Pre GE2025 Kwanini Jeshi la polisi liruhusu kongamano la vijana Duniani kwa Vijana wa CCM na ACT Wazalendo na kuzuia la Vijana wa CHADEMA?

Pre GE2025 Kwanini Jeshi la polisi liruhusu kongamano la vijana Duniani kwa Vijana wa CCM na ACT Wazalendo na kuzuia la Vijana wa CHADEMA?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Angalia huu mlolongo wa Siku ya Vijana Duniani, Halafu Toa maoni yako

Haya hapa ni Maadhimisho ya siku ya Vijana Duniani kwa UVCCM kwenye Uwanja wa Amani, lilihutubiwa na Makamu Mwenyekiti wa ccm Hussein Mwinyi

Screenshot_2024-08-11-18-03-39-1.png




Screenshot_2024-08-11-18-03-15-1.png


Hawa hapa nao ni Vijana wa ACT WAZALENDO wakiwa Chakechake Pemba

Mgeni Rasmi alikuwa Ismail Jussa

Screenshot_2024-08-11-18-03-24-1.png


Lakini linapokuja suala la BAVICHA, Polisi wanaleta chokochoko kwa kutumikishwa na Watawala mithili ya Vitendea kazi vyao

Screenshot_2024-08-11-18-03-50-1.png


Huku Kauli za Vitisho zikitolewa bila aibu yoyote ile

Screenshot_2024-08-11-18-03-45-1.png


Je kuna haja ya kulifutilia mbali jeshi la Polisi na kuliunda upya huku baadhi ya viongozi wa Jeshi hilo wakikamatwa na kufunguliwa Mashtaka?

Pia soma:
 
Angalia huu mlolongo wa Siku ya Vijana Duniani, Halafu Toa maoni yako

Haya hapa ni Maadhimisho ya siku ya Vijana Duniani kwa UVCCM kwenye Uwanja wa Amani, lilihutubiwa na Makamu Mwenyekiti wa ccm Hissein Mwinyi

View attachment 3067189



View attachment 3067190

Hawa hapa nao ni Vijana wa ACT WAZALENDO wakiwa Chakechake Pemba

Mgeni Rasmi alikuwa Ismail Jussa

View attachment 3067194

Lakini linapokuja suala la BAVICHA, Polisi wanaleta chokochoko kwa kutumikishwa na Watawala mithili ya Vitendea kazi vyao

View attachment 3067197

Huku Kauli za Vitisho zikitolewa bila aibu yoyote ile

View attachment 3067199

Je kuna haja ya kulifutilia mbali jeshi la Polisi na kuliunda upya huku baadhi ya viongozi wa Jeshi hilo wakikamatwa na kufunguliwa Mashtaka?

Pia soma:Kuelekea 2025 - Msajili apiga Marufuku Kongamano la CHADEMA mkoani Mbeya, asema matamko yao yanahusisha vitendo vya uvunjifu wa amani
Nia ovu ya Machadema,Lisu kudai atashiriki maandamano kwani yeye ni Kijana? Imewakata hatutaki uhuni.
 
Hao polisi,wanafuata amrita ya watawala,ulitaka wafanye nini kama wamemrishwa wafanye hivyo?
Muda mwingine tunawalaumu hawa polisi as if hatujui mifumo ya hii nchi.
Ma-RPCs wanateuliwa na viongozi wa serikali ambayo ni CCM,unadhani atabisha akipewa maelekezo kutoka juu?
Huoni akikataa inamaana anaundiwa zengwe anatolewa kwenye hiyo post,anawekwa anayewatii?
Tusiwalaumu,hao polisi ila tuangalie mfumo.
 
Jeshi la polisi liko kwa mujibu wa sheria na sio kufuata matakwa ya wanasiasa.
Wanajua na wana jijua wanatumika, is why heshima yao kwenye jamii inazidi kuporomoka day and night sababu hii

Katiba katiba katiba
Anayemteua RPC ni nani?
Kama ni Rais,huyo Rais hana mamlaka ya kumtengua asipofuata maagizo?
Angalia tena unachokikataa.
 
Angalia huu mlolongo wa Siku ya Vijana Duniani, Halafu Toa maoni yako

Haya hapa ni Maadhimisho ya siku ya Vijana Duniani kwa UVCCM kwenye Uwanja wa Amani, lilihutubiwa na Makamu Mwenyekiti wa ccm Hussein Mwinyi

View attachment 3067189



View attachment 3067190

Hawa hapa nao ni Vijana wa ACT WAZALENDO wakiwa Chakechake Pemba

Mgeni Rasmi alikuwa Ismail Jussa

View attachment 3067194

Lakini linapokuja suala la BAVICHA, Polisi wanaleta chokochoko kwa kutumikishwa na Watawala mithili ya Vitendea kazi vyao

View attachment 3067197

Huku Kauli za Vitisho zikitolewa bila aibu yoyote ile

View attachment 3067199

Je kuna haja ya kulifutilia mbali jeshi la Polisi na kuliunda upya huku baadhi ya viongozi wa Jeshi hilo wakikamatwa na kufunguliwa Mashtaka?

Pia soma:

Angalia huu mlolongo wa Siku ya Vijana Duniani, Halafu Toa maoni yako

Haya hapa ni Maadhimisho ya siku ya Vijana Duniani kwa UVCCM kwenye Uwanja wa Amani, lilihutubiwa na Makamu Mwenyekiti wa ccm Hussein Mwinyi

View attachment 3067189



View attachment 3067190

Hawa hapa nao ni Vijana wa ACT WAZALENDO wakiwa Chakechake Pemba

Mgeni Rasmi alikuwa Ismail Jussa

View attachment 3067194

Lakini linapokuja suala la BAVICHA, Polisi wanaleta chokochoko kwa kutumikishwa na Watawala mithili ya Vitendea kazi vyao

View attachment 3067197

Huku Kauli za Vitisho zikitolewa bila aibu yoyote ile

View attachment 3067199

Je kuna haja ya kulifutilia mbali jeshi la Polisi na kuliunda upya huku baadhi ya viongozi wa Jeshi hilo wakikamatwa na kufunguliwa Mashtaka?

Pia soma:
Kk jeshi ni kufuata amri tuuh ya serikal ilikuwa madarakani kwa mujibu wa katiba sasa serikali ni CCM na wao hawataki kutoka madrakani lazima watumie dola kubaki madrakani so mm sijaona jeshi wankosa gani hapo
 
Back
Top Bottom