Kwanini Hayati Magufuli alikuwa hapendwi jimboni kwake?

Kwanini Hayati Magufuli alikuwa hapendwi jimboni kwake?

Kuna dada yake alifariki kwenye hali ya ufukara sana, jeneza lilipangwa juu ya stuli. Sitamsahau yule baba
Mbona mmnabwabwaja sana, ni nani hana mapungufu kwao hatokako.....au ndani ya familiya yake.
Muwe na moto wa shukurani, kwani we we huna ndugu yako aliyefukara na ukashindwa kumsaidia ....kwa taharifa yako ni kwamba hutoweza ifikia level ya maendeleo familiya ya Magu even before being president or after president... Relax... Povuuuu
 
Yaani ni hivi kaka magu alikua wa kipekee imagine mtu ana roho mbaya ila hapohapo kuna watu walikua tayari kufa wakiimba jina lake!! Ila me huu mwaka nimejifunza kitu "watu au jambo linaloacha alama ya uhakika huja kama mzaha! Mfano ni Yesu kristo ambae leo anaonekana maarufu kuliko binadam yeyote aliewahi kuishi alizaliwa katka zizi la ng'ombe!!!😶😶 tupunguze dharau hatujui maisha ymetupangia nini?
 
Kuna dada yake alifariki kwenye hali ya ufukara sana, jeneza lilipangwa juu ya stuli. Sitamsahau yule baba
Uwe unatumia akili kidogo we jamaa. SHAME ON YOU
Screenshot_20230107-170335_YouTube.jpg
 
Kwakweli umeandika upuuzi, na kikukumbushe tu jpm anapendwa kila kona, duniani, kaburini , ulimwengu mzima na mbinguni.

Ati ulimfanyia kazi aiiiiiiiiiiiii[emoji57][emoji57][emoji57][emoji57] bureeee.
Nyinyi wengine hamkunjua Magufuli. Mlikuwa mnamsikia tu na kuamini fix zake.

Mleta mada amesema ukweli kwa asilimia kubwa!
 
Mimi sijazungumzia wenyeji wa chato jamii nyingi hata geita katoro na Kahama sio ya wasukuma kwa asili ila majority kwa sasa ni wasukuma!
Mimi nakushangaa Kusema Chato waha ni wengi lakini ukweli ni kwamba waha chato ni wachache sana maana shughuli nyingi za waha hasa wanapokuwa wahamiaji ni biashara ndogo ndogo sio uvuvi wala kilimo!
Waha wengi wapo mjini wakifanya biashara hasa ya maduka na masokoni!
Kwa chato wapo ila sio wengi wakuweza Kusema ni majority!
Unaifahamu kasenga,mwangaza naichwankima?nañi wengihuko Kama siyo waha watupu?usiisahau bwanga minkoto na nyakayondwa!!!
 
Huenda hili likakushangaza lakini ukweli ndio huu, zaidi ya nusu ya watu wa jimboni kwake hawakumpenda.
Ila wale waliompenda walimpenda sana tena sana.

Visa vyote ninavyoandika kumuhusu Hayati Magufuli ni vya kweli sababu nilikuwa nae karibu kwa kazi fulani ambayo sitaitaja humu,nimeishi jimboni kwake Chato nikifanya kazi hiyo,nimeingia Ikulu bila appointment nikifanya kazi hiyo.haikuwa kazi ya serikali bali nikiwa kibarua kwenye mradi fulani wilayani Chato,mradi wake binafsi

Naifahamu Chato kama ninavyoifahamu Dar na Dodoma

Kwa wasiofahamu jimbo hili ngoja niwape muhtasari kidogo,nimezunguka Tanzania hii sijawahi kuona jimbo lina makabila mengi kama jimbo la Chato,huwezi kujua kabila kipi ni dominant na lipi predominant,

Chato kuna
Wahangaza,wanyambo,watutsi,
warundi,waha,wazinza,wasubi,wahaya,wazinza,wasumbwa,wasukuma,na kila mmoja hujiona hapo ni kwao kwa asili.watu wa huko hufahamu lugha hizo zote,hata hayati JPM alijua hizo lugha zote japo kihistoria baba yake alihamia.

Miaka ya nyuma Chato ilikuwa tarafa ndani ya wilaya ya Biharamulo mkoa wa Kagera ,Sasa mwaka 1990 hayati JPM akagombea ubunge na mzee Phares Kabuye,alishindwa vibaya sana kura za maoni unajua kwa nini?

Jpm alikuwa akienda vijiji vyenye wasukuma anajifanya msukuma na kuwaponda wasubi kuwa ni wakulima wa migomba mbunge wao hawezi kuwasaidia wao wakulima wa pamba,hivyo wamchague yeye.

