Pre GE2025 Kwanini Jeshi la polisi liruhusu kongamano la vijana Duniani kwa Vijana wa CCM na ACT Wazalendo na kuzuia la Vijana wa CHADEMA?

Pre GE2025 Kwanini Jeshi la polisi liruhusu kongamano la vijana Duniani kwa Vijana wa CCM na ACT Wazalendo na kuzuia la Vijana wa CHADEMA?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
hata hiyo mihemko kwenye kuambiwa ukweli, ikiwa inakusaidia ongeza juhudi zaidi ufaidike...

Jeshi la polisi nchini mpaka sasa limeshadhibiti genge la wahalifu walikukusudia kuleta fujo, na bado linaendelea na doria maeneo mbalimbali ili kulinda amani na usalama wa watu, biashara na makazi yao....

naendelea kukusihi wew na wananchi wengine kujiepusha na magenge ya uhalifu popote nchini ili kuepuka usumbufu na athari mbalimbali zinaweza kuwaletea madhara 🐒
Bangi zilezile; hata siku moja moja huwezi kupumzika akili zikatulia kidogo?
 
Umedanganywa kijinga sana!
ni afadhali uendelee kuhamasisha uhalifu ukiwa nyuma ya keyboard,

field hapatakua na haya kuchukua hatua dhidi ya wahalifu wa aina zote, na wengine waliobainishwa wanatoa maelezo panapohusika 🐒

tii sheria bila shuruti utakua salama, vinginevyo utakutana na shubiri, we shupaza shingo tu 🤣
 
Umedanganywa kijinga sana!
Huyo jamaa ndiyo ile timu ya akina Masabuni, yule waziri wa polisi na yule mwenzake wa Tamisemi. Hawa jukumu lao ni kuhakikisha 'Chura Kiziwi' kwa vyovyote anaiba uchaguzi.
Sasa nchi inaendeshwa na vilaza wa aina hii!
 
Bangi zilezile; hata siku moja moja huwezi kupumzika akili zikatulia kidogo?
acha upotoshaji,
uishiwe bando halafu usingizie kupumzika?

acha uvivu gentleman,
zidisha juhudi katika kufanya kazi, kwani mtaji ulionao ni nguvu zako mwenyewe 🐒
 
acha upotoshaji,
uishiwe bando halafu usingizie kupumzika?

acha uvivu gentleman,
zidisha juhudi katika kufanya kazi, kwani mtaji ulionao ni nguvu zako mwenyewe 🐒
Juhudi pekee ninayotakiwa kuwa nayo sasa hivi ni kuondoa takataka hii inayo likabili taifa letu.
 
"...uhalifu..." unajulikana ulipo.
Pamoja na kujitoa akili kama ilivyo kawaida yako; hatimae utajuwa maana ya "uhalifu" ni kitu gani. Vuta subira kidogo.
ndio ambao jeshi la polisi linapambana nao na kwa kiasi kikubwa limefanikia kuudhibiti uhalifu huo uliopangwa na majambazi wanaojiita gen z🐒
 
Juhudi pekee ninayotakiwa kuwa nayo sasa hivi ni kuondoa takataka hii inayo likabili taifa letu.
relax,
jitahidi kua mtulivu, nchi iko salama, wahalifu na uhalifu wao tayari umedhibitiwa, kua na amani tu 🐒
 
Unadhani 'bundle' unalo pewa uje hapa kuweka uchafu kila siku na hao wanaokutunza wewe ndivyo na wengine wanavyo ishi hivyo?
nashukuru ile tozo, kodi na ushuru ambao tunatozwa mimi na wewe inafanya network iwe stable sana achilia mbali kuimarika kwa sekta za usafirishaji, biashara, kilimo, afya, technologia, ulinzi na usalama vina tuwezesha kuendelea kusomana mtandaoni,

hata hivyo, mshahara, posho na marupurupu bado hazitoshi sana kukabiliana na changamoto za familia na maisha kwa ujumla, ila ni muhimu kushukuru kwa tunachojaaliwa 🐒

epuka uhalifu..
 
Najuwa sasa hivi mnayo matumbo moto sana, sijui itakuwaje hadi kufikia mwakani?
yaani unafikiria ya mwakani wakati wenzio tumeshajipanga hadi 2035🤣

mbona bado uko nyuma mno gentleman? ni wew pekeyako tu au na chama chako kwa ujumla mnamawazo finyu hivyo, eti mwakani 🤣

Hiyo ilisha isha
 
yaani unafikiria ya mwakani wakati wenzio tumeshajipanga hadi 2035🤣

mbona bado uko nyuma mno gentleman? ni wew pekeyako tu au na chama chako kwa ujumla mnamawazo finyu hivyo, eti mwakani 🤣

Hiyo ilisha isha
Bangi ndivyo zinavyo kupeleka hivyo? Siku zenu zinahesabika sasa.
 
Wahalifu wakuu kwa sasa ni huyo Masabuni, na huyo wa Tamisemi, ambao ndio wanaokujaza tumbo. Hawa ndio watakao shughulikiwa nchi itakapo kombolewa.
unafeli sasa,
umechoka au huna hoja na wakati umedai ulikua mapumzikoni 🐒
 
Jeshi la polisi liko kwa mujibu wa sheria na sio kufuata matakwa ya wanasiasa.
Wanajua na wana jijua wanatumika, is why heshima yao kwenye jamii inazidi kuporomoka day and night sababu hii

Katiba katiba katiba
Ingekuwa sheria ina nguvu kuliko Mwenyekiti wa chama maisha yangekuwa mazuri zaidi.
 
Back
Top Bottom