Kwanini Israel haiwekewi vikwazo kama Urusi?

Kwanini Israel haiwekewi vikwazo kama Urusi?

jibu kwa hoja , usituletee udikteta wa kipumbav , kama huna hoja kaa kimya , humu sio kwenu kwamba tukisikilize ww wkt huandika hoja zako
wakati watu wanatoa tunajadili kuhusu urusi kuivamia ukrein ulikua wap we mpumbavu
saiv ndo unajifanya kutafuta nini chanzo!
baki na wehu wako
 
aandamane kuunga mkono utekaj wa watz wenzetu ? hv sisi watu weusi tumelogwa ?
Tunawapenda Wapalestina na waisraeli kuliko wamasai wa loliondo, Wasudani kusini, wacongo wanao uawawa kila kukicha, waethiopia kila gereza wamejazana hapa Tanganyika.
 
British hawakukuta nchi ya Palestine walikuta ottoman empire na Israel hawakukuta Palestine walikuta British mandatory

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
Jerusalem ilikua inaitwa Palestine haikuwahi kuitwa Israel hata ikiwa chini ya Ottoman
Dhahabu hata ikichafuka haipotezi thamani yake
Oooh kwahiyo mnapopinga ushoga wakati Israel inakubali hamuoni mnapingana na wateule? Kwanini msiige taifa teule katika hilo?
 
Kwa sababu ni Taifa teule la Mungu! Dunia yote ilikombolewa kupitia wao!
Tulikombolewa kupitia Yesu sio Israel.... ndio maana Bible inasema hakuna tena myahudi wala myunani, mke wala mme, we are all equal chini ya Mungu. Ni nyie wabongo mmejaa shobo tu na hao wazungu.
 
Ushahidi?
Ushahid kivipi mbona jina lenyewe tu occupied West Bank speaks a lot
images.jpeg

Compare 1967 na 2005 hapo westbank.... the right hand side of the map
 
Kwanini nchi ya Israel na viongozi wake hawawekewi vikwazo kama ambavyo Russia amekewa kwa sababu ya Ukraine?
unaijua israel vizuri au unaisikia tu? Hakuna kenge yeyote duniani ataweza kupitisha azimio la kuwekewa vikwazo kama marekani na washirika wake hawatakubali
 
We acha upuuzi, tarehe 7-10-2023 Magaidi wa kiislamu HAMAS si ndio waliomvamia Israel , magaidi hao wamefunzwana URSU na Iran, ndani ya dakika 20 wakaua waisraeli 1200 pamoja na Mtanzania mwenzako a;lafu aliyeuliwa ndiye awekewe vikwazo?
HAMS, IRAN NA URUSI ndio wa kuwekewa vikwazo.
Mwaka 1948 israhell ndio ilianza kuivamia Palestine
 
Jerusalem ilikua inaitwa Palestine haikuwahi kuitwa Israel hata ikiwa chini ya Ottoman

Oooh kwahiyo mnapopinga ushoga wakati Israel inakubali hamuoni mnapingana na wateule? Kwanini msiige taifa teule katika hilo?
Biblia iliyoandikwa miaka zaidi ya 3000 iliyopita inatambua miji yote ya Israel yelusalem ikiwemo,ambayo mpaka Sasa ipo na wafalme wao,niambie hao wapelestina wametoka wapi?,nitajie mfalme wao hata mmoja tu,uje tujadili.
 
Kumbe ya 2005 ina maana 2016 alipopigwa na hez walishindwa kuiokomboa hio ardhi ya waarabu wenzao?
Vita na hezbollah ilikua 2006 na ilikua kaskazini ila Westbank ipo Eastern side ya Palestina. Sasa cha ajabu huko hakuna Hamas wala vita kama Gaza ila.kila.mwaka wanapokwa ardhi
 
HAMAS has been the de facto governing body in the Gaza Strip since 2007, when it ousted the Palestinian Authority from power. Primarily in Gaza; also maintains a presence in the West Bank; Palestinian refugee camps in Lebanon; and key regional capitals, such as Doha, Qatar, and Cairo, Egypt.
Vita na hezbollah ilikua 2006 na ilikua kaskazini ila Westbank ipo Eastern side ya Palestina. Sasa cha ajabu huko hakuna Hamas wala vita kama Gaza ila.kila.mwaka wanapokwa ardhi
 
HAMAS has been the de facto governing body in the Gaza Strip since 2007, when it ousted the Palestinian Authority from power. Primarily in Gaza; also maintains a presence in the West Bank; Palestinian refugee camps in Lebanon; and key regional capitals, such as Doha, Qatar, and Cairo, Egypt.
Hamas ni chama cha siasa wale wanaopigana ni Al Qassam Brigade ambao hawapo huko West Bank ila Gaza huko wapo. Sasa niambie ni sababu zipi Israel wanazo kuharass West Bank na kuwapora ardhi kila mwaka
 
Hicho kizungu umekielewa?
Hamas ni chama cha siasa wale wanaopigana ni Al Qassam Brigade ambao hawapo huko West Bank ila Gaza huko wapo. Sasa niambie ni sababu zipi Israel wanazo kuharass West Bank na kuwapora ardhi kila mwaka
 
Kwanini nchi ya Israel na viongozi wake hawawekewi vikwazo kama ambavyo Russia amekewa kwa sababu ya Ukraine?

Yani Israeli ishambuliwe na magaidi halafu tena iwekewe vikwazo?!

Tumia ubongo wako kufikiri vizuri kijana…
 
Russia ilipora Crimea kama ambavyo Israel imepora westbank au Jerusalem. Cha ajabu Wapalestina wakipambana kuirudisha wanaitwa magaidi ila Ukraine ikipambana kuirudisha Crimea wanaitwa wazalendo huku Russia ikiwekewa vikwazo.

Huu undumilakuwili ni kwa faida ya nani

Wapi Ukraine alienda Russia kuua na kubaka wanawake na watoto kama walivyofanya hamas?
 
Wapi nimetaja taifa la palestina? Nimesema Israel imevamia westbank na Jerusalem wakati ni eneo la Palestina ila hawajawekewa vikwazo. Hiyo crimea na Ukraine zote zilikua sehemu ya urusi huko nyuma so ni kama tu Dodoma iivamie Zanzibar!!

Cha ajabu Russia kudai ardhi ya mababu zake huko Crimea imekua nongwa ila Palestina kudai ardhi yao wanaitwa magaidi.

NB: Hakukuwahi kuwa na taifa la Israel, same to hakukuwa na taifa la palestina ila ilikuwepo "nchi" inaitwa British Palestine ambalo lilikuwa koloni la Palestina lililo chini ya uingereza. Cha ajabu hiyo Palestine kwa sasa inaitwa Israel baada ya ardhi ya wapalestina kuporwa

Palestinians walikua wapangaji tu ile ardhi ni ya wayahudi tangu enzi na enzi.
 
Back
Top Bottom