Mbona mmnabwabwaja sana, ni nani hana mapungufu kwao hatokako.....au ndani ya familiya yake.Kuna dada yake alifariki kwenye hali ya ufukara sana, jeneza lilipangwa juu ya stuli. Sitamsahau yule baba
Uwe unatumia akili kidogo we jamaa. SHAME ON YOUKuna dada yake alifariki kwenye hali ya ufukara sana, jeneza lilipangwa juu ya stuli. Sitamsahau yule baba
Onyesha jeneza limesimamishwa kwenye niniUwe unatumia akili kidogo we jamaa. SHAME ON YOUView attachment 2472139
Nyinyi wengine hamkunjua Magufuli. Mlikuwa mnamsikia tu na kuamini fix zake.Kwakweli umeandika upuuzi, na kikukumbushe tu jpm anapendwa kila kona, duniani, kaburini , ulimwengu mzima na mbinguni.
Ati ulimfanyia kazi aiiiiiiiiiiiii[emoji57][emoji57][emoji57][emoji57] bureeee.
Sawa mkuu,,Jiunge na wewe kwenye kuitafuna nchi, acha kulialia.
Unaifahamu kasenga,mwangaza naichwankima?nañi wengihuko Kama siyo waha watupu?usiisahau bwanga minkoto na nyakayondwa!!!Mimi sijazungumzia wenyeji wa chato jamii nyingi hata geita katoro na Kahama sio ya wasukuma kwa asili ila majority kwa sasa ni wasukuma!
Mimi nakushangaa Kusema Chato waha ni wengi lakini ukweli ni kwamba waha chato ni wachache sana maana shughuli nyingi za waha hasa wanapokuwa wahamiaji ni biashara ndogo ndogo sio uvuvi wala kilimo!
Waha wengi wapo mjini wakifanya biashara hasa ya maduka na masokoni!
Kwa chato wapo ila sio wengi wakuweza Kusema ni majority!
Ni kwa sababu alikuwa akilipenda sana kiasi cha kuchaguliwa mbunge wake kwa zaidi ya miaka 20Huenda hili likakushangaza lakini ukweli ndio huu, zaidi ya nusu ya watu wa jimboni kwake hawakumpenda.
Ila wale waliompenda walimpenda sana tena sana.
Visa vyote ninavyoandika kumuhusu Hayati Magufuli ni vya kweli sababu nilikuwa nae karibu kwa kazi fulani ambayo sitaitaja humu,nimeishi jimboni kwake Chato nikifanya kazi hiyo,nimeingia Ikulu bila appointment nikifanya kazi hiyo.haikuwa kazi ya serikali bali nikiwa kibarua kwenye mradi fulani wilayani Chato,mradi wake binafsi
Naifahamu Chato kama ninavyoifahamu Dar na Dodoma
Kwa wasiofahamu jimbo hili ngoja niwape muhtasari kidogo,nimezunguka Tanzania hii sijawahi kuona jimbo lina makabila mengi kama jimbo la Chato,huwezi kujua kabila kipi ni dominant na lipi predominant,
Chato kuna
Wahangaza,wanyambo,watutsi,
warundi,waha,wazinza,wasubi,wahaya,wazinza,wasumbwa,wasukuma,na kila mmoja hujiona hapo ni kwao kwa asili.watu wa huko hufahamu lugha hizo zote,hata hayati JPM alijua hizo lugha zote japo kihistoria baba yake alihamia.
Miaka ya nyuma Chato ilikuwa tarafa ndani ya wilaya ya Biharamulo mkoa wa Kagera ,Sasa mwaka 1990 hayati JPM akagombea ubunge na mzee Phares Kabuye,alishindwa vibaya sana kura za maoni unajua kwa nini?
Jpm alikuwa akienda vijiji vyenye wasukuma anajifanya msukuma na kuwaponda wasubi kuwa ni wakulima wa migomba mbunge wao hawezi kuwasaidia wao wakulima wa pamba,hivyo wamchague yeye.
Meanwhile akienda Biharamulo anajifanya ni Msubi na kuongea Kisubi na anawaambia yeye ni ukoo wa Wayango wazilankende,ukoo ambao hauko usukumani bali kigoma ,butundi,rwanda,uganda na makabila yanayosikilizana na wahaya.hapo atajifanya msubi orijino na kuwaponda wasukuma kuwa ni wanyamahanga yaani wavamizi wa mkoa wa Kagera,
Akienda maeneo yenye waha wengi atajifanya muha na kuongea kiha na kirundi,siasa za ukabila zikamponza akadondokea pua.
