Blackcornshman
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 6,514
- 15,701
Zidumu fikra za Great thinker Magufuli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kujikweza ni hisia zako tu ila hyo haiondoi ukweli wa Mambo na jinsi kulivo na utofauti wa watu na majadilianoYeeees !!!!!
Great thinker huyo,.....
Acheni kujikweza,
Kazi tu kuwadharau wenzenu kwamba hawana akili.
Tatizo Ni hivyo vielimu vyenu vidogo vidogo.
Wenye mashule yao makubwa Wala hawanaga mambo hayo..
CAG Yuko kikatiba Sasa kukataa utendaji wake ni uwehu tu ka ulivo wehu wengineBaki na CAG yako..
Lakini hao 10% wanaleta impacts kubwa kwa nchi kuliko majority wasioelewa duniani inaendajeKwa haya mabadiko mengi yenye maneno ya kashfa nadhani hao great thinker hawavuki asilimia kumi ya members
Kuna watu mpaka kesho bado wanajua Nyerere ni Rais...
Kama siyo juhudi zake Nyerere na uhuru tungepata wapi....labda familia yako huko nanjlinji
Mitandao ya wenye akili ndogo hyo huwezi kuta great thinker anaitumia hyo
Kwamba mtu akitumia FB sio great thinker? Hizi ni akili za wapi jamani? Haya mambo ya kuiga maneno just for the sake of it sio poa hata.
Sawa hata huko kwenye mitandao mingine kama facebook , insta, &co kuna great thinkers pia.Lakini hao 10% wanaleta impacts kubwa kwa nchi kuliko majority wasioelewa duniani inaendaje
Walioko ni 10% but majority ni Kama nyumbu hivi. Bongo fb na IG ni udaku kuliko Mambo ya msingiSawa hata huko kwenye mitandao mingine kama facebook , insta, &co kuna great thinkers pia.
Humu wote twatumia fake identity but majority ya fb na IG huwezi linganisha na humu, fb kubwa huwa kupost mapicha picha, IG huwa ni mwendo wa udaku tu asilimia kubwa tofauti hata na Raia wa nchi nyingine ukisoma page una learn Sana sio huko bongoUnaowasema akili ndogo, ndio hawa hawa tunaoshindanao jamiiforum isipokua hawajulikani/wanatumia ID tofauti ngumu kuwajua.
Ndio hapo sasa, hajui kuwa jamiiforum wengi wanaotumia ni wazawa na kidogo kenya na uganda,,,, lakini Instagram na Facebook inafuatiliwa/tumiwa na watu duniani kote
Mitandao ya wenye akili ndogo hyo huwezi kuta great thinker anaitumia hyo
Sawa endeleeni na matusi yenu nyinyi si mnajua kuongea sana. Ila mjue wananchi sio wajinga wanamjua mbaya kwao na mzuri kwao. Magufuli kawafanyia mengi mazuri haya matusi ya kumuita fisadi yatawahukumu siku moja.
Hao hao wenye akili ndogo ndiyo huwa wanawaadhibu wakati wa Uchaguzi. Hivi kuwa mtumiaji wa JF ndiyo kuwa na akili nyingi kumbe[emoji3][emoji3][emoji3]
View attachment 1748162
miaka ya hivi karibuni facebook kwa hapa tz umebaki kuwa mtandao wa watu wajinga ambao ni less informed kuhusu masuala mbalimbali yanayoendelea ndani ya nchi yao.
kule instagram majority ni millennials, hawa interest yao ni kufatilia page za udaku na ubuyu zimepost nini kuhusu scandal/drama za mastaa wa bongofleva na bongo muvi.
kwa muktadha huo usitegemee kijana wa instagram aandike paragraph tatu au zaidi kuchambua utawala wa jiwe. wengi huishia kuweka picha tu.
Kabisa yani. Huu ndo ukweli. Wengi wa watumiaji wa Insta na Fb hata shule zimewapita kandoMitandao ya wenye akili ndogo hyo huwezi kuta great thinker anaitumia hyo
Wamezaliwa na nani hao nyumbus? Kwa faida ya nani na ya nini? Lakini “never underestimate the power of f**ls”Walioko ni 10% but majority ni Kama nyumbu hivi. Bongo fb na IG ni udaku kuliko Mambo ya msingi
We utakuwa great thinker mwenye sura mbaya,wenye sura zao nzuri za kike akina Jokate wamo IG na FB wanatoa madini.Humu wote twatumia fake identity but majority ya fb na IG huwezi linganisha na humu, fb kubwa huwa kupost mapicha picha, IG huwa ni mwendo wa udaku tu asilimia kubwa tofauti hata na Raia wa nchi nyingine ukisoma page una learn Sana sio huko bongo
Unaishi kwa ku cremisha jf sio beauty pageant useme sura ndo zinazokuwa great thinker, hafu joketi kwako ka ni mrembo utakuwa na shida umetoka huko usukumani na roli la ng'ombe Basi na akili yako iko king'ombe ng'ombe tuWe utakuwa great thinker mwenye sura mbaya,wenye sura zao nzuri za kike akina Jokate wamo IG na FB wanatoa madini.