thetallest
JF-Expert Member
- Oct 21, 2017
- 8,271
- 9,113
- Thread starter
-
- #341
Niliona wanatafuta pa kujificha,eti Maharage Chande anajifichia kwenye history ya mkoloni stigliers,aliyefia pale,bila kugusa jina la Magufuli, mwingine eti kajikita kutambua mchango wa wasiohusika kwa vimedali,hovyoo!Yana maana kwamba wakubwa viuno vyao havina nguo tena, sharti wachutame kama wasemavyo wahenga
Na kama hawatayachambua makofi yale na kuendeleza dharau zao eti wanaupiga mwingi na eti JPM ni kanda ya ziwa tu mara ni sukuma gang, basi utakuwa ni mpango mwema wa Mungu wa kusahaulisha ukubwa wa uumbaji wa hii dunia na nguvu ya uumbaji wake
Usipaniki mjombaWewe ni matako kabisa
Kama yale maongezi ndio ya kitaalamu basi nchi hii tuna hasara kubwa sanaMakamba ameongea kitaalamubzaidi (Professionalism) kuliko kisiasa za kutaka umashuhuri (populism). Maharage Alisha ongelea historia, na Makamba akijua Rais atakuja kuongea, kwa hiyo alijua mipaka yake.
Alipoteuliwa Makamba, ilikuwa ni strategic shift, kutoka populism tendencies kwenda more pragmatic and professional way of doing things.
Ndio maana umesikia mradi umeenda vizuri sana, na Ile LNG, ambao ni mradi mkubwa kuliko yote Afrika Mashariki tangu Uhuru, unaelekea kufanikiwa. Nishati ni zaidi ya TANESCO. Mama alitaka mtu mtaalamu zaidi wankuongea na mashirika na washirika wa kimataifa kwa weledinl zaidi ndio maana Makamba akateuliwa!
Hivi uongo huwa unawasidia nini nyie vijana?UKWELI NI KWAMBA MRADI HUO ULIANZISHWA NA SERIKALI YA AWAMU YA NNE NA SIO YA TANO.
NA HATA KAMA MAGUFULI ANGEUANZISHA YEYE, PIA HAWA MARAIS WALIOPITA WALISTAHILI TUZO KWANI MAGU ALIKUTA UCHUMI ULIOMWEZESHA KUFANYA HAYO
HakikaJina la Magufuli lilipotajwa yale makofi, nderemo na vifijo nadhani mama hakutegemea na naamini wale viongozi wengine (anti- Magufuli) walipata maumivu makali kwenye nafsi zao. Hata siku moja NURU haiwezi kuishindana na GIZA. Hata baadhi ya watu wa mitandaoni wanaolipwa pesa nyingi ili kumtukana Magufuli wamejisikia vibaya kuona bado yupo kwenye mioyo ya wananchi. Wezi na Mafisadi wamepata FUNZO kubwa
Mzee Mwinyi alisema JPM kafanya mambo makubwa ndani ya muda mfupi sana ambayo wao wangepewa mmoja mmoja basi ingewahitaji miaka 40.UKWELI NI KWAMBA MRADI HUO ULIANZISHWA NA SERIKALI YA AWAMU YA NNE NA SIO YA TANO.
NA HATA KAMA MAGUFULI ANGEUANZISHA YEYE, PIA HAWA MARAIS WALIOPITA WALISTAHILI TUZO KWANI MAGU ALIKUTA UCHUMI ULIOMWEZESHA KUFANYA HAYO
Wali aibika vibaya sanaHata mimi nimeshangaa sana ila yale makofi yaliyopigwa alipotajwa Magufuli ni ujumbe tosha kwao.
Watakufa na kijiba cha rohoWali aibika vibaya sana
kuna tetesi Jakaya kikwete alimlaumu sana mzee Mwinyi, kwamba ile kauli haikufaa kutoka hadharaniMzee Mwinyi alisema JPM kafanya mambo makubwa ndani ya muda mfupi sana ambayo wao wangepewa mmoja mmoja basi ingewahitaji miaka 40.
Tafakari hayo maneno ya huyo mzee vinginevyo uko na hao ambao Mungu kaamua makusudi kuwatoa ufahamu kidogo waeijione kama wako uchi kumbe dunia yote wanashika midomo kwa aibu
Wewe kutowapenda hakukupi uhalali wa kuwatukana maelfu ya watu waliowapigia kura na kuwapelekea bungeni, chuki za namna hii hazimsaidii mtu zaidi ya kumletea ugonjwa wa moyo siku moja,Mwigulu nchemba
January makamba
Na nape wanatakiwa wasirudi bungeni uchaguzi ujao sema majimbo wanayoongoza watu wake ni bendera fuata upepo hawana mbele wala nyuma.
Magufuli ni rais wa tano wa TZ kabla yake kuna wa kwanza mpaka wa nne, kwanini wasienziwe siku ile wakati wanao mchango uliomuwezesha JPM kufanya aliyoyafanya?.Niliona wanatafuta pa kujificha,eti Maharage Chande anajifichia kwenye history ya mkoloni stigliers,aliyefia pale,bila kugusa jina la Magufuli, mwingine eti kajikita kutambua mchango wa wasiohusika kwa vimedali,hovyoo!
Tatizo la watu wa kulinda legacy ni pale mnapoamua kuziba ufahamu na kuficha akiliMradi gani huyo kiwete aliuacha ukazinduliwa na JPM? Mradi wa dawa za kulevya na mateja?
Jehanam anaenda yule jamaa yako anayefumuliwa mananii, amejitakia mwenyewe hakuna aliyemlazimisha.Jinyonge wewe na wapumbavu wenzako mnaomlilia huyo dhalim aliyeko jehanam
Kwani wewe ulishafanya operesheni ya kurudisha marinda yako, maana umeanza kuliwa tigo ukiwa mdogo sana na unazeekana ushoga wako.Jehanam anaenda yule jamaa yako anayefumuliwa mananii, amejitakia mwenyewe hakuna aliyemlazimisha.
Kumbe Mtume Mohamed S. W hajafa? Maana wema hawafi.Yesu mbona hamchoki naye, si ni mfu pia? Usitupangie wewe.
Hata kama unamchukia mtu kiasi gani usimdhihaki askishakufa. Jwanza hana hata nguvu tena ya kukuumiza endapo alikuumiza. Kumkashifu alokufa ni udhaifu mkubwa sana. Pia muombe Mungu usifwe au usife soonTumechoka na hizo ishu za huyo mfu wenu, kama vipi mwambieni gwajiboy amuibue upya kwa vile anayo makarama ya kufufua wafu.
Busara ndio hii sasa,ambae hataki shauri yakeHata kama unamchukia mtu kiasi gani usimdhihaki askishakufa. Jwanza hana hata nguvu tena ya kukuumiza endapo alikuumiza. Kumkashifu alokufa ni udhaifu mkubwa sana. Pia muombe Mungu usifwe au usife soon
Hakuna aliyemdhihaki. Wala hiyo sicho tunachojadili hapa. Hoja yenu ni kuwa mnataka atajwe tajwe! Watu wanaendelea na kazi zao, mnaanza kulalamika mnataka atajwe, hajatajwa, halafu mnarudi tena mnasema 'msimdhihaki akishakufa'. Yaani mnaanza nyie, mnakuja kumaliza nyie huku mkiwalaumu wengine! Acheni.Busara ndio hii sasa,ambae hataki shauri yake