Ungekua mtandao wa wajinga Jf wangetoa account zao zote .
Ungekua mtandao wa wajinga Jf wangetoa account zao zote .
Okay vizuri kama umekubali sasa.
Umeshamaliza kila kitu[emoji23][emoji23]Mitandao ya wenye akili ndogo hyo huwezi kuta great thinker anaitumia hyo
jf kufungua page facebook haiondoi ukweli kwamba watz wengi ambao wapo active fb ni wajinga.
mfano mdogo, ingia fb then fanya spellcheck kwenye account za wabongo uone vituko.
Kwahiyo wewe pia ni great thinker?Mitandao ya wenye akili ndogo hyo huwezi kuta great thinker anaitumia hyo
My opinion as yours so Respect ma opinion
Kama huitumii huwezi kuielewa,fb ni zaidi ya jf,halafu kule kuna watu utumbo wanaoandika humu kule hawezi kuandika.Shida sio kuwa wengi tunaangalia impacts ya mijadala kwa taifa, pia na Sheria za mitandao zilivo plus era iliyopita ilikuwa mwendo wa kusifu no questioning ka vile maandiko ya biblia huruhusiwi kukosoa.
Hahahahaaa....
Huwa nakaona.....
Halafu kabishi. Kanaonekana kafupi sana maana vijitu vifupi vina hasira kama nyegere.
Huko Twitter hata sipo ila huwezi linganisha watu wa Twitter na IG na Facebook huo ni ukweli ulio wazi.Haya ngoja niishie hapa mjuaji wa Twitter,LinkedIn,JF na other Professional platforms zote Duniani [emoji2957][emoji2957] .Naenda zangu IG na Facebook [emoji23][emoji23]
Hao watu wa facebook kwenye boksi la kura huwa wanajua pa kupeleka kura zao.Umeshamaliza kila kitu[emoji23][emoji23]
Full wadangaji, mabeki 3 wanaelewa nini?
Wakulima wa huko ndani ndani... wanaelewa nini kwamfano kama siyo upepo fata mkumbo...
Hakuna mtandao wa kijamii wa bongo wakaacha kufanya vituko .jf kufungua page facebook haiondoi ukweli kwamba watz wengi ambao wapo active fb ni wajinga.
mfano mdogo, ingia fb then fanya spellcheck kwenye account za wabongo uone vituko.
Halafu mbona na wewe unatumia I'd tatu kwenye huu Uzi mmoja yet unawasema wengine humuWatu wa ovyo kweli wanacreate ID zaidi ya kumi kwa mtu mmoja,wanajuwanga kujipa moyo,njoo sasa kwenye uhalisia wakati wa uchaguzi,unabaki unashangaa wale wajuaji wa JF wako wapi?
Sasa nguvu zote hizi za nini jamani[emoji23]Hao watu wa facebook kwenye boksi la kura huwa wanajua pa kupeleka kura zao.
Na ndio majority of Internet users. Hesabu huwa hazidanganyi.
Ninyi delusional imbeciles wa JF wenye multiple ID's huwa hamna madhara yoyote.
Kumbe na wewe unauza ndio maana unatafta mabasha humu eeeh, it's okayTena hako kademu unaweza kuta kana account ya facebook inayoitwa "nauza cumer tamu".
Lakini kakija JF kanajifanya kajuzi chenye akili nyingi.
Jamani!
Kama huitumii huwezi kuielewa,fb ni zaidi ya jf,halafu kule kuna watu utumbo wanaoandika humu kule hawezi kuandika.
Unahofia kuumbuka,mijadala inakuwa ya akili sana,kwasabu unakuwa unajulikana.umakini unakuwa mkubwa.
Tumia mitandao yote ya kijamii utapata jibu
Wajinga tuuu wspo hukoSawa endeleeni na matusi yenu nyinyi si mnajua kuongea sana. Ila mjue wananchi sio wajinga wanamjua mbaya kwao na mzuri kwao. Magufuli kawafanyia mengi mazuri haya matusi ya kumuita fisadi yatawahukumu siku moja.