Sijijui
JF-Expert Member
- Jan 14, 2018
- 7,877
- 8,804
Though hii hotuba ipo kwa kiingereza but naomba aione magufuli,wasaidizi wake I believe watamtafasiliaHivi tatizo ni nini?
Hatuna waandishi wazuri wa hotuba?
Au viongozi wetu wamepungukiwa kiuwezo?
Hebu angalieni hotuba hii hapa chini jinsi ilivyotulia.