Pre GE2025 Kwanini Jeshi la polisi liruhusu kongamano la vijana Duniani kwa Vijana wa CCM na ACT Wazalendo na kuzuia la Vijana wa CHADEMA?

Pre GE2025 Kwanini Jeshi la polisi liruhusu kongamano la vijana Duniani kwa Vijana wa CCM na ACT Wazalendo na kuzuia la Vijana wa CHADEMA?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Angalia huu mlolongo wa Siku ya Vijana Duniani, Halafu Toa maoni yako

Haya hapa ni Maadhimisho ya siku ya Vijana Duniani kwa UVCCM kwenye Uwanja wa Amani, lilihutubiwa na Makamu Mwenyekiti wa ccm Hussein Mwinyi

View attachment 3067189



View attachment 3067190

Hawa hapa nao ni Vijana wa ACT WAZALENDO wakiwa Chakechake Pemba

Mgeni Rasmi alikuwa Ismail Jussa

View attachment 3067194

Lakini linapokuja suala la BAVICHA, Polisi wanaleta chokochoko kwa kutumikishwa na Watawala mithili ya Vitendea kazi vyao

View attachment 3067197

Huku Kauli za Vitisho zikitolewa bila aibu yoyote ile

View attachment 3067199

Je kuna haja ya kulifutilia mbali jeshi la Polisi na kuliunda upya huku baadhi ya viongozi wa Jeshi hilo wakikamatwa na kufunguliwa Mashtaka?

Pia soma:
Kwa sababu kongamano lenu mmetangaza kabisa litakuwa na shari. Viongozi wenu wa Bavicha wanatangaza shari.
 
Hao polisi,wanafuata amrita ya watawala,ulitaka wafanye nini kama wamemrishwa wafanye hivyo?
Muda mwingine tunawalaumu hawa polisi as if hatujui mifumo ya hii nchi.
Ma-RPCs wanateuliwa na viongozi wa serikali ambayo ni CCM,unadhani atabisha akipewa maelekezo kutoka juu?
Huoni akikataa inamaana anaundiwa zengwe anatolewa kwenye hiyo post,anawekwa anayewatii?
Tusiwalaumu,hao polisi ila tuangalie mfumo.
Kwahili uko sahihi
 
Angalia huu mlolongo wa Siku ya Vijana Duniani, Halafu Toa maoni yako

Haya hapa ni Maadhimisho ya siku ya Vijana Duniani kwa UVCCM kwenye Uwanja wa Amani, lilihutubiwa na Makamu Mwenyekiti wa ccm Hussein Mwinyi

View attachment 3067189



View attachment 3067190

Hawa hapa nao ni Vijana wa ACT WAZALENDO wakiwa Chakechake Pemba

Mgeni Rasmi alikuwa Ismail Jussa

View attachment 3067194

Lakini linapokuja suala la BAVICHA, Polisi wanaleta chokochoko kwa kutumikishwa na Watawala mithili ya Vitendea kazi vyao

View attachment 3067197

Huku Kauli za Vitisho zikitolewa bila aibu yoyote ile

View attachment 3067199

Je kuna haja ya kulifutilia mbali jeshi la Polisi na kuliunda upya huku baadhi ya viongozi wa Jeshi hilo wakikamatwa na kufunguliwa Mashtaka?

Pia soma:
Polisi wengi wakiongozwa na baadhi ya RPC ni waerevu Sana
 
Polisi wengi wakiongozwa na baadhi ya RPC ni WAPUMBAVU Sana
Yaani hao polisi,wana familia zao,na wategemezi wengi tu,sasa washapewa amri kua wawazuie CHADEMA wasifanikishe jambo Lao,we unadhani watafanyaje?
Na hiyo amri imetolewa na wabaowateua,we ungefanyaje?
Muhimu hapo ni katiba.
 
Angalia huu mlolongo wa Siku ya Vijana Duniani, Halafu Toa maoni yako

Haya hapa ni Maadhimisho ya siku ya Vijana Duniani kwa UVCCM kwenye Uwanja wa Amani, lilihutubiwa na Makamu Mwenyekiti wa ccm Hussein Mwinyi

View attachment 3067189



View attachment 3067190

Hawa hapa nao ni Vijana wa ACT WAZALENDO wakiwa Chakechake Pemba

Mgeni Rasmi alikuwa Ismail Jussa

View attachment 3067194

Lakini linapokuja suala la BAVICHA, Polisi wanaleta chokochoko kwa kutumikishwa na Watawala mithili ya Vitendea kazi vyao

View attachment 3067197

Huku Kauli za Vitisho zikitolewa bila aibu yoyote ile

View attachment 3067199

Je kuna haja ya kulifutilia mbali jeshi la Polisi na kuliunda upya huku baadhi ya viongozi wa Jeshi hilo wakikamatwa na kufunguliwa Mashtaka?

Pia soma:

CHADEMA naona wanapoteza muda wao, yawezekana hawana kazi za maana za kufanya.



"Gun-politics is the only available and suitable means of doing politics in Sahel region and the rest of Africa."

