Kwanini hamtaki kujibu haya maswali kwenye Biblia?

Kwanini hamtaki kujibu haya maswali kwenye Biblia?

Mnachokitafuta mtakipata.
Acha kuchimba mikwara...

Watu wana miaka 30 hawa amini kwenye Mungu na wana kula good time maisha safi, maisha Classic.

Ninyi waamini Mungu ni maskini choka mbaya, kazi kukesha makanisani kutwa kucha mkisali na kupayuka " Napokea Napokea Napokea"

Mwisho wa siku mnapokea umaskini.

Mme aminishwa kwamba Hazina zenu zipo mbinguni 😂😂😂😂

Hamjiulizi kwamba kama hazina zenu ni mbinguni kwa nini hamku umbwa muishi mbinguni?

Kwa nini tuliumbwa duniani kama hazina zetu ni mbinguni?

Kama Hatupaswi kujiwekea Hazina duniani, Hazina hizi ziliumbwa kwa ajili ya nani?

Amkeni amkeni....!!!!
 
😂Kutojua doesn't mean god did it...ukishaelewa hivi bac...watu walisema mvua ni maji kutoka mbinguni yanamwagwa na Mungu mbona Leo Hadi watoto wa primary wanajua how rain is formed hili Chaka la kumficha Mungu linazidi kupungua day by day tu
Hahahaha uelewa wako mdogo,kwamba Mungu aliposema anateremsha maji mawinguni ulidhani anamimina toka kwenye mapipa!...aliposema katuumba kwa hatua kwenye matumbo ya mama zetu ninkwamba Yuko bize na vidole vyake anachanganya mambo tumboni!?..fikiri
 
kwa kweli majibu ya utafiti wangu yako sahihi kwamba biblia na vitabu vingine vya dini vimejaa visa vya kubuni na hadithi za vitu vya kusadikika.anaenipinga anipinge kwa hoja sasa mke wakaini alitoka wapi hapo? wakati biblia au quran inatuaminisha Adam na hawa ni watu wakwanza kuumbwa?
Biblia ni sawa na Hekaya za Abunuwasi au Hekaya za Alfu Lela ulela
 
Mnachokitafuta mtakipata.
Wewe tangu umemtafuta huyo Mungu ushawahi kumpata?

Yani hata ninyi, mnao mtafuta huyo Mungu hamjawahi kumpata.

Halafu unakuja kuchimba watu mikwara kwamba tunacho kitafuta tutakipata...

Ninyi hata huyo Mungu mnaye mtafuta kila kukicha hamjawahi kumpata kwa vile Hayupo.
 
hii itazua taharuki

ila nakumbuka mwalimu wangu wa bible knowledge kasomea theology alikua anatuambia kuna nadharia kwamba adam na hawa walikua na watoto wengine wa kike, lakini tamaduni za kipindi kile watoto wa kike walikua hawahesabiwi ndo maana hawajazungumziwa....

hata mtoto wa yakobo, dinah hakuzungumziwa sana kama mnakumbuka na wala hawakusema kama alipewa ardhi kule kwenye nchi ya ahadi

kiufupi bibilia ya agano la kale inakandamiza sana wanawake

lakini uhalisia ni kwamba kuanzia mwanzo 1-11 ni hadithi za kutungwa, sema hii itakua ngumu kwa wanaoamini kuelewa
Genius wewe!
 
Idadai ya Waisrael wakati wanatoka utumwani Misri kwenda Nchi ya Kaanani, walikuwa watu laki 6, bila kuhesabu wanawake na watoto
Yesu aliwalisha kwa samaki mmoja na mikate mitano watu elfu tano, bila kujali wanawake na watoto
Sijui kama nitakuwa nimejibu swali lako
KAINI NA Abel walikuwa 2 tu, hao laki 6 hiyo story nyingine, jibu swali, huyo aliyebaki alipata wapi mke?
 
Inawezekana hayupo kwenye mawazo yako na inawezekana wapo wanakuangalia, mmoja anafurahi mwingine anasikitika.
Hayupo wa kuniangalia. Ndio maana wewe pia unaandika kwamba inawezekana. Sasa nikupe uhakika haiwezekani kwa sababu hawapo mahala popote, sio kwenye mawazo wala kwenye uhalisia, hawapo na hawajawahi kuwepo.
 
Habari zenu,

Naombeni majibu ya haya maswali kwenye maneno ya Biblia:

"Ukisoma mwanzo unaambiwa Adam na Hawa walimzaa Kaini na Habili, baadaye Kaini alimuua nduguye Habili. Baada ya hiyo hali Mungu akamfukuza Kaini (Kaini akatoka mbele za uso wa Bwana akakaa katika nchi ya Nodi mbele ya Edeni). Kaini akamjua mkewe naye akapata mimba akamzaa Henoko."


Swali liko hapo; Huyo mke wa Kaini alitoka wapi wakati Mungu alikuwa ameumba watu wawili tu na walizaa watoto wawili na kati ya hao mmoja alikuwa amefariki? Huyo mke alitoka wapi, embu tupeni majibu?

ulikua unamuuliza nan wewe fala?? mtag ulokua unamuulza
 
Habari zenu,

Naombeni majibu ya haya maswali kwenye maneno ya Biblia:

"Ukisoma mwanzo unaambiwa Adam na Hawa walimzaa Kaini na Habili, baadaye Kaini alimuua nduguye Habili. Baada ya hiyo hali Mungu akamfukuza Kaini (Kaini akatoka mbele za uso wa Bwana akakaa katika nchi ya Nodi mbele ya Edeni). Kaini akamjua mkewe naye akapata mimba akamzaa Henoko."