Meanwhile akienda Biharamulo anajifanya ni Msubi na kuongea Kisubi na anawaambia yeye ni ukoo wa Wayango wazilankende,ukoo ambao hauko usukumani bali kigoma ,butundi,rwanda,uganda na makabila yanayosikilizana na wahaya.hapo atajifanya msubi orijino na kuwaponda wasukuma kuwa ni wanyamahanga yaani wavamizi wa mkoa wa Kagera,

Akienda maeneo yenye waha wengi atajifanya muha na kuongea kiha na kirundi,siasa za ukabila zikamponza akadondokea pua.

Mizimu ya kwao ikamsaidia jimbo likagawanywa mashariki na magharibi 1995 akagombea mashariki ilipo kata ya Chato akajibatiza usukuma ila kuna wakati alikuwa akijisahau na kurudia kusema yeye ni myango ukoo ambao hauko usukumani,

Akagombea kwa style ileile ya kutumia vernacular languages kulingana na audience.
Akajikuta anachukiwa na makabila mengine jimboni kwake isipokuwa wasukuma.

Uwekezaji alioufanya jimboni kwake baada ya kuwa Rais ilikuwa ni kutafuta huruma na kufuta makovu ya makabila mengine na alifanikiwa maana makabila yote yalifaidi uwekezaji ule.

Lakini watu wa Biharamulo magharibi hawatamsahau kwa maana barabara ya lami oliyotakiwa kupita mjini kwao kuelekea Bukoba ilipofika kata ya Bwanga akaichepusha kuelekea Chato,Muleba kama adhabu ya kumnyima kura 1990.
Barabara hiyo ilikuja kuwekwa lami baadae baadae sana.

Utajiuliza mbona alikuwa anashinda ubunge kila mara
kama hakuwa anapendwa?
Ni kwamba ulitumika umafia na hadaa kwa washindani wake,wengine wakitishwa au kutekwa au kuahidiwa vyeo na pesa ili wajitoe kugombea nae

Hitimisho;
Ukabila upo na Hayati JPM alichukiwa jimboni kwake sababu ya mbegu ya ukabila iliyopandwa na........
Ni kwa sababu alikuwa akilipenda sana kiasi cha kuchaguliwa mbunge wake kwa zaidi ya miaka 20
 
Huenda hili likakushangaza lakini ukweli ndio huu, zaidi ya nusu ya watu wa jimboni kwake hawakumpenda.
Ila wale waliompenda walimpenda sana tena sana.

Visa vyote ninavyoandika kumuhusu Hayati Magufuli ni vya kweli sababu nilikuwa nae karibu kwa kazi fulani ambayo sitaitaja humu,nimeishi jimboni kwake Chato nikifanya kazi hiyo,nimeingia Ikulu bila appointment nikifanya kazi hiyo.haikuwa kazi ya serikali bali nikiwa kibarua kwenye mradi fulani wilayani Chato,mradi wake binafsi

Naifahamu Chato kama ninavyoifahamu Dar na Dodoma

Kwa wasiofahamu jimbo hili ngoja niwape muhtasari kidogo,nimezunguka Tanzania hii sijawahi kuona jimbo lina makabila mengi kama jimbo la Chato,huwezi kujua kabila kipi ni dominant na lipi predominant,

Chato kuna
Wahangaza,wanyambo,watutsi,
warundi,waha,wazinza,wasubi,wahaya,wazinza,wasumbwa,wasukuma,na kila mmoja hujiona hapo ni kwao kwa asili.watu wa huko hufahamu lugha hizo zote,hata hayati JPM alijua hizo lugha zote japo kihistoria baba yake alihamia.

Miaka ya nyuma Chato ilikuwa tarafa ndani ya wilaya ya Biharamulo mkoa wa Kagera ,Sasa mwaka 1990 hayati JPM akagombea ubunge na mzee Phares Kabuye,alishindwa vibaya sana kura za maoni unajua kwa nini?

Jpm alikuwa akienda vijiji vyenye wasukuma anajifanya msukuma na kuwaponda wasubi kuwa ni wakulima wa migomba mbunge wao hawezi kuwasaidia wao wakulima wa pamba,hivyo wamchague yeye.

Meanwhile akienda Biharamulo anajifanya ni Msubi na kuongea Kisubi na anawaambia yeye ni ukoo wa Wayango wazilankende,ukoo ambao hauko usukumani bali kigoma ,butundi,rwanda,uganda na makabila yanayosikilizana na wahaya.hapo atajifanya msubi orijino na kuwaponda wasukuma kuwa ni wanyamahanga yaani wavamizi wa mkoa wa Kagera,

Akienda maeneo yenye waha wengi atajifanya muha na kuongea kiha na kirundi,siasa za ukabila zikamponza akadondokea pua.

