min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Sio balaa ww unaamini kabisa eti watu walijenga mnara kumfikia Mungu????[emoji23][emoji23][emoji23] una balaa wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio balaa ww unaamini kabisa eti watu walijenga mnara kumfikia Mungu????[emoji23][emoji23][emoji23] una balaa wewe
Swali linahusu kazini na mkewe, na sio YesuIdadai ya Waisrael wakati wanatoka utumwani Misri kwenda Nchi ya Kaanani, walikuwa watu laki 6, bila kuhesabu wanawake na watoto
Yesu aliwalisha kwa samaki mmoja na mikate mitano watu elfu tano, bila kujali wanawake na watoto
Sijui kama nitakuwa nimejibu swali lako
Biblia inajichanganya kwenye Adam kubwa mtu wa kwanza,maana Inasema baada ya Adam kufukuzwa edeni,huko walikoenda wakakuta watu,sishangai wazungu kukataa dini,ukiichimba Imani ya kikiristo sharti uone kizunguzunguHabari zenu,
Naombeni majibu ya haya maswali kwenye maneno ya Biblia.
Ukisoma mwanzo unaambiwa adam na Hawa walimzaa kaini na Habili baadaye kaini alimuua nduguye Habili baada ya hiyo hali Mungu akamfukuza Kaini ("kaini akatoka mbele za uso wa Bwana akakaa katika nchi ya Nodi mbele ya Edeni.
Kaini akamjua mkewe naye akapata mimba akamzaa henoko") swali liko hapo HUYO MKE WA KAINI ALITOKA WAPI NA KATI MUNGU ALIKUWA AMEUMBA WATU WAWILI TU NA WALIZAA WATOTO WAWILI NA KAT YA HAO MMOJA ALIKUWA ASHAKUFA? HUYO MKE ALITOKA WAPI EM TUPENI MAJIBU
Ili uamini Qur'an itatoa jibu la kweli inakupasa uamini tena imetoka kwa Mungu na uamini tena Mungu yupo bila udhibitisho wowote.Quran inalojibu
Hawakutajwa kwenye biblia,we umejuaje!?Adam na Eva waliiwahi kuzaa watoto wa kike pia, ila hawakutajwa kwenye Biblia na mmoja wao ndiyo huyu aliyekuja kuolewa na Kaini. Walikuwa wanaruhusiwa kuoana mtu na dada yake
Wanaoamini QUR'AN imetoka kwa Mungu Wana uthibitishoIli uamini Qur'an itatoa jibu la kweli inakupasa uamini tena imetoka kwa Mungu na uamini tena Mungu yupo bila udhibitisho wowote.
Hakuna cha kutunga. Kila kitu ni Halisia. Mwalimu wa wa theology alikueleza ukweli. Biblia katika mwanzo 5:1-2 inasema "Adamu alizaa wana wa kike na kiume". Mwanzo 6:1-2 pia inasema Wana wa "Wanadamu waliopoongezeka juu ya uso wa nchi, wana wa Mungu wakijitwalia wanawake miongoni mwao na wakazaa nao watoto"hii itazua taharuki
ila nakumbuka mwalimu wangu wa bible knowledge kasomea theology alikua anatuambia kuna nadharia kwamba adam na hawa walikua na watoto wengine wa kike, lakini tamaduni za kipindi kile watoto wa kike walikua hawahesabiwi ndo maana hawajazungumziwa....
hata mtoto wa yakobo, dinah hakuzungumziwa sana kama mnakumbuka na wala hawakusema kama alipewa ardhi kule kwenye nchi ya ahadi
kiufupi bibilia ya agano la kale inakandamiza sana wanawake
lakini uhalisia ni kwamba kuanzia mwanzo 1-8 ni hadithi za kutungwa, sema hii itakua ngumu kwa wanaoamini kuelewa
Toa udhibitisho apa kila mtu ajue Mungu yupo wap na kwa nini ajifiche na kwa nini aumbe watu ambao baadae hawatafuata matakwa yake kama kweli yeye ni mweza wa yote na hakosei.Wanaoamini QUR'AN imetoka kwa Mungu Wana uthibitisho
Biblia haielezi umri wa Kaini wakati alipomuua ndugu yake Habili (Mwanzo 4:8). Kwa kuwa wote walikuwa wakulima, lazima wawe walikuwa watu wazima, hata pengine na jamii zao.Habari zenu,
Naombeni majibu ya haya maswali kwenye maneno ya Biblia.
Ukisoma mwanzo unaambiwa adam na Hawa walimzaa kaini na Habili baadaye kaini alimuua nduguye Habili baada ya hiyo hali Mungu akamfukuza Kaini ("kaini akatoka mbele za uso wa Bwana akakaa katika nchi ya Nodi mbele ya Edeni.
Kaini akamjua mkewe naye akapata mimba akamzaa henoko") swali liko hapo HUYO MKE WA KAINI ALITOKA WAPI NA KATI MUNGU ALIKUWA AMEUMBA WATU WAWILI TU NA WALIZAA WATOTO WAWILI NA KAT YA HAO MMOJA ALIKUWA ASHAKUFA? HUYO MKE ALITOKA WAPI EM TUPENI MAJIBU
Wewe umeyajuaje kama hayakuandikwa??Kuna mengi kwenye biblia hajaamdikwa maana yangeandikwa yote yasingetosha kujaa hata kwa karatasi zote zilizopo hata leo.
Uamuzi ni wako kuamini au kuona stori za Abunuwasi nk
Mzee, vipi kuhusu Quran nayo ni ya kutunga ama vipiBiblia ni hadithi za kutungwa sawa na Hekaya za Abunuwasi au riwaya za kusisimua za joka la Mdimu.
Bible is a Fairytale, Mythology, Fictional book.
Unataka uthibitisho wa uwepo wa Mungu au unataka kujua alipo!?..Toa udhibitisho apa kila mtu ajue Mungu yupo wap na kwa nini ajifiche na kwa nini aumbe watu ambao baadae hawatafuata matakwa yake kama kweli yeye ni mweza wa yote na hakosei.
Kwa sababu wametaajwa kuwa walikuwa hawatajwi; tangu kipindi kile cha Mwanzo Waisrael walipokuwa wanatoka utumwani MisriHawakutajwa kwenye biblia,we umejuaje!?
Kuna na mambo mengi aliyoyafanya Yesu; ambayo yakiandikwa moja moja, nadhani hata ulimwengu usingetosha kwa vile vitabu vitakavyoandikwa.Wewe umeyajuaje kama hayakuandikwa??
Tupe sababu ,kwanini za kutungwa ?lakini uhalisia ni kwamba kuanzia mwanzo 1-8 ni hadithi za kutungwa, sema hii itakua ngumu kwa wanaoamini kuelewa
Mkuu nisikuchoshe bure Mungu angekuepo ata huu mjadala wa kujiuliza kama yupo au hayupo usingekuwepo.Unataka uthibitisho wa uwepo wa Mungu au unataka kujua alipo!?..