Mitandao ya beki tatu utategemea kupata kitu cha maana hyo ni ngumu mno aiseeUmeshamaliza kila kitu[emoji23][emoji23]
Full wadangaji, mabeki 3 wanaelewa nini?
Wakulima wa huko ndani ndani... wanaelewa nini kwamfano kama siyo upepo fata mkumbo...
Walitoaa machozi ya furahaGreat thinkers ni hao wananchi wanajua sana nani anaewafaa, ndio maana wakati umu mnashangilia wao walienda kumzika kwa machozi.
Mimi ni jimbaio chako mkuu[emoji3][emoji3]Kwahiyo wewe pia ni great thinker?
Aysee dunia haiishi vituko!
Bado huwezi linganisha ni mitandao serious aiseeKama huitumii huwezi kuielewa,fb ni zaidi ya jf,halafu kule kuna watu utumbo wanaoandika humu kule hawezi kuandika.
Unahofia kuumbuka,mijadala inakuwa ya akili sana,kwasabu unakuwa unajulikana.umakini unakuwa mkubwa.
Tumia mitandao yote ya kijamii utapata jibu
Aliwanyima dawa hosp,akawanjima ajira ,akawanyima habari akata sifa akaitwa Mungu na Yesu nafikiri kilichofuata unajua au nakose bosiKuna watu wamejipa jukumu la kufikiri kwa niaba ya wengine. Magufuli alijua watu wake wanafikri nini na wanataka nini akawapa.
Jiheshimu wewe usinidogolishe kamwe na Uhuru wa ku comment jukwaa lolote pinga hoja yangu kwa hoja, hafu kwanini utumie I'd tofauti kwa huu Uzi it means huamini unachokiandika, I'm free minded person siogopi ninachoamini so acheni matusi reja reja.Kabisa na mimi huwa napata hiyo taswira kama uliyonayo wewe,kule MMU kila ID kanayohisi ni ya Kiume utaona kanaruka nayo,nashangaa sana hapa Jukwaa la Siasa kamefikaje[emoji3][emoji3]
Kama ndio wanaowaadhibu wapinzani kwann polis jw tume tiss mnawatumia!?? Unajitoa ufahamueeeeHao hao wenye akili ndogo ndiyo huwa wanawaadhibu wakati wa Uchaguzi. Hivi kuwa mtumiaji wa JF ndiyo kuwa na akili nyingi kumbe[emoji3][emoji3][emoji3]
View attachment 1748162
Sawa mkuuSifuti huo ndo ukweli mitandao yenye watu smart hujulikana walioko fb, na Instagram ukiwauliza LinkedIn ni Nini hawajui kabisa
Hao watu unaowaita wajinga au millenials kuumbuka ndio walio wengi wakitoa sauti nchi inatikisika.
Mimi nimejiunga 2016,lakini nilikuwa napitia bila kujiunga toka miaka ya 2000, jf ya kuanzia 2017 kushuka chini si sawa na ya 2018 mpaka sasa.humu u - serious umepotea.Bado huwezi linganisha ni mitandao serious aisee
Mitandao ya watumishi wa majumbani house girls and house boys !!! Tust Me
Hahahhaaa...Mimi nimejiunga 2016,lakini nilikuwa napitia bila kujiunga toka miaka ya 2000, jf ya kuanzia 2017 kushuka chini si sawa na ya 2018 mpaka sasa.humu u - serious umepotea.
Kuna kama genge fulani la watu wenye ID's nyingi kwa malengo fulani.
Watu makini wamebaki wachache, na wengine wanapita kimya kimya.
Hakuna kitu humu saivi[emoji3][emoji3][emoji3].
Mimi nimejiunga 2016,lakini nilikuwa napitia bila kujiunga toka miaka ya 2000, jf ya kuanzia 2017 kushuka chini si sawa na ya 2018 mpaka sasa.humu u - serious umepotea.
Kuna kama genge fulani la watu wenye ID's nyingi kwa malengo fulani.
Watu makini wamebaki wachache, na wengine wanapita kimya kimya.
Hakuna kitu humu saivi[emoji3][emoji3][emoji3].
Watu walipotea humu baada ya Sheria za mitandao na watu kupotezwa kwa kuwa na mawazo mubadala humu, pia moderation ya content imekuwa Kali kulingana na Sheria za mitandao ndio unaona hivo.Mimi nimejiunga 2016,lakini nilikuwa napitia bila kujiunga toka miaka ya 2000, jf ya kuanzia 2017 kushuka chini si sawa na ya 2018 mpaka sasa.humu u - serious umepotea.
Kuna kama genge fulani la watu wenye ID's nyingi kwa malengo fulani.
Watu makini wamebaki wachache, na wengine wanapita kimya kimya.
Hakuna kitu humu saivi[emoji3][emoji3][emoji3].
Watanzania wengi wajuaji sana huyu hajui watu wanaojielewa wana project zao na biashara zao kubwa fb yeye kusoma nyuzi za jf anajiona thinker inashangazaAnajifanya mjuaji kumbe bure kabisa,watu tupo JF kitambo kabla yake,yeye kuijua JF majuzi tu hapa keshajiona mjuaji wa kila kitu[emoji3][emoji3]