Mizimu ya kwao ikamsaidia jimbo likagawanywa mashariki na magharibi 1995 akagombea mashariki ilipo kata ya Chato akajibatiza usukuma ila kuna wakati alikuwa akijisahau na kurudia kusema yeye ni myango ukoo ambao hauko usukumani,

Akagombea kwa style ileile ya kutumia vernacular languages kulingana na audience.
Akajikuta anachukiwa na makabila mengine jimboni kwake isipokuwa wasukuma.

Uwekezaji alioufanya jimboni kwake baada ya kuwa Rais ilikuwa ni kutafuta huruma na kufuta makovu ya makabila mengine na alifanikiwa maana makabila yote yalifaidi uwekezaji ule.

Lakini watu wa Biharamulo magharibi hawatamsahau kwa maana barabara ya lami oliyotakiwa kupita mjini kwao kuelekea Bukoba ilipofika kata ya Bwanga akaichepusha kuelekea Chato,Muleba kama adhabu ya kumnyima kura 1990.
Barabara hiyo ilikuja kuwekwa lami baadae baadae sana.

Utajiuliza mbona alikuwa anashinda ubunge kila mara
kama hakuwa anapendwa?
Ni kwamba ulitumika umafia na hadaa kwa washindani wake,wengine wakitishwa au kutekwa au kuahidiwa vyeo na pesa ili wajitoe kugombea nae

Hitimisho;
Ukabila upo na Hayati JPM alichukiwa jimboni kwake sababu ya mbegu ya ukabila iliyopandwa na........
Lengo lako hapa ni nini wakati mwenyewe eshajiondokea zamani na hii itatusaidia nini?
 
Visa vyote ninavyoandika kumuhusu Hayati Magufuli ni vya kweli sababu nilikuwa nae karibu kwa kazi fulani ambayo sitaitaja humu,nimeishi jimboni kwake Chato nikifanya kazi hiyo,nimeingia Ikulu bila appointment nikifanya kazi hiyo.haikuwa kazi ya serikali bali nikiwa kibarua kwenye mradi fulani wilayani Chato,mradi wake binafsi

Naifahamu Chato kama ninavyoifahamu Dar na Dodoma
Mbona unajieleza sana? Una wasiwasi kuwa Kuna takaye kustukia?
 
Mkuu paschal Mayalla, usimtete huyo bro wako.
1. nenda kwa sende, alinyimwa umeme wakati nguzo ya tanesco wilaya ndo angeitumia. kisa dr sende aliutaka ubunge 2005. fast boti zikanyimwa kibali.

2. mwaka 2010 kuna dogo anaitwa deusdedith katwale aligombe ubunge kupitia ccm, mwamba alipopata urais akampa uhujumu uchumi, katolewa na maza.
3. mwaka 2010 hiyo dr lukanima, wa mzumbe alitaka ubunge kupitia chadema, alifukuzwa kaz alipopata ukulu.

MUNGU NI WA KUSHUKURU SANA, AMINA.
 
paschal mayalla, usimtete huyo bro wako.
1. nenda kwa sende, alinyimwa umeme wakati nguzo ya tanesco wilaya ndo angeitumia. kisa dr sende aliutaka ubunge 2005. fast boti zikanyimwa kibali.

2. mwaka 2010 kuna dogo anaitwa deusdedith katwale aligombe ubunge kupitia ccm, mwamba alipopata urais akampa uhujumu uchumi, katolewa na maza.
3. mwaka 2010 hiyo dr lukanima, wa mzumbe alitaka ubunge kupitia chadema, alifukuzwa kaz alipopata ukulu.

MUNGU NI WA KUSHUKURU SANA, AMINA.
Aiseeee !!!
 
Kuna dogo wa ankaree kwa sasa bilionea gordian, alihamishwa nyumban kwao kwa difenda chini ya ocd mkama, kwa sasa rpc songwe.
Vitoto vilikuwa vinakamatwa, vinaulizwa wewe mtoto wa nani, wa kijb wa goro anawekwa kwenye tenga. Wakaenda kutelekezwa mtaani. Ndipo baba mkwe wa gordian akawapa hifadhi.

Dingi alikuwa mtemi haswa.

Na kuna dogo mmoja mtoto wa dada yake. Alipomaliza kidato cha nne akawa hajafanya vzr ndipo akatakiwa kwenda dsm asimamie miradi ya anko wake. Dogo akakataa.

Dogo akaanza kurisit na pepa akapga, lakin hajaona matokeo hadi leo. Hapo anko akiwa waziri.
 
Na kikwete nae akatuma jeshi kuja kuwapiga wana kusini kisa kuhoji kuhusu nini tutakipata kwa uchimbaji huu wa gesi badala tujibiwe kwa maneno tukaletewa jeshi sitosahau binamu yangu akapigwa risasi pale masasi huu ni uonevu sana alitufanyia yule mbwa kikwete
Na bado kwenye uchaguzi mkawapa ccm kura za kutosha. Wamakonde kwa ccm hampindui
 
Back
Top Bottom