Mto Songwe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2023
- 6,683
- 14,060
- Thread starter
- #21
Swali linahusu toka 1948 na ni Palestine nzima sio Hamas pekee.We acha upuuzi, tarehe 7-10-2023 Magaidi wa kiislamu HAMAS si ndio waliomvamia Israel , magaidi hao wamefunzwana URSU na Iran, ndani ya dakika 20 wakaua waisraeli 1200 pamoja na Mtanzania mwenzako a;lafu aliyeuliwa ndiye awekewe vikwazo?
HAMS, IRAN NA URUSI ndio wa kuwekewa vikwazo.