T14 Armata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 12,362
- 41,886
Usingeandika sasa kama hauko kwenye mtihani. Ungeandika Kiswahili unachoelewa vizuri zaidiboss mi siko kwenye kufanya mtihani wa kiingereza, hivo jikite kwenye mada zaidi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usingeandika sasa kama hauko kwenye mtihani. Ungeandika Kiswahili unachoelewa vizuri zaidiboss mi siko kwenye kufanya mtihani wa kiingereza, hivo jikite kwenye mada zaidi
Huyu ndio mimi kwenye social media. Reasonable presentation unanilipa consultancy fee? Umeanza lini kupangia members michango?It seems wewe ni msomi and therefore one would expect quite reasoned presentation on JF, kuna muda mwingine huwa unanichanganya! 😀 😀 😀 😀 😀 😀
Certified Procurement and Supply. Professional (CPSP)
Associated Certified Public Accountancy (ACPA)
Certified public Accountancy (CPA)
Huyu swali lake hapa si kuzuiwa kuingia na maji chumba cha mtihani bali kutuonyesha kiwango cha elimu yake.1. Ukimwagia maji pepa la UE unadhani litakauka saa ngapi?
2. Frequency ya kwenda chooni
3. Hard to investigate every water bottle, watu wanaweza weka maandishi madogo sana na pensil
We fanya UE
Usingeandika sasa kama hauko kwenye mtihani. Ungeandika Kiswahili unachoelewa vizuri zaidi
Hahahahaha..sema Nia yako sio maji tujue umefika kote huko
Ametangaza CV..kule jukwaa la michezo anaitwaga mhasibu feki ..sasa anaonesha yy sio fekiHuyu swali lake hapa si kuzuiwa kuingia na maji chumba cha mtihani bali kutuonyesha kiwango cha elimu yake.
Suala la kutoingia na kitu kisichohusika na mtihani lipo kote duniani, leo aje aulize hapa. Kweli?
Hapa ndipo tunapofeli, elimu karatasisema Nia yako sio maji tujue umefika kote huko
lengo lako tujue kuwa MWASIBU umepitia kote hukoWasalaam.
Tangu nikiwa chuo ilikuwa hairuhusiwi. Nikaja kwenye professional examination ilikuwa hivyo. Hata wakati nafanya CPA na ACPB na kisha CPSP niliona wakikataza.
Swali linajieleza lenyewe. Sababu hasa ya kukatazwa ni nini?
Aah kanipotezea muda wangu basiHuyu swali lake hapa si kuzuiwa kuingia na maji chumba cha mtihani bali kutuonyesha kiwango cha elimu yake.
Suala la kutoingia na kitu kisichohusika na mtihani lipo kote duniani, leo aje aulize hapa. Kweli?
Achana na huyo jamaaAah kanipotezea muda wangu basi
Na hapa ndipo kwenye lengo kuu. Maana swali lake halina mantiki. Mwisho wa siku atauliza mbona hairuhusiwi kuingia kwenye chumba cha mtihani na chakula!!sema Nia yako sio maji tujue umefika kote huko
Rafiki kwa ule uzi wake hapa ki Jf Jf atabakia kuwa Mwasibu feki tu.Ametangaza CV..kule jukwaa la michezo anaitwaga mhasibu feki ..sasa anaonesha yy sio feki
Hahahahaha..Rafiki kwa ule uzi wake hapa ki Jf Jf atabakia kuwa Mwasibu feki tu.