Mizimu ya kwao ikamsaidia jimbo likagawanywa mashariki na magharibi 1995 akagombea mashariki ilipo kata ya Chato akajibatiza usukuma ila kuna wakati alikuwa akijisahau na kurudia kusema yeye ni myango ukoo ambao hauko usukumani,
Akagombea kwa style ileile ya kutumia vernacular languages kulingana na audience.
Akajikuta anachukiwa na makabila mengine jimboni kwake isipokuwa wasukuma.
Uwekezaji alioufanya jimboni kwake baada ya kuwa Rais ilikuwa ni kutafuta huruma na kufuta makovu ya makabila mengine na alifanikiwa maana makabila yote yalifaidi uwekezaji ule.
Lakini watu wa Biharamulo magharibi hawatamsahau kwa maana barabara ya lami oliyotakiwa kupita mjini kwao kuelekea Bukoba ilipofika kata ya Bwanga akaichepusha kuelekea Chato,Muleba kama adhabu ya kumnyima kura 1990.
Barabara hiyo ilikuja kuwekwa lami baadae baadae sana.
Utajiuliza mbona alikuwa anashinda ubunge kila mara
kama hakuwa anapendwa?
Ni kwamba ulitumika umafia na hadaa kwa washindani wake,wengine wakitishwa au kutekwa au kuahidiwa vyeo na pesa ili wajitoe kugombea nae
Hitimisho;
Ukabila upo na Hayati JPM alichukiwa jimboni kwake sababu ya mbegu ya ukabila iliyopandwa na........
Lengo lako hapa ni nini wakati mwenyewe eshajiondokea zamani na hii itatusaidia nini?Huenda hili likakushangaza lakini ukweli ndio huu, zaidi ya nusu ya watu wa jimboni kwake hawakumpenda.
Ila wale waliompenda walimpenda sana tena sana.
Visa vyote ninavyoandika kumuhusu Hayati Magufuli ni vya kweli sababu nilikuwa nae karibu kwa kazi fulani ambayo sitaitaja humu,nimeishi jimboni kwake Chato nikifanya kazi hiyo,nimeingia Ikulu bila appointment nikifanya kazi hiyo.haikuwa kazi ya serikali bali nikiwa kibarua kwenye mradi fulani wilayani Chato,mradi wake binafsi
Naifahamu Chato kama ninavyoifahamu Dar na Dodoma
Kwa wasiofahamu jimbo hili ngoja niwape muhtasari kidogo,nimezunguka Tanzania hii sijawahi kuona jimbo lina makabila mengi kama jimbo la Chato,huwezi kujua kabila kipi ni dominant na lipi predominant,
Chato kuna
Wahangaza,wanyambo,watutsi,
warundi,waha,wazinza,wasubi,wahaya,wazinza,wasumbwa,wasukuma,na kila mmoja hujiona hapo ni kwao kwa asili.watu wa huko hufahamu lugha hizo zote,hata hayati JPM alijua hizo lugha zote japo kihistoria baba yake alihamia.
Miaka ya nyuma Chato ilikuwa tarafa ndani ya wilaya ya Biharamulo mkoa wa Kagera ,Sasa mwaka 1990 hayati JPM akagombea ubunge na mzee Phares Kabuye,alishindwa vibaya sana kura za maoni unajua kwa nini?
Jpm alikuwa akienda vijiji vyenye wasukuma anajifanya msukuma na kuwaponda wasubi kuwa ni wakulima wa migomba mbunge wao hawezi kuwasaidia wao wakulima wa pamba,hivyo wamchague yeye.
Meanwhile akienda Biharamulo anajifanya ni Msubi na kuongea Kisubi na anawaambia yeye ni ukoo wa Wayango wazilankende,ukoo ambao hauko usukumani bali kigoma ,butundi,rwanda,uganda na makabila yanayosikilizana na wahaya.hapo atajifanya msubi orijino na kuwaponda wasukuma kuwa ni wanyamahanga yaani wavamizi wa mkoa wa Kagera,
Akienda maeneo yenye waha wengi atajifanya muha na kuongea kiha na kirundi,siasa za ukabila zikamponza akadondokea pua.
