhood ile ya yemen na misri ambayo misri ilipigwa marufuku .. so utaona kuwa wana direct supoort kutoka washirika wa ukanda huo... lakini miaka yote mikakati yao inakuwa mikakati mfu... unajua hadi palestina yenyewe ishagawanywa nao kuna palestina ya Abbas ( westbank) na kuna ya Hamas, infact Hamas walipochukua upande ule wa gaza strip Mhmoud Abbas ambaye ni de facto leader wa palestina alitangaza state of emergency.. na Israel wakishirikiana na Misri walifunga mipaka ya Gaza strip.


Natumia Analogy hii hapo chini kukuonyesha kwa nini Hamas wako wrong katika kupanga mashambulizi yao

Mfano kuwe kuna kikundi cha watu ambao wana silaha kali na wako wengi kuliko nyie wanakuja kuwavamia mtaan na kuwapora na silaha ( bunduki) kila wanapojisikia.. kisha mjue nyumba wanayoiishi.. its obvious hamwez kuamua kwenda na mawe na mapanga kwa watu ambao mna uhakika wako wengi kuliko nyie na wanaweza kuwashambulia kutokea mbali kabla hamjafika na visu vyenu.. mtaisha wote...
 
Unakubaliana na Israel kufyeka pori kumsaka nyoka?Anachofanya Israel ni uharifu WA kivita,Hana uwezo WA kuwasaka Hamas mguu Kwa mguu anamalizia hasira zake Kwa kurusha ovyoovyo makombara,anapoulizwa anajibu wamejifichamo Hamas na watoto.

Usiwalaumu Hamas,walaumu Israel.
love.jpg
 
sio wakae wasubiri... kama wamefanya mipango ya kijeshi na kufanya shambulio kama lile.. maana yake its a no brain kuangalia na possible outcome.. wangeweka kwenye mizani impact yake itakuwaje.. na kutoka kwa sponsors wao wangewaambia kuwa tunahitaj msaada wa aina hii ili tuweze ku lunch an attack inayoweza kutoa impact kubwa..

Palestina walitakiwa wabadilike kutokana na dunia... maana yake wangeweza kufanya yafuatayo (nahisi hawafanyi kama wanafanya basi ni wakiwango kidogo)

1. Espionage activities ( upelelezi wa kupandikiza watu ili kuweza kusoma nyendo za adui na kuweza kujua hata weakness zao) hiki kitu maana yake ukiangalia huu mgogoro una miaka zaid ya 30 then palestina walipaswa kuanza kupandikiza watu israel ili kuweza kujua wakiamua ku attack then wana attack ambako kutaweza kuwa cripple Israel . hata israel wakijibu haitakuwa deadly kama ilivyokuwa sasa.. maana yake wangepandikiza watu ambao wanaoa kuolewa na kuishi katikati ya wayahudi hata kuweza kushika kwenye vitengo muhimu wangeweza hata kupandikiza vitu vya mlipuko ikitokea siku wakiamua waki lunch military attack kama walivyofanya.. yaani israel anapigwa kutoka nje and within...sio namna hii kuingia kama mnakwenda kuvamia shopping malls..


2. Millitary training and millitary equipments. hapa hawa jaamaa sababu ya kuwa wako sorrounded na israel ilitakiwa wajikite kutrain watu wao then kuanza kuunda silaha zao wenyewe..


NARUDIA TENA HAYO NILIOSEMA HAPO JUU YALIPASWA KUWA KWENYE "DRAWING BOARD" ya palestina na washirika wake.. mipango ya kimkakati ambapo utekelezaji wake mnaweka hata baada ya miaka 20.

angalia wayahudi na washirika wake walivyofanya kila kitu kimkakati kutoa kuundwa kwa taifa lao hadi saa.. walikuwa kila angle wanaifanya kimakakati..kisiasa ( wamehakikisha wayahudi wameshika ulaya kwenye vitengo muhimu kunakoweza ku influence maamuzi ya nchi husika. kibiashara, kielimu ( Kijeshi na had kiteknolojia)...

kukomboa taifa sio kama unakomboa kijiji.. au mtaa.. historia inaonyesha vita ya nchi kwa nchi kwa ajili ya kukomboa/kushika madaraka ya sio kitu rahis ni vitu ambavyo kuna operation zinazofanyika behind the scene kwa mda mrefu sana hadi watu kuja kutupiana risasi.

angalia Kagame na rwanda mikakati aliiifanyia Uganda.. almost 10 ( from 1987) years before ya ku lunch an attak.

