Kwanini ijengwe Sanamu ya Hayati Rais Magufuli peke yake na si Marais wengine?

Kwanini ijengwe Sanamu ya Hayati Rais Magufuli peke yake na si Marais wengine?

Nimeshtushwa Sana na Tangazo la kuwa kuna ujenzi wa sanamu ya Magufuli Uwanja Wa Maonesho ya Sabasaba kwa Gharama ya Tsh. milioni 420.

Sikatai ila nina hoja:
Kwanini Magufuli?
Mwinyi je?
Mkapa je?
Kikwete je?

Hao Wote Walikuwa ni MARAIS wa NCHI na Kuna MAMBO MAKUBWA hata NAO WALIIFANYIA NCHI hii.

Kama Tunataka Kujenga SANAMU ya MAGUFULI Basi TUJENGE na SANAMU za MWINYI, MKAPA na KIKWETE.

Pia soma
- Sanamu la Magufuli na ukarabati wa kumbi za kisasa kujengwa kwa Tsh milioni 420 viwanja vya Sabasaba
Hiyo sanamu ikijengwa itapigwa na radi. Ni matumizi mabaya ya fedha ya umma.
 
Dah laiti gharama az sanamu wachetoa kwenye malipo ya marehemu ingekuwa poa sana AU wangechangishana wanasisiemu wangemaliaz mapema sana na bila wizi wowote.

Mtazamo tu na matumizi ya kodi yanavoenda.
 
Nimeshtushwa Sana na Tangazo la kuwa kuna ujenzi wa sanamu ya Magufuli Uwanja Wa Maonesho ya Sabasaba kwa Gharama ya Tsh. milioni 420.

Sikatai ila nina hoja:
Kwanini Magufuli?
Mwinyi je?
Mkapa je?
Kikwete je?

Hao Wote Walikuwa ni MARAIS wa NCHI na Kuna MAMBO MAKUBWA hata NAO WALIIFANYIA NCHI hii.

Kama Tunataka Kujenga SANAMU ya MAGUFULI Basi TUJENGE na SANAMU za MWINYI, MKAPA na KIKWETE.

Pia soma
- Sanamu la Magufuli na ukarabati wa kumbi za kisasa kujengwa kwa Tsh milioni 420 viwanja vya Sabasaba
Yaani afadhali JPM na Mkapa wajengewe sanamu kwa sababu angalau kuna kazi waliifanya na imeonekana na walituletea heshima katika Nchi hii, hao Wazee wengine bure kabisa, uswahili swahili mtupu.
 
Nimeshtushwa Sana na Tangazo la kuwa kuna ujenzi wa sanamu ya Magufuli Uwanja Wa Maonesho ya Sabasaba kwa Gharama ya Tsh. milioni 420.

Sikatai ila nina hoja:
Kwanini Magufuli?
Mwinyi je?
Mkapa je?
Kikwete je?

Hao Wote Walikuwa ni MARAIS wa NCHI na Kuna MAMBO MAKUBWA hata NAO WALIIFANYIA NCHI hii.

Kama Tunataka Kujenga SANAMU ya MAGUFULI Basi TUJENGE na SANAMU za MWINYI, MKAPA na KIKWETE.

Pia soma
- Sanamu la Magufuli na ukarabati wa kumbi za kisasa kujengwa kwa Tsh milioni 420 viwanja vya Sabasaba
Jiulize tu kwa kutumia akili zako au hata za kuazima. UkimuondoaMagufuli, hao marais waliopita walifanya nini cha maana hapa nchini zaidi ya kujilimbikizia mali.
 
Wezi, mashoga,wakwepa kodi, wala rushwa hawakumpenda kabisa Magufuli,

Na hii ni sifa ya kiongozi anayezingatia maslahi ya wananchi wasioweza kujitetea

Sanamu linajengwa kumkumbuka huyu mtu.
 
