Kwanini hamtaki kujibu haya maswali kwenye Biblia?

Kwanini hamtaki kujibu haya maswali kwenye Biblia?

Kwa sababu wametaajwa kuwa walikuwa hawatajwi; tangu kipindi kile cha Mwanzo Waisrael walipokuwa wanatoka utumwani Misri
Israel kutoka utumwani ni juzi tu ukilinganisha na kuumbwa adama,by the way Adam hakuwa muisrael
 
Kwani kurani, kitabiokdasi, Sikhism, Hindu, Pagani, Shinto nk wao wanasemaje, au Darwin na Lenin wanasemaje
 
Mzee, vipi kuhusu Quran nayo ni ya kutunga ama vipi
Maandiko yote ya kidini
"Biblia na Quran" ni maandiko ya kutungwa na kusadikika sawa na Hekaya za Abunuwasi.

Ndio maana yamejaa Contradictions na logical fallacies nyingi sana.
 
Mjadala kwa wasiofikiri ndo unakuwepo,huwezi kwenda mfugale interchange,ukute site za kupitia na taa za kuingozea magari halafu useme mfugale imetokea tu hakuna aliyeiplan na kuijenga
Kama unaamini hakuna kitu kinaweza kuwepo tu bila kuwekwa , je Mungu kawekwa na nan ? Kinyume na apo hoja yako ni mfu.
 
Kama unaamini hakuna kitu kinaweza kuwepo tu bila kuwekwa , je Mungu kawekwa na nan ? Kinyume na apo hoja yako ni mfu.
Suala la kitu kuwepo ni sharti pawepo muwekaji si Imani Bali fact,suala la Mungu kawekwa na nani hapo alipo litafuata baada ya kumaliza mjadala wa yupo au laa...sawa!?
 
Tupe sababu ,kwanini za kutungwa ?
Biblia imejaa Contradiction nyingi sana na logical fallacies...

Yani Biblia ina ji Contradict yenyewe kwa yenyewe kwa kauli zake.

Na hii ni uthibitisho tosha kwamba Biblia ni kazi na maandiko ya kutungwa yaliyo na dosari za kibinadamu.

Hivyo biblia ni stori za kusadikika.

Nitakupa mfano wa baadhi ya Contradiction hizo[emoji116][emoji116][emoji116]
Screenshot_20231024-153634_1.jpg
Screenshot_20231024-153725_1.jpg
 
Habari zenu,

Naombeni majibu ya haya maswali kwenye maneno ya Biblia:

"Ukisoma mwanzo unaambiwa Adam na Hawa walimzaa Kaini na Habili, baadaye Kaini alimuua nduguye Habili. Baada ya hiyo hali Mungu akamfukuza Kaini (Kaini akatoka mbele za uso wa Bwana akakaa katika nchi ya Nodi mbele ya Edeni). Kaini akamjua mkewe naye akapata mimba akamzaa Henoko."


Swali liko hapo; Huyo mke wa Kaini alitoka wapi wakati Mungu alikuwa ameumba watu wawili tu na walizaa watoto wawili na kati ya hao mmoja alikuwa amefariki? Huyo mke alitoka wapi, embu tupeni majibu?
Maswali ya kibiblia yanajibiwa na bilblia yenyewe.
Ongeza bidii soma biblia yote taratibu na Polepole itapata jibu sahihi kabisa........

Nje ya biblia swali lako ni kama vita kati ya ulimwengu wa Nuru na Ulimwengu wa Giza Totoro.
 
Mjadala kwa wasiofikiri ndo unakuwepo,huwezi kwenda mfugale interchange,ukute site za kupitia na taa za kuingozea magari halafu useme mfugale imetokea tu hakuna aliyeiplan na kuijenga
Huyo Mungu na yeye alitokeaje?

Hivi na wewe unafikiri sawasawa kweli?

Kama huwezi kwenda mfugale, na useme imejitengeneza yenyewe kwamba lazima awepo mtengenezaji,

Basi hata huyo Mungu HAWEZI kutokea tu from no where, Mungu huyo Lazima awe na mtengenezaji wake.

Na watengenezaji Endless, ili pasiwepo kitu chochote kile kilicho jitokeza chenyewe tu pasipo mtengenezaji.
 
Biblia imejaa Contradiction nyingi sana na logical fallacies...

Yani Biblia ina ji Contradict yenyewe kwa yenyewe kwa kauli zake.

Na hii ni uthibitisho tosha kwamba Biblia ni kazi na maandiko ya kutungwa yaliyo na dosari za kibinadamu.

Hivyo biblia ni stori za kusadikika.

Nitakupa mfano wa baadhi ya Contradiction hizo[emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 2793694View attachment 2793695
Kutoka misri mpka Israel ni km 623, ila musa na genge lake walitembea miaka 40, wastani wa km 15 kwa mwaka ,sawa na km 125 kwa mwezi, saw na mita 42 kwa siku sawa na uwanja wa mpira wa miguu[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
 
Ili swali sijawahi pata jibu japo nimewauliza waumini wengi wa madhehebu tofauti
Kuna sehemu nyingi ndani Bible waandishi wa Bible walikosea kulinganisha uhalisia. Hivyo kwa hili swali lako usitegemee kupata jibu.

Kule mlima Sinai Lutu alizaa na watoto wake wote wawili. Na alizaa nao ikiwa ni baada ya watoto hao kumnywesha pombe baba yao kisha watoto hao wakashiriki tendo la ndoa na baba yao. Lakini kumbuka watatu hao walipona katika ghalika la Sodoma na gomola. Kwa maana nyingine walikuwa ni watiifu kwa Mungu. Sasa omba majibu ya maswali haya kama utapata majibu÷

1. Je kitendo walichokifanya watoto hao sahihi mbele za Mungu?

2. Je kizazi hicho cha maharimu ni kizazi kinachokubalika kwa Mungu?

3. Je pombe ni halali mbele za Mungu kwa sababu wataktifu wake hao waliitumia kama nyenzo ya kupata watoto?

4. Wajukuu wa Lutu aliozaa na watoto wake majina yao ni kina nani?

5. Lutu baada ya kubaini watoto wake wana ujauzito huku akijua kwamba maeneo hayo hawakuwa na mtu yeyete aliye karibu nao aliwahoji watoto hao walikopata mimba?
 
Back
Top Bottom