Kwanini huyu bondia Mtanzania aliyeshinda Uingereza anajiita Hassan Mwakinyo?

Mshaanza kumletea uchawi....wabongo bana uchawi uchawi tuuu😬 haya sasa tuseme ana miaka 35 na anatumia cheti cha mtu then what u gonna do?
 
Ukitaka kujua wabongo roho mbaya subiri ufanikiwe, kumbavuu sana.....
 
Labda kagushi na ngumi

Hata angejiita uchi kwetu sisi haimake any difference so long as anashinda kwa KO
 
Ni kawaida kwa wanamichezo kuwa na Majina ya PASSPORT na Majina ya Media. Arsenal waliwahi kuwa na mtu anaitwa GERVINHO lakini Passport yake ilisomeka: GERVAIS LOMBE YAO KOASSI, jamaa alifanana sana sura na K. R. Mulla wa TMK WANAUME!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…