Palestina hawajaweza ku match hata level ya support kwa manaa ya huku dunian majority ya mataifa wana side na isreal. walio upande wa palestina aidha watoe suppot ya kijeshi ndogo au wabakie kupiga kelele za kulaani .
Mkuu unaongea hayo kirahisi kwa sababu ww uko huru ndani ya nchi yako.
Kwa hiyo kipindi unafanya mikakati Hiyo Israel na washirika wake wamekutizama tu?

Kwanza nikwambie kitu kimoja ya kuwa hakuna taifa linalo wasaport Hamas kijeshi zaidi ya Iran tu na penyewe sio sana, silaha nyingi zinazo tumiwa na Hamas ni kujitengenezea wenyewe kuanzia maroketi, risasi na ant tank nadhani wanacho agiza kutoka nje kwa sana ni bunduki na baadhi ya silaha chache.

Mataifa mengine yaliyo baki yana toa fedha kwa mamlaka ya Palestina iliyo West bank na fedha hizo zina pita kwanza kwenye mikono ya Israel na wao ndo wanapanga itumike vipi hiyo hela.

Hiyo mikakati unayo isema imekaa kinadharia sana kuliko uhalisia.

Vita ya ukombozi haijawahi kuwa kama vita nyingine kwa sababu huyo mkoloni hawezi kukupa nafasi ya kujipanga ili uje uhitimishe ukoloni wake, kupigana vita na mkoloni ni sawa na kupambana na serikali yako maana yenyewe ndo anakuwa ana control kila kitu.

ANC ya S.africa ingesubiri ijijenge kwa mikakati uliyo itaja hapo, alafu ndo ianzishe mapambano dhidi ya wakoloni wa makaburu mpaka sasa tunavyo ongea S.africa ingekuwa chini ya makaburu na wangekuwa wamesha kita mizizi ambayo hapo baadae ingekuwa ngumu kuingoa.

Hata Wapalestina kinacho wagharimu sasa ni matokeo yao ya kutumia miaka mingi sana kwenye mazungumzo kupitia PLO na Israel badala ya shinikizo la silaha.

Nakuhakikishia Israel ingekuwa na shinikizo kutoka kwa makundi yenye silaha kama analo lipata sasa hivi kutoka kwa hamas toka mwaka 1967 Israel ingekuwa ilisha kubali kuanzishwa kwa taifa huru la palestina.
Hivi unajua chanzo cha Israel kujiondoa kwenye ukanda wa gaza mwaka 2005?
Ni kwa sababu ya makundi yenye silaha kuweka shinikizo kwa kufanya mashambulizi ya kushutukiza dhidi ya wanajeshi wa Israel na walowezi walio kuwa ndani ya gaza ina maana Israel ilijiondoa ndani ya gaza baada ya kuona ni eneo hatari kwa wanajeshi na raia wake wa kilowezi , sasa hali kama hiyo walitakiwa waipitie waisrael wanao ishi ndani eneo lote la ardhi za wapalestina yaani kila ardhi ya wapalestina watakayo ikalia iwe chungu kwao.

Tena kama huyo Mohamud Abas ni kikwazo kikubwa sana kwa wapalestina kupata haki zao maana anawafanya Wayahudi walirax ndani ya ardhi za wapalestina kwa kujifanya ni mpenda amani kwa kuamini eti Israel itakuja kumkabidhi nchi kwa maneno tu.
Kila mwaka huko west bank maelfu ya wapalestina wanafungwa jera,kuuawa na wengine kufukuzwa kwenye ardhi zao yeye ametizama tu ,na mbaya zaidi anashirikiana na Israeli kudhibiti organization wapalestina zenye silaha zinazo endesha mapambano ndani ya eneo hilo.

Ebu mkuu jiulize maswali machache tu tena rahisi hivi unadhani Usoviet ingeondoka nchini Afghanistan bila shinikizo la silaha kutok kwa mujahidina?

Au unafikiri bila shinikizo la Talban Marekani ingekuwa hata na mpango wa kijiondoa Afghanistan?
 
hiyo namba namba 7 ndio msingi wa hoja yangu.. aidha Hamas wamekubali kutumika au wao na washirika wao hawakuwa na strategy nzuri.. huwez kusema hamas kaingia vitan kuwa katimiza wajibu wake.. wajibu wa vita ni kutoka na ushindi.. Je hao washirika waliomsanda Hamas kulikuwa ana makubaliano kuwa Hamas wakilianzisha wao watakuja na madege yao?.. ama makubaliano yalikuwa wapi... sikatai Palestina wanahaki ya kuishi Nchi huru.. shida yangu ni mkakat wa kuitafuta Nchi uhuru unavyoendeshwa..

