Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Akawe Rais wa ukoo wake.Kama Mungu aishivyo ntaomba huyu WAZIRI TAPELI, MWIZI & MSHIRIKIN asiwe raisi
Si vibaya kutambua mchango wa mtu hata kama humpendi hasa kwenye masuala ya miradi kama hii kama waziri hakumtaja Rais aliyepita na ndie aliyeasisi kazi hiyo ni makosa makubwa na wanaweza kuwa wamejidhihirisha wao kuwa kwa nn mmoja ni maharage na mwingine ni makamba.Ss wananchi tunashangaa na wakati mwingine tunajiuliza kwa nn wako kwenye nafasi hizo.Ukweli lazima usemwe, kuna tatizo gani kutambua juhudi za hayati Magufuli kwenye mradi huu wa umeme (JNHP), hasa kwenye hotuba zenu?
Wazo lilikuwa la Mwalimu Nyerere akashindwa, awamu zilizofuata kuanzia ya pili mpaka ya NNE, hawakuwa na habari na mradi huo, waliupa kisogo.
Hayati Magufuli kwa nguvu kubwa na ujasiri usio na shaka akaamua kutekeleza wazo hilo.
Miongoni mwa waliohujumu juhudi hizi ni waziri wa sasa wa nishati, January Makamba kwa kisingizio cha uharibifu wa mazingira, ikapelekea kuondolewa baraza la mawaziri.
Leo hotuba ya mkurugenzi mkuu Maharage Chande na waziri wake wamejificha kwenye kichaka cha mipasho hasa waziri Makamba.
Nijielekeze kwenye usanii wa waziri Makamba kutambua juhudi za watangulizi kwenye ujenzi wa bwawa hilo, katengeneza zawadi za kutambua michango ya mzee Mwinyi ,na Jakaya, wana mchango gani ikiwa mradi waliupa kisogo?
Makamba junior kawapa medali za kinafiki sana, hata wao wamejisikia aibu sana kupewa medali za ushiriki wao kwa mradi wakati hawajashiriki hata kidogo.,dhambi kubwa sana ikiambatana na unafiki wa hali ya juu.
Huyu kijana ndio anawaza kuwa rais wa hii nchi. Tuna hasara kubwa kama taifa.
Nimpongeze rais Samia kwa kujaribu kuusema ukweli kuhusu kazi kubwa ya hayati Magufuli katika kufanikisha mradi huu.
Kumekuwa na syndicate kupoteza Juhudi za hayati Magufuli kwa kuzimeza kijumla jumla na wasiostahili. Mojawapo ni hilo tukio la kinafiki la kutambua mchango wa hao watanguli kuhusu bwawa hili, wakati si washiriki.
Namalizia kwa kumwambia waziri Makamba na walio nyuma yake kwamba watanzania hawadanganyiki tena, Magufuli aliwafumbua macho.
Huu mchezo wa kujaza vijana mitandaoni kumdhihaki, mmeona leo jinsi likitajwa jina lake makofi na shangwe kama lote.
Nikiashiria kwamba kimwili hatuko naye ila kifikra tukonae, acheni majungu dhidi ya marehemu.
Ni raia wenye level gani ya elimu?..
Usilete mambo ya hoyahoya hapa.
Ukweli lazima usemwe, kuna tatizo gani kutambua juhudi za hayati Magufuli kwenye mradi huu wa umeme (JNHP), hasa kwenye hotuba zenu?
Wazo lilikuwa la Mwalimu Nyerere akashindwa, awamu zilizofuata kuanzia ya pili mpaka ya NNE, hawakuwa na habari na mradi huo, waliupa kisogo.
Hayati Magufuli kwa nguvu kubwa na ujasiri usio na shaka akaamua kutekeleza wazo hilo.
Miongoni mwa waliohujumu juhudi hizi ni waziri wa sasa wa nishati, January Makamba kwa kisingizio cha uharibifu wa mazingira, ikapelekea kuondolewa baraza la mawaziri.
Leo hotuba ya mkurugenzi mkuu Maharage Chande na waziri wake wamejificha kwenye kichaka cha mipasho hasa waziri Makamba.
Nijielekeze kwenye usanii wa waziri Makamba kutambua juhudi za watangulizi kwenye ujenzi wa bwawa hilo, katengeneza zawadi za kutambua michango ya mzee Mwinyi ,na Jakaya, wana mchango gani ikiwa mradi waliupa kisogo?
Makamba junior kawapa medali za kinafiki sana, hata wao wamejisikia aibu sana kupewa medali za ushiriki wao kwa mradi wakati hawajashiriki hata kidogo.,dhambi kubwa sana ikiambatana na unafiki wa hali ya juu.
Huyu kijana ndio anawaza kuwa rais wa hii nchi. Tuna hasara kubwa kama taifa.
Nimpongeze rais Samia kwa kujaribu kuusema ukweli kuhusu kazi kubwa ya hayati Magufuli katika kufanikisha mradi huu.
Kumekuwa na syndicate kupoteza Juhudi za hayati Magufuli kwa kuzimeza kijumla jumla na wasiostahili. Mojawapo ni hilo tukio la kinafiki la kutambua mchango wa hao watanguli kuhusu bwawa hili, wakati si washiriki.
