Pre GE2025 Kwanini Jeshi la polisi liruhusu kongamano la vijana Duniani kwa Vijana wa CCM na ACT Wazalendo na kuzuia la Vijana wa CHADEMA?

Pre GE2025 Kwanini Jeshi la polisi liruhusu kongamano la vijana Duniani kwa Vijana wa CCM na ACT Wazalendo na kuzuia la Vijana wa CHADEMA?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kk jeshi ni kufuata amri tuuh ya serikal ilikuwa madarakani kwa mujibu wa katiba sasa serikali ni CCM na wao hawataki kutoka madrakani lazima watumie dola kubaki madrakani so mm sijaona jeshi wankosa gani hapo
Watashindana hawatashinda.......wamechelewa. Chadema hairudi nyuma.
 
Angalia huu mlolongo wa Siku ya Vijana Duniani, Halafu Toa maoni yako

Haya hapa ni Maadhimisho ya siku ya Vijana Duniani kwa UVCCM kwenye Uwanja wa Amani, lilihutubiwa na Makamu Mwenyekiti wa ccm Hussein Mwinyi

View attachment 3067189



View attachment 3067190

Hawa hapa nao ni Vijana wa ACT WAZALENDO wakiwa Chakechake Pemba

Mgeni Rasmi alikuwa Ismail Jussa

View attachment 3067194

Lakini linapokuja suala la BAVICHA, Polisi wanaleta chokochoko kwa kutumikishwa na Watawala mithili ya Vitendea kazi vyao

View attachment 3067197

Huku Kauli za Vitisho zikitolewa bila aibu yoyote ile

View attachment 3067199

Je kuna haja ya kulifutilia mbali jeshi la Polisi na kuliunda upya huku baadhi ya viongozi wa Jeshi hilo wakikamatwa na kufunguliwa Mashtaka?

Pia soma:
wamezuia kwasabb ya viashiria Kamili vya kihalifu vilivyo kua na nia ovu ya kuhatarisha amani na kuvuruga shushuli na biashara za watu 🐒

kongole nyingi sana kwa Jeshi imara la police nchini, kwa kuditect wahalifu hao na kuwadhibiti mapema kabla ya kuleta madhara, uharibifu na usumbufu kwa wananchi 🐒
 
wamezuia kwasabb ya viashiria Kamili vya kihalifu vilivyo kua na nia ovu ya kuhatarisha amani na kuvuruga shushuli na biashara za watu 🐒

kongole nyingi sana kwa Jeshi imara la police nchini, kwa kuditect wahalifu hao na kuwadhibiti mapema kabla ya kuleta madhara, uharibifu na usumbufu kwa wananchi 🐒
Uvccm wangetoboa mbele ya Bavicha?

Wameona aibu......hata hivyo Bavicha bado wana lead 3 bila mpaka sasa.
 
Angalia huu mlolongo wa Siku ya Vijana Duniani, Halafu Toa maoni yako

Haya hapa ni Maadhimisho ya siku ya Vijana Duniani kwa UVCCM kwenye Uwanja wa Amani, lilihutubiwa na Makamu Mwenyekiti wa ccm Hussein Mwinyi

View attachment 3067189



View attachment 3067190

Hawa hapa nao ni Vijana wa ACT WAZALENDO wakiwa Chakechake Pemba

Mgeni Rasmi alikuwa Ismail Jussa

View attachment 3067194

Lakini linapokuja suala la BAVICHA, Polisi wanaleta chokochoko kwa kutumikishwa na Watawala mithili ya Vitendea kazi vyao

View attachment 3067197

Huku Kauli za Vitisho zikitolewa bila aibu yoyote ile

View attachment 3067199

Je kuna haja ya kulifutilia mbali jeshi la Polisi na kuliunda upya huku baadhi ya viongozi wa Jeshi hilo wakikamatwa na kufunguliwa Mashtaka?

Hofu ya uchaguzi, mbeleko la vyombo vya dola lkwa CCM inaanza kujionyesha.
 
Uvccm wangetovoa mbele ya Bavicha?

Wameona aibu......hata hivyo Bavicha bado wana lead 3 bila mpaka sasa.
Jeshi la polisi lipo imara kukabiliana vilivyo na wahalifu wa aina zote, na halitasita kuchukua hatua kali dhidi ya yeyote anae hatarisha amani popote nchini 🐒

epuka kufuata mkumbo
 
Pamoja na kujiteka . Leo vijana wa Act Wazalendo wameruhusiwa. Sisi tunazuiwa kinyume na katiba
1000030712.jpg
 
Back
Top Bottom