hamuwez kuanzisha mambo ambayo yana wacost uhai na miundo mbinu kila siku.. halafu mseme "oh! we did our best wanaotusapoti nao wafanye yao.." kumbuka hao wanaosapoit wana Ajenda zao ziwe ni positive ( kwa maana ya kutaka Haki itendeke na wanasimamia haki.. ama negative kwa maana ya wao kutengeneza superiority ukanda ule... kwa kuwa watakuwa na influence ya utawala wa palestina huru. sababu yoyote ile ambayo washirika wa palestina watakayoitoa kuwa kwa nini wako upande wa hamas, basi hiyo sababu ambayo wao wenyewe wanaiona haina uzito wa kiasi cha wao kuingia vitani kuwasaidia Hamas na palestina yote... so shida yangu ni Aina ya jinsi mambo yalivyoendeshwa na hamas miaka yote ile..

angalia wanaounga mkono Isreal mataifa ya Ulaya na Marekani.. sio tu wametoa matamko wamekwenda mbali zaid na kusogeza vifaa vya kijeshi.. maana yake wanaangalia nani anasuport Hamas atajoin the fight. they didnt shy out kwenye kusupoprt Israel.. so i expected the same kwa upande wa Hamas kwa uthubutu waliouonyesha

na kwa kukujuza tu Hamas ni chimbuko la muslim brotherhood ile ya yemen na misri ambayo misri ilipigwa marufuku .. so utaona kuwa wana direct supoort kutoka washirika wa ukanda huo... lakini miaka yote mikakati yao inakuwa mikakati mfu... unajua hadi palestina yenyewe ishagawanywa nao kuna palestina ya Abbas ( westbank) na kuna ya Hamas, infact Hamas walipochukua upande ule wa gaza strip Mhmoud Abbas ambaye ni de facto leader wa palestina alitangaza state of emergency.. na Israel wakishirikiana na Misri walifunga mipaka ya Gaza strip.


Natumia Analogy hii hapo chini kukuonyesha kwa nini Hamas wako wrong katika kupanga mashambulizi yao

Mfano kuwe kuna kikundi cha watu ambao wana silaha kali na wako wengi kuliko nyie wanakuja kuwavamia mtaan na kuwapora na silaha ( bunduki) kila wanapojisikia.. kisha mjue nyumba wanayoiishi.. its obvious hamwez kuamua kwenda na mawe na mapanga kwa watu ambao mna uhakika wako wengi kuliko nyie na wanaweza kuwashambulia kutokea mbali kabla hamjafika na visu vyenu.. mtaisha wote...

1. HAMAS hawezi kulaumiwa kwa kusalitiwa na washirika au wahanga wenzake.

2. Tambua kama Palestine pia Syria, Lebanon na wengine wana ardhi zao mikononi mwa Israel.

3. Manowari zilizosogezwa pale ni kuwatia hofu washirika wengine kutowaunga mkono HAMAS.

4. Alichokuwa kakianzishia HAMAS pale iwe kwa makubaliano au vinginevyo kilistahili kuungwa mkono na wahanga wote wa Israel.

5. Kutokuwepo kwa kina Muamar Gaddafi, Saddam Hussein, Assad Senior ni pigo kubwa kwa Palestina.

6. Kusubiria huruma ya Israeli ni sawa na kusubiria katiba mpya kutoka CCM Kwa huruma yao.
 
Nilidhani umeanza kutumia akili, kumbe bado kilaza.....ingekua sio hiyo dini yenu na mauchafu yake watu wa pael Gaza wangeishi kwa amani, ila kwa vile mliaminishwa na 'mungu' wenu kuua kila Myahudi, ndio maana mnajilipua lipua mabomu na hamtaki mazungumzo yoyote...

sahih muslim 2921
Abdullah b. 'Umar reported Allah's Messenger (ﷺ) as saying:
You and the Jews would fight against one another until a stone would say: Muslim, here is a Jew behind me; come and kill him.

Unaowang'ang'aniza dini wengine wapagani ndugu. Wadhani kila mtu ni mfuasi wa hizo dini zenu?
 
Unaowang'ang'aniza dini wengine wapagani ndugu. Wadhani kila mtu ni mfuasi wa hizo dini zenu?

Usingekua unatokwa povu huku za kushabikia maugaidi kama sio udini unakusumbua, haitokuja hata siku moja mfaulu kuua Wayahudi wote kama alivyoagiza huyo muarabu 'mungu' wenu.

sahih muslim 2921
Abdullah b. 'Umar reported Allah's Messenger (ﷺ) as saying:
You and the Jews would fight against one another until a stone would say: Muslim, here is a Jew behind me; come and kill him.
 
Back
Top Bottom