Swali liko hapo; Huyo mke wa Kaini alitoka wapi wakati Mungu alikuwa ameumba watu wawili tu na walizaa watoto wawili na kati ya hao mmoja alikuwa amefariki? Huyo mke alitoka wapi, embu tupeni majibu?

MKUU NAOMBA NIKUONGEZEE NA MENGINE WAJE WAYAJIBU KAMA WATAWEZA...
Biblia ina majibu tofauti kwa Muktadha na Matukio yale yale kama kuna mtu akija akajibu haya maswali Naondoka JF leo leo

1. Nani alimwambia Mfalme Daudi kufanya sensa ya kwanza israel?
  • Mungu (2 Samweli 24: 1)
  • SHETANI (I Mambo ya Nyakati 21:1)
2. Katika sensa watu wa kupigana walikuwa kiasi gani nchi ya israeli?
  • Laki nane (2 Samweli 24:9)
  • Milion moja na laki moja (I Mambo ya Nyakati 21:5)
3. Katika sensa hiyo Wangapi walikuwa Katika nchi ya uyahudi (Yuda)?
  • Laki Tano(2 Samweli 24:9)
  • LAKI nne na sabini (I Mambo ya Nyakati 21:5)
4. Mungu alipotuma Nabii kumuonya na kumtisha Daudi kuhusu alimwambia atapata Miaka ya Njaa?
  • Miaka saba (2 Samuel 24:13)
  • Miaka mitatu (I Nyakati 21:12)

5. Ahazia alikuwa na Miaka mingapi alipoanza kutawala Yerusalem?
  • Miaka 22 (2 Wafalme 8:26)
  • Miaka 42 (2 Nyakati 22:2)
Waanze kwanza na hizo

NA BAAADAE NTAKUJA NA KIZAZI CHA YESU UKOO WAKE NIUCHAMBUE NA STORY YA MTUME PAULO
 
Karudie kusoma Tena uelewe,yaani soma nilichoandika siyo alichoandika mwenzio katika imani
Nimesoma ila nilichoona ni kuwa ulikwepa hoja badala ya kujibu swali mara sijui ili kujadili chanzo cha Mungu inabidi kwanza mtu akubali kama huyo Mungu yupo, hiyo inahusiana nini wakati wewe unayeamini kwamba kuna Mungu kwa kigezo cha kwamba kila kilichopo lazima kiwe na chanzo chake, ndio unatakiwa ueleze chanzo chake ni kipi kabla ya kumshawishi kwanza huyo mtu kwamba Mungu yupo
 
Habari zenu,

Naombeni majibu ya haya maswali kwenye maneno ya Biblia:

"Ukisoma mwanzo unaambiwa Adam na Hawa walimzaa Kaini na Habili, baadaye Kaini alimuua nduguye Habili. Baada ya hiyo hali Mungu akamfukuza Kaini (Kaini akatoka mbele za uso wa Bwana akakaa katika nchi ya Nodi mbele ya Edeni). Kaini akamjua mkewe naye akapata mimba akamzaa Henoko."


Swali liko hapo; Huyo mke wa Kaini alitoka wapi wakati Mungu alikuwa ameumba watu wawili tu na walizaa watoto wawili na kati ya hao mmoja alikuwa amefariki? Huyo mke alitoka wapi, embu tupeni majibu?
Mwandishi alijichanganya, subiri tutafanya marekebisho.
 
Habari zenu,

Naombeni majibu ya haya maswali kwenye maneno ya Biblia:

"Ukisoma mwanzo unaambiwa Adam na Hawa walimzaa Kaini na Habili, baadaye Kaini alimuua nduguye Habili. Baada ya hiyo hali Mungu akamfukuza Kaini (Kaini akatoka mbele za uso wa Bwana akakaa katika nchi ya Nodi mbele ya Edeni). Kaini akamjua mkewe naye akapata mimba akamzaa Henoko."

Swali liko hapo; Huyo mke wa Kaini alitoka wapi wakati Mungu alikuwa ameumba watu wawili tu na walizaa watoto wawili na kati ya hao mmoja alikuwa amefariki? Huyo mke alitoka wapi, embu tupeni majibu?
Adamu na Hawa walizaa mapacha wa kwanza ambapo alikua Ni kain na Dada ake baada ya hapo wakazaliwa mapacha wengine ambao n habili na Dada ake
Kwakua iliwataka kila mmoja amuoe Dada wa mwenzie hapo kaini akaamua kumuua mwenzie kwa wivu kwakua Dada wa habil alikua sio mrembo Kama Dada wa kaini
Ili kaini amuoe yeye mwenyew Dada ake
 
Biblia ni hadithi za kutungwa sawa na Hekaya za Abunuwasi au riwaya za kusisimua za joka la Mdimu.

Bible is a Fairytale, Mythology, Fictional book.
Quran ni zaidi, kifupi hivyo vitabu ni masela flani walikaa chini wakaunda maneno.
 
Biblia inajichanganya kwenye Adam kubwa mtu wa kwanza,maana Inasema baada ya Adam kufukuzwa edeni,huko walikoenda wakakuta watu,sishangai wazungu kukataa dini,ukiichimba Imani ya kikiristo sharti uone kizunguzungu
Ukiichimba ya Kiislam ndo utachana kabisa lile jarida.
 
Back
Top Bottom