Jamesdominic
JF-Expert Member
- Nov 26, 2022
- 549
- 732
Ipo kata moja ya ipuli.Isevya ipo upande gani wa mji wa tabora?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ipo kata moja ya ipuli.Isevya ipo upande gani wa mji wa tabora?
Kwenye biblia mmefundishwa ukitoa sadaka itafunwe na nani?Tumeamliwa na biblia kutoa sadaka bila kujali inaliwa ama la. Ni wajibu na kutotoa ni dhambi kubwa
Utake usitake kote huko nimetembea ni yale yale.Matu ru wewe tabora njaa yaani njaaa kama watu wa misaada tutupu akuna nafuu ya maisha lakini njombe rukwa akuna njaa mpuu zi wewe.
Na padre au yeyote mpakwa mafuta. Ndo mana hawaoi wala hawana familia ili kula madhabahuni tu. Akienda kinyume na kiapo chake atakutana na mungu wake wakati mi sipoKwenye biblia mmefundishwa ukitoa sadaka itafunwe na nani?
Jamani wandugu kuna huyu mlevi kauvamia uzi sijui katokea wapi.Matako ya masikini ulia mbwata mbwata.
Naona Allha kakubaliki na kinywa cha matusiWe makalio kweli.
We tulia dozi ikuingie toto ra tabora njombe akuna njaa kijana tumekulia uku miaka mingi rukwa wakimbizi kutoka tabora ndo usiseme yaani mtu watabora akigusa mikoa ya kusini mwa tz arudi kwao paka wee.Utake usitake kote huko nimetembea ni yale yale.
Kama kwako njaa ni chakula peke yake basi pole yako.
Kama vyakula tu Tabora vipo kila kona hakuna njaa ya chakula Tabora na vyakula bei rahisi.
Ila kama umasikini wa kifedha na masuala mengine huko Njombe masikini vizuri tu.
Ndio maana malaya wamejazana huko.
Ukipiga tathmini waislam ndio wanaongoza kwa charity katika hii nchi.Sisi siyo wachoyo ndugh yangu. Kutoa ni wajibu wetu. Pasre akizitumia vibaya atajuana yeye na mungu wake siyo mimi tena. Jukumu langu nakuwa nimeshatimiza
Piga kelele weeee ila utake usitake Tabora hakuna njaa ya chakula.We tulia dozi ikuingie toto ra tabora njombe akuna njaa kijana tumekulia uku miaka mingi rukwa wakimbizi kutoka tabora ndo usiseme yaani mtu watabora akigusa mikoa ya kusini mwa tz arudi kwao paka wee.
Jamani wandugu kuna huyu mlevi kauvamia uzi sijui katokea wapi.
Anayemfahamu aje kumtoa anachafua uzi watu tunaongea kwa hoja yeye linatukana hovyohovyo kama tuko bar
Usimhusishe Mungu katika masuala haya.Naona Allha kakubaliki na kinywa cha matusi
Kwani hiyo misikiti na visima wanajengewa na wakristo? Si ni misaada toka kwa waislamu wenzao? Hao wagogo na ombaomba wengine waliojazana darisalama na kwingineko mijini wote ni waislamu?labda kama uko na ugomvi na waislamuJamii za kiislamu wanapenda misaada sana as if they are always unable bodied. Ukienda tabora, ujiji, zanzibar nk hata huduma za jamii ni duni hata kujenga misikiti tu hawawezi mpaka ajitokeze tajiri mmoja awajengee.
Ukienda jamii hizo utakuta maji ya visima ndo yamejaa halafu visima vyenyewe ni misaada tena vikicjimbwa wanajiandika kabisa kwamba imam flani ndo kajenga.
Jamani badilikeni vya bure ni manyanyaso halafu vinakufanya always uwe mnyonge
Cha kuongezea Catholic churches zote ZINA RUZUKU TOKA SERIKALINI TOKA ENZI ZA MWALIMU JULIUS NYERERE.Jamani wandugu kuna huyu mlevi kauvamia uzi sijui katokea wapi.
Anayemfahamu aje kumtoa anachafua uzi watu tunaongea kwa hoja yeye linatukana hovyohovyo kama tuko bar
Hoja yako umeifunga mwenyewe apo juu☝,Piga kelele weeee ila utake usitake Tabora hakuna njaa ya chakula.
Bali kuna uhaba wa kazi na utafutaji pesa,ambao hata huko Njombe upo na nimeukuta vizuri tu.
Ndio maana wadada wa huko maji mara moja kwa sababu ya ukata wa kifedha.
Nimeifunga au nimekupa ukweli?Hoja yako umeifunga mwenyewe apo juu☝,
Ulete ushahidi wakati makanisa niyetu?.Cha kuongezea Catholic churches zote ZINA RUZUKU TOKA SERIKALINI TOKA ENZI ZA MWALIMU JULIUS NYERERE.
HADI SASA,akibisha tumletee ushahidi.
Makanisa ambayo yanajengwa na wazungu na ruzuku ya serikali!?Ulete ushahidi wakati makanisa niyetu?.
Wanajiweza wapi ilhali taasisi za kikristo kibao zinapewa ruzuku na serikali.
Ikiwemo wakatoliki,makanisa 99% ni ruzuku za serikali.
Huyo anayedai hivyo serikali yake imepokea vingi vya hao waislam anaowadai hawajiwezi.
Uislam umezania uarabuni ambako kuna mila na utamaduni wa utwana na ubwana, mabwana kusaidia watwana. Jaribu kusoma hadithi nyingi zenye chimbuko la huko, uone jinsi kulivyo na simulizi nyingi za matajiri wakubwa kuandaa sherehe, au kusaidia watu n.k. Huko ndiko utakuta simulizi za watwana kuangukia mabwana ili wasiwadhuru, au tajiri kuamuaru jamii ipikiwe chakula nkJamii za kiislamu wanapenda misaada sana as if they are always unable bodied. Ukienda tabora, ujiji, zanzibar nk hata huduma za jamii ni duni hata kujenga misikiti tu hawawezi mpaka ajitokeze tajiri mmoja awajengee.
Ukienda jamii hizo utakuta maji ya visima ndo yamejaa halafu visima vyenyewe ni misaada tena vikicjimbwa wanajiandika kabisa kwamba imam flani ndo kajenga.
Jamani badilikeni vya bure ni manyanyaso halafu vinakufanya always uwe mnyonge