Anajifanya wa kishua, wakati nyumba yenyewe ya mkopo[emoji23][emoji23][emoji23]Kumbe wewe ndiye yule jamaa mwenye kipara uliyehamia apa mtaani, nakukumbusha salimia watu mkuu acha madherau.
halafu mke wa jamaa anatoka isanga huko, noDaah ni kweli Mkuu sema umeniponda sana mazee ngoja nibadilishe ili karatasi la chumbani naona ndio linakukera sana...kujenga uzeeni ni shida sana ni sawa na kununua gari uzeeni mkuu watoto wanapewa adhabu kwa sababu ya gari wanatamani lisingenunuliwa...
na mimi nimehisi huyu bwana ni mhaya , au mzaramo na lazima ni mwajiriwa wa serikali maana ndio wenye mawazo kama hayaWewe ni muhaya?
jamaa kwa hiyo ukafanya bonge la sherehe ukiambiwa taja mafanikio yako mzee utakuwa unasema mimi namiliki nyumba kazaa hapa mjini , hasa ikitokea umejenga kiwanda utachinja hadi ngombe na kuangusha bonge la party , ah nyie Tanzania nchi ngumu hiiHuijui tu furaha ya kumiliki NYUMBA yako kijana narudia tena kumiliki NYUMBA yako sijui unaelewa ww
halafu mke wa jamaa anatoka isanga huko, no
na mimi nimehisi huyu bwana ni mhaya , au mzaramo na lazima ni mwajiriwa wa serikali maana ndio wenye mawazo kama haya
😅😅😅😅kwamba kunamuda zinapoteaga.hahahaha
Swali zuri sanaWewe ulishaingia mageti mangapi yaliyoachwa wazi kwenye sherehe za watu usiowajua ?
Una tatizo kichwani. Kwahio wewe ukikuta sehemu geti liko wazi unaingia tu?Geti niliacha wazi wao wangekuja tu
Na ww nae wale wale kiburi hakiwaachi salamaKuna mtaa niliwahi amia, sasa kuna barabara mbili za kuingia home, moja inapita kati kati ya nyumba na ndo nikawa napita, siku ya tatu nikakuta mashimo marefu yamechimbwa tena usawa wa matairi [emoji3], nilicheka tu nikapiga rivasi nikapita kwingine.
Kwahiyo mzee kama huna altenative ya kufika kwako kazi unayo, kuna siku wataweka magogo hiyo njia. Waswahili watu wa ajabu sana.
Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
Kati ya mgeni na mwenyeji nani ajitamhulishe Kwa mwingine? Haijalishi kipato lakini Kuna protocol za kujitambulisha Kwa wenyejiMimi mgeni huu mtaa sipo kipekee
Majirani wanavijicho sana hao kawamalizie kwa mwapo.. chukua na maji kabisa uwakomeshe vizuri..🤣Hipo hivi,
Jumapili hii niliandaa tafrija nikaalika ndugu na marafiki zangu wa karibu waje kujumuika na mimi kwenye hii nyumba yangu mpya ambayo hipo nje kidogo ya mji wakati tafrija hii ikiendelea nikaona isiwe tabu kufungua mlango ili yeyote atakayetaka kujumuika na sisi basi nae akaribie lakini kwa mshangao hakuna aliyekuja kabisa.
Leo narudi zangu mtaani jioni baada ya mizunguko ya hapa na pale nakuta njiani kuna shimo kubwa ambalo kwa haraka nikatambua kuwa kuna bomba limekatika kwahiyo njia ya kuingilia kwangu haipitiki, hivyo nimelazimika kupaki gari kwenye maegesho ya karibu na kunifanya nitembee kwa mguu mpaka kwangu.
Nimeenda kwa balozi wa nyumba kumi kutoa malalamiko yangu juu ya kufungwa kwa barabara bila ya Mimi kama mkazi wa mtaa huu kupewa taarifa yoyote ile, balozi nae kanipa jibu kuwa atalishughulikia hili suala mpaka saa hizi yamepita masaa matatu hakuna feedback.
Umekuwa msiba?Nikafungua geti waje😁
Usinipe taarifa nivamie tu🤔
Wewe ndo unashida sehemu haupo sawa.
Ukikuta geti liko wazi kwa jirani kuna watu wanakula wewe utaingia tu kujumuika?Majirani huoneana wivu sana
HapanaUkikuta geti liko wazi kwa jirani kuna watu wanakula wewe utaingia tu kujumuika?