Kwanini inakatazwa kuingia na maji kwenye chumba cha mtihani?

Kwanini inakatazwa kuingia na maji kwenye chumba cha mtihani?

It seems wewe ni msomi and therefore one would expect quite reasoned presentation on JF, kuna muda mwingine huwa unanichanganya! 😀 😀 😀 😀 😀 😀
Certified Procurement and Supply. Professional (CPSP)
Associated Certified Public Accountancy (ACPA)
Certified public Accountancy (CPA)

Huyu ndio mimi kwenye social media. Reasonable presentation unanilipa consultancy fee? Umeanza lini kupangia members michango?
 
1. Ukimwagia maji pepa la UE unadhani litakauka saa ngapi?

2. Frequency ya kwenda chooni

3. Hard to investigate every water bottle, watu wanaweza weka maandishi madogo sana na pensil

We fanya UE
Huyu swali lake hapa si kuzuiwa kuingia na maji chumba cha mtihani bali kutuonyesha kiwango cha elimu yake.

Suala la kutoingia na kitu kisichohusika na mtihani lipo kote duniani, leo aje aulize hapa. Kweli?
 
Huyu swali lake hapa si kuzuiwa kuingia na maji chumba cha mtihani bali kutuonyesha kiwango cha elimu yake.

Suala la kutoingia na kitu kisichohusika na mtihani lipo kote duniani, leo aje aulize hapa. Kweli?
Aah kanipotezea muda wangu basi
 
sema Nia yako sio maji tujue umefika kote huko
Na hapa ndipo kwenye lengo kuu. Maana swali lake halina mantiki. Mwisho wa siku atauliza mbona hairuhusiwi kuingia kwenye chumba cha mtihani na chakula!!

Sasa mtu unaenda kufanya mtihani! Unaingia na maji kwa ajili ya nini!! Huo mtihani unafanya siku nzima, na ukiwa nje kwenye jua? Huyu Mwasibu anapenda sana sifa!
 
Back
Top Bottom