Kwanini historia anayosimulia Sheikh Mohammed Said haipingwi hadharani?

Elimu hii unayosema, sehemu nyingi ni uongo fikra za watu waovu na kututengeneza wanavyotaka, mfano sasa hivi wanatufunza tuwe mashoga na wasagaji, kuoana jinsia moja na haki ya sawa kwa sawa.
Je, ndio hii unayosema Waislam au wakristo wasome?....

Elimu haina muongo mzuri, haifundishi Utu na tabia njema, haina tufunzi kujitegemea na inatufanya tuwe watawaliwa na tegemezi wa kila kitu, fikra, uchumi nk
 
Mkiambiwa mna akili fupi mnasema mnatukanwa,nikuulize wewe Jagina mada mezani unai-relate vipi na ulichokiandika hapa?
Wewe mbuzi tokea mada imeaanza hakuna cha maana ulichochangia zaidi ya mbaambaa za kilokole
Umeambiwa ulete research kupinga hoja unaleta hadithi za Sungura
Kaa kwa kutulia shwain wewe kama hoja inayoyobebwa na UTAFITI
 
Wewe mbuzi tokea mada imeaanza hakuna cha maana ulichochangia zaidi ya mbaambaa za kilokole
Umeambiwa ulete research kupinga hoja unaleta hadithi za Sungura
Kaa kwa kutulia shwain wewe kama hoja inayoyobebwa na UTAFITI
Labda kama mwanamke lakini kama mwanaume aliyekamilika (kama umekamilika lakini) ukishafikia hatua ya kutumia kauli za hovyo kama hizi kwenye mjadala halafu ukataka upewe fact na waliokuzidi akili wewe moja kwa moja unakuwa mbuzi kama mbuzi wa khitma unakufa kuburudisha wanaohuzunika!
 
kkkk
Shut up baba paroko,
Wewe kilaza huna zaidi ya mbaamba ulizorudinazo maana yake huna uwezo hata wa kujitutumua wa kiakili kujibu yaliyoletwa na hii mada.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…