Kosa lake aliingia 3 boraNimepitia sehemu mbalimbali katika mitandao nimegundua Mh Januari makamba anachukiwa na watu wengi, japo wapo wanao mkubali.
Wengi wanadai jamaa ni Fisadi, sasa katika serikali hii nani ambaye sio Fisadi? Nani ambaye hali kwa urefu wa kamba yake?
Wengine wanasema ni mlozi, sasa katika serikali hii nani haendi kwa sangoma? Wengine wanaenda mpaka Mombasa kuchinja Ngamia na vifaranga.
Nimegundua ipo nguvu kubwa inaelekezwa kumchafua, sijui alikosea wapi.
3 bora au 5 bora?Kosa lake aliingia 3 bora
Si naskia alikuwa mtukutu sana ata Forest hill Moro alikuwa mtukutu naskia alishapigwa Hadi risasi ya mguu nawaambia siwapangiJanuari hana uwezo wowote. Isingekuwa JK na urafiki na Baba yake mzee Makamba Yusuf saa hizi angekuwa msanii wa singeli tu kama Meja Kunta.
Yaani Samia kampa uwaziri wa nishati baada ya kutemwa na Magufuli. Yeye baada ya kufanya kazi kwa ajili ya Watanzania alikwenda pale kukusanya fedha za ufisadi ili aje agombee uRais wa Tanzania dhidi ya mama Samia mwaka 2025.
Badala yake nchi ikaingia gizani kwa mgawo wa umeme wa miezi 6. Baada ya kuhamishwa wizara kwenda Mambo ya Nje akachukia na akaanza kumtukana mama kwa kumtumia Mange Kimambi wa California kupitia page zake za Instagram.
Mtu mwenyewe hana vyeti baada ya kufukuzwa Galanos kwa kuiba mitihani eti ana ndoto ya kuwa Rais wa Tanzania??
Januari nakuhakikishia uRais wa Tz utausikiliza kwenye redio na TV tu kama marehemu Lowasa na Seif Sharrif
Wabunge wapi?😀😀 Umeshawahi kufika Kongwa na Bariadi?Mbona wabunge wengi tu wameshindwa kutatua kero za majimbo yao, kwanini January ndyo atolewe kafara kwa kubebeshwa huo mzigo?
Anachekesha kivipi mkuu... hachafuliwi na mtu ila ANACHEKESHA ASEE!
😅
Una ona Sasa hizi 👆 fitina nilizo kuambia , CCM ukikaa vibaya , wanakupeleka mavumbiniMkuu, mbona nasikia Deo filikunjombe alipewa helicopter ambayo ilitakiwa itumike na JPM, inamaana Ile ndege iliandaliwa na akina January ili kumdhuru JPM?
Mkuu Nifungulie hii code tafadhali
Sijawahi kufika huko, lakini kwenye jimbo langu pia mbunge amefeli, hakuna cha maana alichofanyaWabunge wapi?😀😀 Umeshawahi kufika Kongwa na Bariadi?
January anapenda kuzungumza mambo ki intellectual zaidi, sijawahi kuona intellectual mwingine zaidi ya Nyerere na Lissu aliyekubalika sana katika siasa za Tanzania.Nimepitia sehemu mbalimbali katika mitandao nimegundua Mh Januari makamba anachukiwa na watu wengi, japo wapo wanao mkubali.
Wengi wanadai jamaa ni Fisadi, sasa katika serikali hii nani ambaye sio Fisadi? Nani ambaye hali kwa urefu wa kamba yake?
Wengine wanasema ni mlozi, sasa katika serikali hii nani haendi kwa sangoma? Wengine wanaenda mpaka Mombasa kuchinja Ngamia na vifaranga.
Nimegundua ipo nguvu kubwa inaelekezwa kumchafua, sijui alikosea wapi.
... hivi urais wa Bongo ni bisikuti ya kila anayejisikia!?Anachekesha kivipi mkuu
Mkuu kuzungumza ki intellectual ndy aina gani ya mazungumzo hiyo, nijuze tafadhaliJanuary anapenda kuzungumza mambo ki intellectual zaidi, sijawahi kuona intellectual mwingine zaidi ya Nyerere na Lissu aliyekubalika sana katika siasa za Tanzania.
Au ndyo mpaka JK akasema ccm hawaachiani maji mezaniUna ona Sasa hizi 👆 fitina nilizo kuambia , CCM ukikaa vibaya , wanakupeleka mavumbini
Sio kabisa, lakini inakuwaje mtu kutoka nchi nyingine anaitaka hiyo biskuti? Je akipewa itakuwa haki?... hivi urais wa Bongo ni bisikuti ya kila anayejisikia!?
Hatumtaki awe raisi atatuuza hadi sisi, dalali huyoBumbuli ndyo wanapaswa kusema hawamtaki kwani wao ndyo humpigia kura, watanzania wengine mnasema hamumtaki bila kutoa sababu za msingi.
Mbona tayari mmeuzwa na mnaendelea kuuzwaHatumtaki awe raisi atatuuza hadi sisi, dalali huyo
Hajioni mwerevu, yuko ki intellectual zaidi, ndivyo alivyo.Anajionaga mwerevu Kuliko wengine
Hiyo ndyo sababu? Mbona wengine wameitwa majina kama malaika, watukufu na zaidi wanasujudiwa hadharani, na wanaona ni sawa tu.Anajionaga mwerevu Kuliko wengine
Mwerevu wa taarifa, takwimu na mambo mengi mbalimbali na mwenye kuwasilisha kwa uhodari wa hali ya juu.Mkuu kuzungumza ki intellectual ndy aina gani ya mazungumzo hiyo, nijuze tafadhali
Vyema, sasa kama ni kweli ni mwerevu wa takwimu na mambo mengine, mbona hiyo ni sifa nzuri kabisa na anapaswa kuheshimiwaMwerevu wa taarifa, takwimu na mambo mengi mbalimbali.