Nimekuambia hapo juu siasa za bongo, (pia hata za sehemu nyingi duniani) sio rafiki sana kwa watu wa calibre hiyo. Raia wengi huwa wanapenda wanasiasa populists, wenye kufanya amsha amsha, comedians, waswahili swahiliVyema, sasa kama ni kweli ni mwerevu wa takwimu na mambo mengine, mbona hiyo ni sifa nzuri kabisa na anapaswa kuheshimiwa
Nimekupata vyema mkuu, ndyomaana viongozi wengi wamekuwa comedians nowdays, wanatafuta njia ya ku trend kwenye mitandao ya kijamii na vichwa vya habari.Nimekuambia hapo juu siasa za bongo, (pia hata za sehemu nyingi duniani) sio rafiki sana kwa watu wa calibre hiyo. Raia wengi huwa wanapenda wanasiasa populists, wenye kufanya amsha amsha, comedians, waswahili swahili
Huu si utetezi, hapo umekubali January ni fisadi na mlozi.Nimepitia sehemu mbalimbali katika mitandao nimegundua Mh Januari makamba anachukiwa na watu wengi, japo wapo wanao mkubali.
Wengi wanadai jamaa ni Fisadi, sasa katika serikali hii nani ambaye sio Fisadi? Nani ambaye hali kwa urefu wa kamba yake?
Wengine wanasema ni mlozi, sasa katika serikali hii nani haendi kwa sangoma? Wengine wanaenda mpaka Mombasa kuchinja Ngamia na vifaranga.
Nimegundua ipo nguvu kubwa inaelekezwa kumchafua, sijui alikosea wapi.
π π π π Muheshimiwa mwenyekiti wetu NTU wa DILI ,kachukua ushuru kuniziba mimi N DOMO kanipa afutatu kataa braza.Itakua Ntu Ya Dili
Ndio siasa za zinavyoenda, sasa January hawezi kufanya siasa za ku trend zinazoendana na walalahoi na wenye akili ndogo ambao ndio wengi kwenye jamii, ukichanganya na jina lake kwenye jamii iliyojaa nepotism lazima chuki dhidi yake iwe kubwa.Nimekupata vyema mkuu, ndyomaana viongozi wengi wamekuwa comedians nowdays, wanatafuta njia ya ku trend kwenye mitandao ya kijamii na vichwa vya habari.
Mitandao gani hiyo? Mbona wapinzaniNimepitia sehemu mbalimbali katika mitandao nimegundua Mh Januari makamba anachukiwa na watu wengi, japo wapo wanao mkubali.
Wengi wanadai jamaa ni Fisadi, sasa katika serikali hii nani ambaye sio Fisadi? Nani ambaye hali kwa urefu wa kamba yake?
Wengine wanasema ni mlozi, sasa katika serikali hii nani haendi kwa sangoma? Wengine wanaenda mpaka Mombasa kuchinja Ngamia na vifaranga.
Nimegundua ipo nguvu kubwa inaelekezwa kumchafua, sijui alikosea wapi.
Mitandao gani hiyo? Mbona wapinzani ndio walikua wanamsema sana vibaya enzi za utumishi wake akiwa Waziri?? Lakini baada ya kuenguliwa wapinzani haohao wamegeuza gia saiviNimepitia sehemu mbalimbali katika mitandao nimegundua Mh Januari makamba anachukiwa na watu wengi, japo wapo wanao mkubali.
Wengi wanadai jamaa ni Fisadi, sasa katika serikali hii nani ambaye sio Fisadi? Nani ambaye hali kwa urefu wa kamba yake?
Wengine wanasema ni mlozi, sasa katika serikali hii nani haendi kwa sangoma? Wengine wanaenda mpaka Mombasa kuchinja Ngamia na vifaranga.
Nimegundua ipo nguvu kubwa inaelekezwa kumchafua, sijui alikosea wapi.
Kwani ni lazima apendwe?Nimepitia sehemu mbalimbali katika mitandao nimegundua Mh Januari makamba anachukiwa na watu wengi, japo wapo wanao mkubali.
Wengi wanadai jamaa ni Fisadi, sasa katika serikali hii nani ambaye sio Fisadi? Nani ambaye hali kwa urefu wa kamba yake?
Wengine wanasema ni mlozi, sasa katika serikali hii nani haendi kwa sangoma? Wengine wanaenda mpaka Mombasa kuchinja Ngamia na vifaranga.
Nimegundua ipo nguvu kubwa inaelekezwa kumchafua, sijui alikosea wapi.
Bob Manson unaweza kuona hapa kuna watu wanamchukia kwa sababu anakunja mashati kama Obama ili aonekane mwanazuoni.Ni kibaka ,kuanzia kuiba mtiani galanos mpaka kukunja mashati km obama nae aonekane ni mwanazuoni.
Nyota ya Punda πNyota yake tu... Siyo ya kupendwa π€π€π€.
Hakuna mtu anayemchukia
Loh, Wengine watasema hawampendi kwasababu hana nywele, na wanadai akili ni nyweleBob Manson unaweza kuona hapa kuna watu wanamchukia kwa sababu anakunja mashati kama Obama ili aonekane mwanazuoni.
Wapinzani nao wakati mwingine hawaeleweki, ndyomaana watu hawana inani nao, wanashangilia anguko la watu wengine wakisahau jukumu lao la msingiMitandao gani hiyo? Mbona wapinzani
Mitandao gani hiyo? Mbona wapinzani ndio walikua wanamsema sana vibaya enzi za utumishi wake akiwa Waziri?? Lakini baada ya kuenguliwa wapinzani haohao wamegeuza gia saivi
Sio lazima, lakini ukimchukia uwe na sababuKwani ni lazima apendwe?
Madili kila mtu anapiga, tena afadhali yeye kuliko wapigaji wa sahiviHatarii kwa madili huyo! Hata dada yake moto wa kuotea mbali!
Hana lolote ni mroho wa madaraka halafu hawezi uongozi ni kama wa singida TU hawatoboi!Nimepitia sehemu mbalimbali katika mitandao nimegundua Mh Januari makamba anachukiwa na watu wengi, japo wapo wanao mkubali.
Wengi wanadai jamaa ni Fisadi, sasa katika serikali hii nani ambaye sio Fisadi? Nani ambaye hali kwa urefu wa kamba yake?
Wengine wanasema ni mlozi, sasa katika serikali hii nani haendi kwa sangoma? Wengine wanaenda mpaka Mombasa kuchinja Ngamia na vifaranga.
Nimegundua ipo nguvu kubwa inaelekezwa kumchafua, sijui alikosea wapi.
Like father like sonNimepitia sehemu mbalimbali katika mitandao nimegundua Mh Januari makamba anachukiwa na watu wengi, japo wapo wanao mkubali.
Wengi wanadai jamaa ni Fisadi, sasa katika serikali hii nani ambaye sio Fisadi? Nani ambaye hali kwa urefu wa kamba yake?
Wengine wanasema ni mlozi, sasa katika serikali hii nani haendi kwa sangoma? Wengine wanaenda mpaka Mombasa kuchinja Ngamia na vifaranga.
Nimegundua ipo nguvu kubwa inaelekezwa kumchafua, sijui alikosea wapi.
Hiyo kauli ya watu wazuri hawafi ina tatizo gani kwani, au mimi ndyo nilishindwa kuelewa?Like father like son
Watu wazuri hawafi