Kwanini hii nchi inatuchukia na kututesa sana Waafrika? Tuungane tuisusie

Kwanini hii nchi inatuchukia na kututesa sana Waafrika? Tuungane tuisusie

Msidhani kuwa waarabu wote ni waislam Saudia pia wapo wakristo na wapagani
 
Endelea kukaririshwa, ipo siku utaambiwa dada yako ametembea na salman nawe kwa haraka haraka utaamini, waafrika wengine bwana!

Maghayo uwe unawapa somo hawa wakaririshwaji
mipumbav ndo km ww , ngoz yoyote ya rangi haitupend na sabab ni nyiny wachache msio na akili kutwa kuwashobokea
 
Wewe kila siku waarabu tu, tutafute hela aise,

Kwa taarifa yako, upende usipende waarabu ni ndugu zetu haswaa katika imani, na unavyoendelea kutiririsha mada zako za uchonganishi/ubaguzi usifikiri utatubadilisha na kufuata matendo yako, ishia huko huko mzee..

Hakuna jamii watu wake wakarimu, wana imani na huruma kama waarabu, japo sio wote, lakini most of them wako poa haswaaa.

Olenimala nkoi? Au niandike kichina utanielewa?
iman ya kuletewa ? kwann mtume hakufika bongo ? muwe mnajielewa aseee , baadh ya wakristu wameanza zistukia hiz din za kuletewa kwa minyororo , ila hawa wala tende za bure kum kichwa ni zero kbs
 
iman ya kuletewa ? kwann mtume hakufika bongo ? muwe mnajielewa aseee , baadh ya wakristu wameanza zistukia hiz din za kuletewa kwa minyororo , ila hawa wala tende za bure kum kichwa ni zero kbs

Sio bongo tu, hata ulaya hakufika pia,,,,ila haiondoi kuwa yeye ni Mtume wa walimwengu wote.
 
mipumbav ndo km ww , ngoz yoyote ya rangi haitupend na sabab ni nyiny wachache msio na akili kutwa kuwashobokea

Tunawapenda na kuwathamini hao ndugu zetu, sasa unataka niwachukie ili iweje!! Ufurahi sio!!
 
Back
Top Bottom