Namalizia kwa kumwambia waziri Makamba na walio nyuma yake kwamba watanzania hawadanganyiki tena, Magufuli aliwafumbua macho.
Huu mchezo wa kujaza vijana mitandaoni kumdhihaki, mmeona leo jinsi likitajwa jina lake makofi na shangwe kama lote.
Nikiashiria kwamba kimwili hatuko naye ila kifikra tukonae, acheni majungu dhidi ya marehemu.
Eti mradi haribifu, pathetic!Tusidanganyane huu mradi Ni haribifu na haukustahiki wakati huu, ambapo tuna gesi ya kutosha miaka 50 ijayo, LAKINI KAMA KUNA MTU ANAYESTAHIKI YA UJENZI WA HILI BWAWA WA KWANZA NI HAYATI MAGUFULI AKIFUATIWA NA MAMA SAMIA ALIYEUSIMAMIA KUUMALIZIA PERIOD
Wewe Yesu anaingiaje hapo ?Yesu mbona hamchoki naye, si ni mfu pia? Usitupangie wewe.
Anapakwa matope au ndio ukweli wenyeweHuu uzi ni sehemu ya kampeni dhidi ya Makamba na nia zake za baadae. Inatumika nguvu kubwa kujaribu kumpaka madoa aonekane hafai kwa cheo kikubwa kuliko uwaziri.
Na kwa mara ya kwanza leo Samia kamtaja JPM lakini kwa nusu sekunde na wapambe wake wote January na Maharage wamejitahidi sana kutoa maelezo yao ya karibu kurasa 20 bila kuwataja Kambarage na JPM. wana taabu na hata wamejaribu kumpandikiza Kikwete eti alijaribu kutaka kujenga huo mradi na Kambarage hawakumtaja kabisa wakati pale kuna kibanda alichoishi Kambarage akiuota huo mradi.Kile chuma kina walaza Milango wazi.
Samia hata kuwa na legacy yoyote hasa kutambulika na waliosoma bali hao machawa anaowateua kumuhamasishia,,, Miradi yote ya kimkakati kama Reli, Maji, Umeme, Madarasa, Mahospitali, Mabarabara na madaraja vyote vilikuwa ni mipango ya JPM ila Samia atakuwa kama mwanafunzi aliyepasi mitihani kwa kutizamia oneni jinsi anavyoshindwa kumtaja JPM akizungumzia hiyo miradi na hata wapambe na machawa wateule wake wana kazi ngumu ya kuongea bila kumtaja JPMSSH haweka "legacy" yoyote hadi sasa zaidi ya kuendeleza miradi aliyoifanyia maamuzi ya utekelezaji na kuyasimamia km elimu bila malipo, kuboresha huduma za afya na elimu, ujenzi wa miundo mbinu ya usafishaji nchi kavu, majini na angani, nishati, maji na hata kuhamisha makao makuu ya nchi.
Tusubiri "diplomasia ya uchumi" kama itakuwa ndio "legacy" ya SSH
Makini sanaNa kwa mara ya kwanza leo Samia kamtaja JPM lakini kwa nusu sekunde na wapambe wake wote January na Maharage wamejitahidi sana kutoa maelezo yao ya karibu kurasa 20 bila kuwataja Kambarage na JPM. wana taabu na hata wamejaribu kumpandikiza Kikwete eti alijaribu kutaka kujenga huo mradi na Kambarage hawakumtaja kabisa wakati pale kuna kibanda alichoishi Kambarage akiuota huo mradi.
samia ana roho mbaya na ni dhahiri kabisa kiasi kwenye miradi yote aliyoianzisha JPM anataka legacy apewe yeye lakini ukienda hata Tegeta mitaani watakuambia nani ni nani
Samia ni roho mbaya sana hivyo kifo cha JPM kwake ni fursa
Poleni sana ila makofi wayopiga watu hapo Rufiji ni ujumbe tosha.
Maharage Chande yeye analeta story za mkoloni,hawa vijana wapuuzi sana kama wanaowaleaSamia hata kuwa na legacy yoyote hasa kutambulika na waliosoma bali hao machawa anaowateua kumuhamasishia,,, Miradi yote ya kimkakati kama Reli, Maji, Umeme, Madarasa, Mahospitali, Mabarabara na madaraja vyote vilikuwa ni mipango ya JPM ila Samia atakuwa kama mwanafunzi aliyepasi mitihani kwa kutizamia oneni jinsi anavyoshindwa kumtaja JPM akizungumzia hiyo miradi na hata wapambe na machawa wateule wake wana kazi ngumu ya kuongea bila kumtaja JPM
Kazi wanayo ila huku uswazi tunajua ukweli wa nani ni nani
Excellent opinionLook at how he was very disorganized, uratibu ulikuwa hovyo, too poor he is too much of himself, he should have delegated the entire exercise. He knew nothing of what he was doing. Pure disjointed docket CS hovyo.
Kama umechoka jinyonge.Tumechoka na hizo ishu za huyo mfu wenu, kama vipi mwambieni gwajiboy amuibue upya kwa vile anayo makarama ya kufufua wafu.
Nani alikwambia Yesu ni mfu?Na unaanza vipi kumlinganisha Yesu na mtu wenu?Ndiyo maana hamjielewi mnakwama wapi?Yesu mbona hamchoki naye, si ni mfu pia? Usitupangie wewe.