Wivu mbaya sana,mtakufa masikini hata sanamu inawatesa
 
Nimeshtushwa Sana na Tangazo la kuwa kuna ujenzi wa sanamu ya Magufuli Uwanja Wa Maonesho ya Sabasaba kwa Gharama ya Tsh. milioni 420.

Sikatai ila nina hoja:
Kwanini Magufuli?
Mwinyi je?
Mkapa je?
Kikwete je?

Hao Wote Walikuwa ni MARAIS wa NCHI na Kuna MAMBO MAKUBWA hata NAO WALIIFANYIA NCHI hii.

Kama Tunataka Kujenga SANAMU ya MAGUFULI Basi TUJENGE na SANAMU za MWINYI, MKAPA na KIKWETE.

Pia soma
- Sanamu la Magufuli na ukarabati wa kumbi za kisasa kujengwa kwa Tsh milioni 420 viwanja vya Sabasaba
Hakuna mwenye nia njema watu wanataka kupiga pesa hapo wakae pembeni
 
Nimeshtushwa Sana na Tangazo la kuwa kuna ujenzi wa sanamu ya Magufuli Uwanja Wa Maonesho ya Sabasaba kwa Gharama ya Tsh. milioni 420.

Sikatai ila nina hoja:
Kwanini Magufuli?
Mwinyi je?
Mkapa je?
Kikwete je?

Hao Wote Walikuwa ni MARAIS wa NCHI na Kuna MAMBO MAKUBWA hata NAO WALIIFANYIA NCHI hii.

Kama Tunataka Kujenga SANAMU ya MAGUFULI Basi TUJENGE na SANAMU za MWINYI, MKAPA na KIKWETE.

Pia soma
- Sanamu la Magufuli na ukarabati wa kumbi za kisasa kujengwa kwa Tsh milioni 420 viwanja vya Sabasaba
Naomba TANTRADE wafikirie tena uamuzi huo. Kuweka sanamu la DIKTETA Magufuli aliyekufa ni adui wa wafanyabiashara na wawekezaji kutadhoofisha sekta ya uchumi nchini.

Kwa nini uweke SANAMU la kutisha kwa watu unaotaka kufanya nao biashara?
 
The good news ni kwamba akina fundi Maiko wameshawahi tenda kwa hiyo tegemea kinyago badala ya sanamu.
... usinikumbushe sanamu la Nyerere alilobambikiwa mzee Kigwa Burigi-Chato National park!
1625591089253.png
 
BS
Nadhani jawabu yao ni kuwa hao wengine hawakufa wakiwa madarakani. Ni wangapi kati ya hao uliowataja wamefariki wakiwa madarakani? Si kule zanzibar wameweka sanamu la abeid karume ambae alikufa akiwa madarakani?
 
Nimeshtushwa Sana na Tangazo la kuwa kuna ujenzi wa sanamu ya Magufuli Uwanja Wa Maonesho ya Sabasaba kwa Gharama ya Tsh. milioni 420.

Sikatai ila nina hoja:
Kwanini Magufuli?
Mwinyi je?
Mkapa je?
Kikwete je?

Hao Wote Walikuwa ni MARAIS wa NCHI na Kuna MAMBO MAKUBWA hata NAO WALIIFANYIA NCHI hii.

Kama Tunataka Kujenga SANAMU ya MAGUFULI Basi TUJENGE na SANAMU za MWINYI, MKAPA na KIKWETE.

Pia soma
- Sanamu la Magufuli na ukarabati wa kumbi za kisasa kujengwa kwa Tsh milioni 420 viwanja vya Sabasaba
Kama unaona walikufanyia mema, wajengee!
 
CCM ni wasengelema kujenga sanamu 420m tukiikomboa nchi yetu tutalibomoa Hilo sanamu
 
SASA meko ana outstanding ya nyo.ko???
Ulishawahi kujiuliza kwa nini huwa kuna maazimisho ya waziri mkuu Moringe Sokoine tu?

Ili ukumbukwe lazima uwe na outstanding performance
 
Back
Top Bottom