Maulaga59
JF-Expert Member
- Feb 1, 2021
- 2,984
- 2,971
Kwanini nchi ya Israel na viongozi wake hawawekewi vikwazo kama ambavyo Russia amekewa kwa sababu ya Ukraine?
Kwa sababu ni Taifa teule la Mungu! Dunia yote ilikombolewa kupitia wao!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini nchi ya Israel na viongozi wake hawawekewi vikwazo kama ambavyo Russia amekewa kwa sababu ya Ukraine?
wakati watu wanatoa tunajadili kuhusu urusi kuivamia ukrein ulikua wap we mpumbavujibu kwa hoja , usituletee udikteta wa kipumbav , kama huna hoja kaa kimya , humu sio kwenu kwamba tukisikilize ww wkt huandika hoja zako
Tunawapenda Wapalestina na waisraeli kuliko wamasai wa loliondo, Wasudani kusini, wacongo wanao uawawa kila kukicha, waethiopia kila gereza wamejazana hapa Tanganyika.aandamane kuunga mkono utekaj wa watz wenzetu ? hv sisi watu weusi tumelogwa ?
Dhahabu hata ikichafuka haipotezi thamani yakeUtakatifu gani taifa linasupport ushoga na linapinga ukristo
Jerusalem ilikua inaitwa Palestine haikuwahi kuitwa Israel hata ikiwa chini ya OttomanBritish hawakukuta nchi ya Palestine walikuta ottoman empire na Israel hawakukuta Palestine walikuta British mandatory
Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
Oooh kwahiyo mnapopinga ushoga wakati Israel inakubali hamuoni mnapingana na wateule? Kwanini msiige taifa teule katika hilo?Dhahabu hata ikichafuka haipotezi thamani yake
Tulikombolewa kupitia Yesu sio Israel.... ndio maana Bible inasema hakuna tena myahudi wala myunani, mke wala mme, we are all equal chini ya Mungu. Ni nyie wabongo mmejaa shobo tu na hao wazungu.Kwa sababu ni Taifa teule la Mungu! Dunia yote ilikombolewa kupitia wao!
Ushahid kivipi mbona jina lenyewe tu occupied West Bank speaks a lotUshahidi?
unaijua israel vizuri au unaisikia tu? Hakuna kenge yeyote duniani ataweza kupitisha azimio la kuwekewa vikwazo kama marekani na washirika wake hawatakubaliKwanini nchi ya Israel na viongozi wake hawawekewi vikwazo kama ambavyo Russia amekewa kwa sababu ya Ukraine?
We we we we! Wataanzaje? Wakati wanaamini Israeli ni taifa takatifuKwanini nchi ya Israel na viongozi wake hawawekewi vikwazo kama ambavyo Russia amekewa kwa sababu ya Ukraine?
Mwaka 1948 israhell ndio ilianza kuivamia PalestineWe acha upuuzi, tarehe 7-10-2023 Magaidi wa kiislamu HAMAS si ndio waliomvamia Israel , magaidi hao wamefunzwana URSU na Iran, ndani ya dakika 20 wakaua waisraeli 1200 pamoja na Mtanzania mwenzako a;lafu aliyeuliwa ndiye awekewe vikwazo?
HAMS, IRAN NA URUSI ndio wa kuwekewa vikwazo.
Biblia iliyoandikwa miaka zaidi ya 3000 iliyopita inatambua miji yote ya Israel yelusalem ikiwemo,ambayo mpaka Sasa ipo na wafalme wao,niambie hao wapelestina wametoka wapi?,nitajie mfalme wao hata mmoja tu,uje tujadili.Jerusalem ilikua inaitwa Palestine haikuwahi kuitwa Israel hata ikiwa chini ya Ottoman
Oooh kwahiyo mnapopinga ushoga wakati Israel inakubali hamuoni mnapingana na wateule? Kwanini msiige taifa teule katika hilo?
Ushahid kivipi mbona jina lenyewe tu occupied West Bank speaks a lot
View attachment 2826414
Compare 1967 na 2005 hapo westbank.... the right hand side of the map
Vita na hezbollah ilikua 2006 na ilikua kaskazini ila Westbank ipo Eastern side ya Palestina. Sasa cha ajabu huko hakuna Hamas wala vita kama Gaza ila.kila.mwaka wanapokwa ardhiKumbe ya 2005 ina maana 2016 alipopigwa na hez walishindwa kuiokomboa hio ardhi ya waarabu wenzao?
Vita na hezbollah ilikua 2006 na ilikua kaskazini ila Westbank ipo Eastern side ya Palestina. Sasa cha ajabu huko hakuna Hamas wala vita kama Gaza ila.kila.mwaka wanapokwa ardhi
Hamas ni chama cha siasa wale wanaopigana ni Al Qassam Brigade ambao hawapo huko West Bank ila Gaza huko wapo. Sasa niambie ni sababu zipi Israel wanazo kuharass West Bank na kuwapora ardhi kila mwakaHAMAS has been the de facto governing body in the Gaza Strip since 2007, when it ousted the Palestinian Authority from power. Primarily in Gaza; also maintains a presence in the West Bank; Palestinian refugee camps in Lebanon; and key regional capitals, such as Doha, Qatar, and Cairo, Egypt.
Hamas ni chama cha siasa wale wanaopigana ni Al Qassam Brigade ambao hawapo huko West Bank ila Gaza huko wapo. Sasa niambie ni sababu zipi Israel wanazo kuharass West Bank na kuwapora ardhi kila mwaka
Kwanini nchi ya Israel na viongozi wake hawawekewi vikwazo kama ambavyo Russia amekewa kwa sababu ya Ukraine?
Russia ilipora Crimea kama ambavyo Israel imepora westbank au Jerusalem. Cha ajabu Wapalestina wakipambana kuirudisha wanaitwa magaidi ila Ukraine ikipambana kuirudisha Crimea wanaitwa wazalendo huku Russia ikiwekewa vikwazo.
Huu undumilakuwili ni kwa faida ya nani
Wapi nimetaja taifa la palestina? Nimesema Israel imevamia westbank na Jerusalem wakati ni eneo la Palestina ila hawajawekewa vikwazo. Hiyo crimea na Ukraine zote zilikua sehemu ya urusi huko nyuma so ni kama tu Dodoma iivamie Zanzibar!!
Cha ajabu Russia kudai ardhi ya mababu zake huko Crimea imekua nongwa ila Palestina kudai ardhi yao wanaitwa magaidi.
NB: Hakukuwahi kuwa na taifa la Israel, same to hakukuwa na taifa la palestina ila ilikuwepo "nchi" inaitwa British Palestine ambalo lilikuwa koloni la Palestina lililo chini ya uingereza. Cha ajabu hiyo Palestine kwa sasa inaitwa Israel baada ya ardhi ya wapalestina kuporwa