Kwanini hii Teua Tengua haikuwepo kwa akina Nyerere, Mwinyi, Mkapa na hata Kikwete, ila kwa Magufuli ilikuwepo na sasa kwa Samia ndiyo imeshazoeleka?

Kwanini hii Teua Tengua haikuwepo kwa akina Nyerere, Mwinyi, Mkapa na hata Kikwete, ila kwa Magufuli ilikuwepo na sasa kwa Samia ndiyo imeshazoeleka?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Jukumu langu Kubwa GENTAMYCINE katika huu Uzi ni Kusoma tu Maoni yenu ili niujue Udhaifu wa Asili wa Mtu, Taasisi zake na Wasaidizi wake Wapuuzi na Wasioijua Kazi yao vyema.
 
Shida wanaingia ofisini bila kusoma "Job Descriptions" zao...

Kisha wanaishia kufanya kazi kwa kujaribu kumu-impress bosi wao...

Mwisho wa siku lazima ujikute umevuka mstari wako au haujaufikia mstari, na hapo ndipo kutumbuliwa kunapofuata..

Kila kazi ina descriptions zake, ina malengo ambayo muhusika anapaswa ayafuate na ayatimize..
 
Kelele zawanasiasa na hizi za mitandaoni zinawachanganya pia. Hawaelewi washike lipi waache lipi
 
Shida wanaingia ofisini bila kusoma "Job Descriptions" zao...

Kisha wanaishia kufanya kazi kwa kujaribu kumu-impress bosi wao...

Mwisho wa siku lazima ujikute umevuka mstari wako au haujaufikia mstari, na hapo ndipo kutumbuliwa kunapofuata..

Kila kazi ina descriptions zake, ina malengo ambayo muhusika anapaswa ayafuate na ayatimize..
Hakuna kitu kama hicho, kuna dc mmoja alitenguliwa, baada ya miezi 3 akateuliwa tena kuwa dc wilaya nyingine!! Huwa ni sandakalawe tu,
 
Jokate kutwa picha zake na alikiba wakishikana mapaja na kulambana lips zinatrend mitandaoni halafu unampa kuwa kiongozi jumuia ya wazazi huko ni kuidharau jumuia.

Bora huko walipompeleka akacheze na vijana wenzake.
 
Afu wanao teuliwa ni circle ileile,hakuna sura mpya toka mtaani uradhan hakuna watu wengine wenye sifa.
Wanatengua afu wanateuwa hao hao.
Bure kabisa
 
Sasa kama mwaka 1961 UDSM ina wanafunzi 14 tu ingewezekanaje kutengua hovyo. Sasa hivi watu wenye uwezo ni wengi sana kwahiyo ukizingua unazinguliwa. Hata wewe popoma sio kwamba unachukia teuzi. Unachukiwa wewe kutoteuliwa.
Kwa nini wasitue hao watu wenye uwezo??
 
Kwa nini wasitue hao watu wenye uwezo??
Wanaoteuliwa wote wana uwezo. Hata kwenye kwenye biashara zetu huwa tunachukua watu wenye uwezo ila uhakika wa wao kuwa vyema kwa muda mwingi kama tulivyodhani haupo. Mtu anaweza kuja mikono nyuma kwa adabu ila baadae akageuka na kuwa mshenzi.
 
Nyerere alianza tengua,pangua,hamisha,wakamtishia maisha.

Wakasema,"Kama waziri amefanya makosa,rais amfukuze kazi. Lakini kwa nini rais amfukuze kazi katibu kata and all sorts of minor leaders?"
 
Back
Top Bottom