Jacques Farrac, a former Chief Spy of French
 
Angalia huu mlolongo wa Siku ya Vijana Duniani, Halafu Toa maoni yako

Haya hapa ni Maadhimisho ya siku ya Vijana Duniani kwa UVCCM kwenye Uwanja wa Amani, lilihutubiwa na Makamu Mwenyekiti wa ccm Hussein Mwinyi

View attachment 3067189



View attachment 3067190

Hawa hapa nao ni Vijana wa ACT WAZALENDO wakiwa Chakechake Pemba

Mgeni Rasmi alikuwa Ismail Jussa

View attachment 3067194

Lakini linapokuja suala la BAVICHA, Polisi wanaleta chokochoko kwa kutumikishwa na Watawala mithili ya Vitendea kazi vyao

View attachment 3067197

Huku Kauli za Vitisho zikitolewa bila aibu yoyote ile

View attachment 3067199

Je kuna haja ya kulifutilia mbali jeshi la Polisi na kuliunda upya huku baadhi ya viongozi wa Jeshi hilo wakikamatwa na kufunguliwa Mashtaka?

Pia soma:
Viongoz wa police ni makada wa ccm askari wa chini wanashurutishwa TU
 
Hao polisi,wanafuata amrita ya watawala,ulitaka wafanye nini kama wamemrishwa wafanye hivyo?
Muda mwingine tunawalaumu hawa polisi as if hatujui mifumo ya hii nchi.
Ma-RPCs wanateuliwa na viongozi wa serikali ambayo ni CCM,unadhani atabisha akipewa maelekezo kutoka juu?
Huoni akikataa inamaana anaundiwa zengwe anatolewa kwenye hiyo post,anawekwa anayewatii?
Tusiwalaumu,hao polisi ila tuangalie mfumo.
Huko juu ni wapi!!
Ni nani huyo aliyepo juu anayetoa maelekezo!!??
 
Huko juu ni wapi!!
Ni nani huyo aliyepo juu anayetoa maelekezo!!??
Yaani wateule wao,ndo wanaowapa kazi ya kukataza shughuli hizo.
Mkuu ukiambiwa MAAGIZO KUTOKA JUU,jua ni MABOSS.
 
Angalia huu mlolongo wa Siku ya Vijana Duniani, Halafu Toa maoni yako

Haya hapa ni Maadhimisho ya siku ya Vijana Duniani kwa UVCCM kwenye Uwanja wa Amani, lilihutubiwa na Makamu Mwenyekiti wa ccm Hussein Mwinyi

View attachment 3067189



View attachment 3067190

Hawa hapa nao ni Vijana wa ACT WAZALENDO wakiwa Chakechake Pemba

Mgeni Rasmi alikuwa Ismail Jussa

View attachment 3067194

Lakini linapokuja suala la BAVICHA, Polisi wanaleta chokochoko kwa kutumikishwa na Watawala mithili ya Vitendea kazi vyao

View attachment 3067197

Huku Kauli za Vitisho zikitolewa bila aibu yoyote ile

View attachment 3067199

Je kuna haja ya kulifutilia mbali jeshi la Polisi na kuliunda upya huku baadhi ya viongozi wa Jeshi hilo wakikamatwa na kufunguliwa Mashtaka?

Pia soma:
Msiumie mioyo! Washindi ni chadema maana kwa ujinga wa polisi hawajui wamepiga promo kubwa sana kwa chadema.
Karibu kunakucha
Ujumbe umefika dunia itaona maana wamegusa panapo watasikia muziki munene.

Big mistake wamefanya
 
Angalia huu mlolongo wa Siku ya Vijana Duniani, Halafu Toa maoni yako

Haya hapa ni Maadhimisho ya siku ya Vijana Duniani kwa UVCCM kwenye Uwanja wa Amani, lilihutubiwa na Makamu Mwenyekiti wa ccm Hussein Mwinyi

View attachment 3067189



View attachment 3067190

Hawa hapa nao ni Vijana wa ACT WAZALENDO wakiwa Chakechake Pemba

Mgeni Rasmi alikuwa Ismail Jussa

View attachment 3067194

Lakini linapokuja suala la BAVICHA, Polisi wanaleta chokochoko kwa kutumikishwa na Watawala mithili ya Vitendea kazi vyao

View attachment 3067197

Huku Kauli za Vitisho zikitolewa bila aibu yoyote ile

View attachment 3067199

Je kuna haja ya kulifutilia mbali jeshi la Polisi na kuliunda upya huku baadhi ya viongozi wa Jeshi hilo wakikamatwa na kufunguliwa Mashtaka?

Pia soma:
Polisi acheni kukandamiza Chadema
 
wamezuia kwasabb ya viashiria Kamili vya kihalifu vilivyo kua na nia ovu ya kuhatarisha amani na kuvuruga shushuli na biashara za watu 🐒

kongole nyingi sana kwa Jeshi imara la police nchini, kwa kuditect wahalifu hao na kuwadhibiti mapema kabla ya kuleta madhara, uharibifu na usumbufu kwa wananchi 🐒
Andiko lako ni la kipumbavu
 
Anayemteua RPC ni nani?
Kama ni Rais,huyo Rais hana mamlaka ya kumtengua asipofuata maagizo?
Angalia tena unachokikataa.
Rais anamteua IGP, RPC anateuliwa na IGP
 
Back
Top Bottom