Mizimu ya kwao ikamsaidia jimbo likagawanywa mashariki na magharibi 1995 akagombea mashariki ilipo kata ya Chato akajibatiza usukuma ila kuna wakati alikuwa akijisahau na kurudia kusema yeye ni myango ukoo ambao hauko usukumani,
Akagombea kwa style ileile ya kutumia vernacular languages kulingana na audience.
Akajikuta anachukiwa na makabila mengine jimboni kwake isipokuwa wasukuma.
Uwekezaji alioufanya jimboni kwake baada ya kuwa Rais ilikuwa ni kutafuta huruma na kufuta makovu ya makabila mengine na alifanikiwa maana makabila yote yalifaidi uwekezaji ule.
Lakini watu wa Biharamulo magharibi hawatamsahau kwa maana barabara ya lami oliyotakiwa kupita mjini kwao kuelekea Bukoba ilipofika kata ya Bwanga akaichepusha kuelekea Chato,Muleba kama adhabu ya kumnyima kura 1990.
Barabara hiyo ilikuja kuwekwa lami baadae baadae sana.
Utajiuliza mbona alikuwa anashinda ubunge kila mara
kama hakuwa anapendwa?
Ni kwamba ulitumika umafia na hadaa kwa washindani wake,wengine wakitishwa au kutekwa au kuahidiwa vyeo na pesa ili wajitoe kugombea nae
Hitimisho;
Ukabila upo na Hayati JPM alichukiwa jimboni kwake sababu ya mbegu ya ukabila iliyopandwa na........
Mbona unajieleza sana? Una wasiwasi kuwa Kuna takaye kustukia?Visa vyote ninavyoandika kumuhusu Hayati Magufuli ni vya kweli sababu nilikuwa nae karibu kwa kazi fulani ambayo sitaitaja humu,nimeishi jimboni kwake Chato nikifanya kazi hiyo,nimeingia Ikulu bila appointment nikifanya kazi hiyo.haikuwa kazi ya serikali bali nikiwa kibarua kwenye mradi fulani wilayani Chato,mradi wake binafsi
Naifahamu Chato kama ninavyoifahamu Dar na Dodoma
Je tunahitaji hiyo sasa? Ili iweje na kwa faida gani?Haisaidii kitu zaidi ya kuweka rekodi sawa tulionyeshwa upande mmoja ngoja tuonyeshwe na mwingine
Aiseeee !!!paschal mayalla, usimtete huyo bro wako.
1. nenda kwa sende, alinyimwa umeme wakati nguzo ya tanesco wilaya ndo angeitumia. kisa dr sende aliutaka ubunge 2005. fast boti zikanyimwa kibali.
2. mwaka 2010 kuna dogo anaitwa deusdedith katwale aligombe ubunge kupitia ccm, mwamba alipopata urais akampa uhujumu uchumi, katolewa na maza.
3. mwaka 2010 hiyo dr lukanima, wa mzumbe alitaka ubunge kupitia chadema, alifukuzwa kaz alipopata ukulu.
MUNGU NI WA KUSHUKURU SANA, AMINA.
Na bado kwenye uchaguzi mkawapa ccm kura za kutosha. Wamakonde kwa ccm hampinduiNa kikwete nae akatuma jeshi kuja kuwapiga wana kusini kisa kuhoji kuhusu nini tutakipata kwa uchimbaji huu wa gesi badala tujibiwe kwa maneno tukaletewa jeshi sitosahau binamu yangu akapigwa risasi pale masasi huu ni uonevu sana alitufanyia yule mbwa kikwete
Alishindwa Ubunge kila mwaka! Kwani uchaguzi ukifanyika kila mwaka huko Chato? 1990 ndiyo kila mwaka? 1995 vip? 2000, 2005, 2010 vip alishindwa pia?
Alikuwa jizi la kura wala hilo halikuwa na mjadala. Hao marifiki zake walikuwa ni wafaidika wa wizi wake, hivyo wanawajibu kumtetea boss wao.Unajifurahisha
Asilimia 90 ya vitu ulivyoandika humu ni uongo
Hujawahi wala humjui magufuli
Ukibisha na kulink na maswaiba wa jpm wala hawacoment