Pre GE2025 Kwanini Jeshi la polisi liruhusu kongamano la vijana Duniani kwa Vijana wa CCM na ACT Wazalendo na kuzuia la Vijana wa CHADEMA?

Pre GE2025 Kwanini Jeshi la polisi liruhusu kongamano la vijana Duniani kwa Vijana wa CCM na ACT Wazalendo na kuzuia la Vijana wa CHADEMA?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
hayupo mtanzania ataathirika au kutatizika katika kazi na shughuli za kujipatia kipato,

jeshi la police liko imara kupambana na aina zote za uhalifu na kuhakikisha kwamba wananchi wanafanya shughuli zao kwa amani,

hao gen z wakatafute mahali pengine pa kuvuruga amani lakini sio Tanzania, hasa hii ambayo inaongozwa na comrade Dr. Samia Suluhu Hassan 🐒
🤣 Gen Z wa mbeya wako kama maharage yao, barabara nyeupe hata bodaboda hazipiti, wenzao mabomu ya machozi walikuwa wanavuta ka shisha
 
EEEeeeeenHEEEEEeeeh!
Ni kama umekaririshwa hayo maneno na yule polisi Haji? Sadam na Gadafi walikuwa na lugha hizo kali sana!
napozungumza na kutoa tahadhari juu ya uhalifu popote nchini huwa sina mzaha na wala sitanii...

hakuna kitu muhimu kama amani ndrugu zango, na kuilinda hiyo lazima kujitolea kukabiliana bila huruma na ujambazi kama huo hao wanaojiita gen z wanataka kufanya,

haikubaliki na wala haivumiliki tabia hiyo mbaya ya kudeka deka 🐒
 
napozungumza na kutoa tahadhari juu ya uhalifu popote nchini huwa sina mzaha na wala sitanii...

hakuna kitu muhimu kama amani ndrugu zango, na kuilinda hiyo lazima kujitolea kukabiliana bila huruma na ujambazi kama huo hao wanaojiita gen z wanataka kufanya,

haikubaliki na wala haivumiliki tabia hiyo mbaya ya kudeka deka 🐒
Wewe ndiye mdomo wa yule kilaza Masabuni? Najuwa upo karibu naye. Mweleze hana kitu kichwani. Historia yake inajulikana vizuri.
 
wana mbeya mumetuangusha sana, washawasha lina talii tu mtaani bila kazi, haya mabomu mwishowe yata expire, halafu yameshakuwa old model,

Lissu na mnyika wamekuwa wadogo imebidi wapewe escort ya polisi kutoka ofisini
 
🤣 Gen Z wa mbeya wako kama maharage yao, barabara nyeupe hata bodaboda hazipiti, wenzao mabomu ya machozi walikuwa wanavuta ka shisha
wanatoka nduki,

halafu wanajificha na kuwachungulia polisi wakiwa wamejibanza ndani ya vibanda umiza vya kuonyesha mechi, wakiulizwa wanafanya nini, eti wanasema wanacheki movie🤣

uoga ni umaskini wa kutupwa aise...
 
wanatoka nduki,

halafu wanajificha na kuwachungulia polisi wakiwa wamejibanza ndani ya vibanda umiza vya kuonyesha mechi, wakiulizwa wanafanya nini, eti wanasema wanacheki movie🤣

uoga ni umaskini wa kutupwa aise...
Unazungumzia "uoga"?
Ngoja mitutu ya bunduki itakapo ondolewa mikononi mwenu, hapo ndipo utakapojuwa uoga ni kitu gani.
 
Wewe ndiye mdomo wa yule kilaza Masabuni? Najuwa upo karibu naye. Mweleze hana kitu kichwani. Historia yake inajulikana vizuri.
actually ni kama historia yako tu ya mihemko, ghadhabu na kuyaporomosha mazito mazito tena kwa mpangilio umeyapanga kichwani 🤣
 
actually ni kama historia yako tu ya mihemko, ghadhabu na kuyaporomosha mazito mazito tena kwa mpangilio umeyapanga kichwani 🤣
Unaweza kuiita chochote unacho penda, lakini fahamu kwa watu wa aina yako, sina simile nao kabisa. Mnakuja hapa ukumbini kwa dharau kubwa, kuwachokonoa tu waTanzania wanaotaka haki zao; halafu unajiona wewe ni mtu mwenye akili na heshima?
 
