Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Watashindana hawatashinda.......wamechelewa. Chadema hairudi nyuma.Kk jeshi ni kufuata amri tuuh ya serikal ilikuwa madarakani kwa mujibu wa katiba sasa serikali ni CCM na wao hawataki kutoka madrakani lazima watumie dola kubaki madrakani so mm sijaona jeshi wankosa gani hapo
Ungesikia matusi aliyotukanwa Jussa ungewaunga mkono police kuwazuia BavichaHawana Nia ovu
Hawana Nia ovuKwani hao waliohutubia huko Zanzibar walikuwa vijana?
wamezuia kwasabb ya viashiria Kamili vya kihalifu vilivyo kua na nia ovu ya kuhatarisha amani na kuvuruga shushuli na biashara za watu 🐒Angalia huu mlolongo wa Siku ya Vijana Duniani, Halafu Toa maoni yako
Haya hapa ni Maadhimisho ya siku ya Vijana Duniani kwa UVCCM kwenye Uwanja wa Amani, lilihutubiwa na Makamu Mwenyekiti wa ccm Hussein Mwinyi
View attachment 3067189
View attachment 3067190
Hawa hapa nao ni Vijana wa ACT WAZALENDO wakiwa Chakechake Pemba
Mgeni Rasmi alikuwa Ismail Jussa
View attachment 3067194
Lakini linapokuja suala la BAVICHA, Polisi wanaleta chokochoko kwa kutumikishwa na Watawala mithili ya Vitendea kazi vyao
View attachment 3067197
Huku Kauli za Vitisho zikitolewa bila aibu yoyote ile
View attachment 3067199
Je kuna haja ya kulifutilia mbali jeshi la Polisi na kuliunda upya huku baadhi ya viongozi wa Jeshi hilo wakikamatwa na kufunguliwa Mashtaka?
Pia soma:
Gen X hao 😂😂Vipi vijana wa miaka ya 70 ?
Uvccm wangetoboa mbele ya Bavicha?wamezuia kwasabb ya viashiria Kamili vya kihalifu vilivyo kua na nia ovu ya kuhatarisha amani na kuvuruga shushuli na biashara za watu 🐒
kongole nyingi sana kwa Jeshi imara la police nchini, kwa kuditect wahalifu hao na kuwadhibiti mapema kabla ya kuleta madhara, uharibifu na usumbufu kwa wananchi 🐒
Angalia huu mlolongo wa Siku ya Vijana Duniani, Halafu Toa maoni yako
Haya hapa ni Maadhimisho ya siku ya Vijana Duniani kwa UVCCM kwenye Uwanja wa Amani, lilihutubiwa na Makamu Mwenyekiti wa ccm Hussein Mwinyi
View attachment 3067189
View attachment 3067190
Hawa hapa nao ni Vijana wa ACT WAZALENDO wakiwa Chakechake Pemba
Mgeni Rasmi alikuwa Ismail Jussa
View attachment 3067194
Lakini linapokuja suala la BAVICHA, Polisi wanaleta chokochoko kwa kutumikishwa na Watawala mithili ya Vitendea kazi vyao
View attachment 3067197
Huku Kauli za Vitisho zikitolewa bila aibu yoyote ile
View attachment 3067199
Je kuna haja ya kulifutilia mbali jeshi la Polisi na kuliunda upya huku baadhi ya viongozi wa Jeshi hilo wakikamatwa na kufunguliwa Mashtaka?
Hofu ya uchaguzi, mbeleko la vyombo vya dola lkwa CCM inaanza kujionyesha.
Chadema tulikwambieni mapema kwamba msishabikie Isreal dhidi ya palestina lkn mnajiona mnaijua sana dunia. sasa Pambaneni na hali yenuSamia anadharau wabara sana. Kwao anaachia huku anaamuru wazuiwe.
You cant think beyoung Udini......You are paralysed my friendChadema tulikwambieni mapema kwamba msishabikie Isreal dhidi ya palestina lkn mnajiona mnaijua sana dunia. sasa Pambaneni na hali yenu
Jeshi la polisi lipo imara kukabiliana vilivyo na wahalifu wa aina zote, na halitasita kuchukua hatua kali dhidi ya yeyote anae hatarisha amani popote nchini 🐒Uvccm wangetovoa mbele ya Bavicha?
Wameona aibu......hata hivyo Bavicha bado wana lead 3 bila mpaka sasa.
Kuna udini hapo? au umeona neno Palestina ndio umeumia? wewe ndio mdiniYou cant think beyoung Udini......You are paralysed my friend
Kuna udini hapo? au umeona neno Palestina ndio umeumia? wewe ndio mdini
Jukwaa la Kimataifa Jf mnashabikia wenzenu, huku mnajifanya wanyongeKuna udini hapo? au umeona neno Palestina ndio umeumia? wewe ndio mdini
Wewe unajulikana.....sasa huoni kinachoendelea kama ni uonevu?Kuna udini hapo? au umeona neno Palestina ndio umeumia? wewe ndio mdini
Wapalestina wamefukuzwa Khan Yunus 🐼Jukwaa la Kimataifa Jf mnashabikia wenzenu, huku mnajifanya wanyonge
Tulikwambieni mapema kule jukwaa la Kimatifa Jf. mkanona dunia mnaijua sanaWewe unajulikana.....sasa huoni kinachoendelea kama ni uonevu?
Johnthebaptist wewe ni anti chadema, roho yako inacheka tu hapo kwa furahaWapalestina wamefukuzwa Khan Yunus 🐼
Sasa hapo kinachokufurahisha ni nini?Tulikwambieni mapema kule jukwaa la Kimatifa Jf. mkanona dunia mnaijua sana