Unazungumzia "uoga"?
Ngoja mitutu ya bunduki itakapo ondolewa mikononi mwenu, hapo ndipo utakapojuwa uoga ni kitu gani.
mie siwezi kungoja wala kusubiri ndoto za alinacha,

nitaendelea daima kuwaongoza, kuwatumikia na kuwatetea wananchi kwa weledi mkubwa dhidi ya manyanyaso, udanganyifu au uonevu kutoka kwa wahalifu kama hao gen z wenzio huko mbeya 🐒

hakuna muhalifu atafua dafu mbele ya polisi dhidi ya amani ya waTanzania 🐒
 
Unazungumzia "uoga"?
Ngoja mitutu ya bunduki itakapo ondolewa mikononi mwenu, hapo ndipo utakapojuwa uoga ni kitu gani.
Kha Sugu ndo amekuwa wakukodi macoaster kutoka Dar kweli, kashindwa kujaza uwanja? kaenda kuomba msaada makao makuu, sugu wa wakati ule alikuwa anafunga mtaa kwa singeli, leo wanabeba watu na macosta kwenda mbeya,

Sugu akubali kila nyakati na zama zake, lissu nayeye sijui anajiona bado kijana?
 
mie siwezi kungoja wala kusubiri ndoto za alinacha,

nitaendelea daima kuwaongoza, kuwatumikia na kuwatetea wananchi kwa weledi mkubwa dhidi ya manyanyaso, udanganyifu au uonevu kutoka kwa wahalifu kama hao gen z wenzio huko mbeya 🐒

hakuna muhalifu atafua dafu mbele ya polisi dhidi ya amani ya waTanzania 🐒
Nenda kawatumikie wapumbavub kama wewe, siyo waTanzania.
 
Kha Sugu ndo amekuwa wakukodi macoaster kutoka Dar kweli, kashindwa kujaza uwanja? kaenda kuomba msaada makao makuu, sugu wa wakati ule alikuwa anafunga mtaa kwa singeli, leo wanabeba watu na macosta kwenda mbeya,

Sugu akubali kila nyakati na zama zake, lissu nayeye sijui anajiona bado kijana?
Kama unafanya 'booking', leo hapana, ngoja nimalizane na hiki kiazi kinachokutangulia wewe.
 
Unaweza kuiita chochote unacho penda, lakini fahamu kwa watu wa aina yako, sina simile nao kabisa. Mnakuja hapa ukumbini kwa dharau kubwa, kuwachokonoa tu waTanzania wanaotaka haki zao; halafu unajiona wewe ni mtu mwenye akili na heshima?
binafsi siwezi babaika na smile yako au ya mwingine,
jitahidi zangu zote ni kuhakikisha mwanainchi amesmile, yale muhimu anayapata kwa uhakika bila mbambamba yoyote...


daima niko chonjo, nimejipanga na niko rada mbaya sana na hawa wananchi wananipenda sana aise sijui kwanini na wakat mimi naona nafanya mambo kawaida tu 🐒
 
binafsi siwezi babaika na smile yako au ya mwingine,
jitahidi zangu zote ni kuhakikisha mwanainchi amesmile, yale muhimu anayapata kwa uhakika bila mbambamba yoyote...


daima niko chonjo, nimejipanga na niko rada mbaya sana na hawa wananchi wananipenda sana aise sijui kwanini na wakat mimi naona nafanya mambo kawaida tu 🐒
EEEeeeeenHEEEEEEeeee!
Kama siyo bangi hizi zinazo kuharibu akili, itakuwa ni kitu gani kingine isipokuwa uchizi!
 
Nenda kawatumikie wapumbavub kama wewe, siyo waTanzania.
mliwadhihaki na kuwatukana wananchi vivyo hivyo tena kwa sauti ya juu sana,

aise!
hawa wananchi huwa hawasahau bana dah, jimboni kwangu kwa mfano kuna vituo hadi uwakala watu hawataki kusikia hiyo chama yenu 🤣

kwahivyo endeleeni kuwatukana, kuwadharau, kuwadhihaki na kuwaita wananchi majina yote mabaya, hawana shida, wanaskia na wanayapokea but wanajua pa kuwanyoosha 🤣
 
mliwadhihaki na kuwatukana wananchi vivyo hivyo tena kwa sauti ya juu sana,

aise!
hawa wananchi huwa hawasahau bana dah, jimboni kwangu kwa mfano kuna vituo hadi uwakala watu hawataki kusikia hiyo chama yenu 🤣

kwahivyo endeleeni kuwatukana, kuwadharau, kuwadhihaki na kuwaita wananchi majina yote mabaya, hawana shida, wanaskia na wanayapokea but wanajua pa kuwanyoosha 🤣
Hadaa zote za mwanzo zimekwisha julikana. Hakuna tena namna ya kuwadanganya waTanzania. Bunduki zetu tutazichukua na kuzielekeza kwenu mkifanya kiburi.
 
Back
Top Bottom