Mzee makoti
JF-Expert Member
- Jul 27, 2016
- 3,482
- 4,673
Watu hawayajui hayo,wanabwabwaja tuNadhani hata lile bomba la mafuta watu walilojiunganishia lilikuwa la Kalemani na genge la sukuma gang. Ndio maana habari zake zikawa siri maana taarifa ingewekwa wazi ingeleta picha mbaya.
Mama Atake Asitake 15 tenaMama wala hatogombea 2025 ila anataka kuweka mtandao wake
Mama alishasema mumpigie kura au msimpigie... Rais atatangazwa yeye...Sisi kanda ya ziwa tunachukulia hii issue kama discrimination against watu wa lake zone na off course January hawezi kuwa bora kuliko Dr. Medard. Tutakutana 2025. Huo uHangaya kama mnadhani ni wa kiukweli you will get to know that you were conned during the next elkection. Matogoro was the best minister ever. Unampigia hakufahamu na anapokea simu na kuifantia kazi hapo hapo. He was so good na amefanya kazi kwa nguvu zake zote. Tukutane 2025.
Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
Naunga mkono hoja
Tanzania haijafikia hatua ya kuogopa kufanya maamuzi yenye maslahi ya Taifa kwa kuhofia ukanda au ukabila. Nyie watu wa kanda hiyo for sure mlikuwa mnaenda kuigawa nchi vipande vipande. Kwanini nyie mjione ni kanda isiyoguswa? No wonder mlianza kuibagua kanda ya kaskazini. Tambueni kwamba Rais wa Tanzania hataogopa kufanya maamuzi yenye maslahi ya Taifa kwa hofu ya kidini, ukanda, ukabila au jinsia.Watu makini wanaweza kutoa angalizo kwa Madam President kuhusu utenguzi wa mawaziri vipenzi wa hayati JPM. Ni vyema angewapangia majukumu mengine kabla kuanza kuibuka wingi wa manung'uniko kutoka kanda ile pendwa kwa nyakati hizo.
Mbali ya Chato, maeneo mengi ya kanda ya ziwa yalikuwa ndiyo kipaumbele cha JPM, jambo hilo lilimfanya aonekane shujaa wao. Alichagua mawaziri hawa kimkakati ili waweze kuwa karibu na watu wa kanda hii ili kuwaletea maendeleo.
Kanda hii ilianza kusikia viongozi wao wakiitwa "Sukuma Gang" na kushutumiwa vikali hata pale walipofanya makosa ya kawaida. Chochote kile walichokifanya kiwe chema ama kibaya, kikaanza kuonekana kama wanamkwamisha Mama kuelekea 2025.
Angalizo sasa ni kisije kutokea kile ambacho wengi hawatarajii. Ni kuhusu "sympathy" ya wananchi wa kanda hii juu ya viongozi wao kuanza kutengwa muda mfupi tu mara baada kifo cha JPM. Kanda hii inaweza kugeuka kuwa ndiyo ngome kuu na imara ya upinzani, na mwanzo wa kuelekea katika hitaji la siku nyingi la wapenda mabadiliko la kutaka kupigilia msumari wa mwisho katika jeneza la marehemu mtarajiwa CCM.
Mambo magumu Sana haya,,,huenda ikawa japo 2025 itatoa majibuInajulikana Kalemani ndie mbunge wa Chato kipenzi cha Hayati na mrithi wa jimbo lake. Pia inajulikana Chamriho ametokea ngazi za juu huko Tanroads ambayo ndio iliyofanikisha ndoto ya Hayati kutwaa urais 2015.
Ukisikia na hotuba ya leo ya mama na ukiangalia walioondolewa hawakuwa wabaya kiutendaji ndio walioshika wizara kubwa na zinazofanya vizuri na kusimamia miradi mikubwa na ziko hadi vijijini kwenye wananchi.
Je, kulikuwa na harufu ya mtandao wa kumkwamisha mama katika safari yake kuelekea 2025?
Muda utaongea
Matajiri wale mkuu,udiwani tuwazie sisiMwanachato alijichanganya sana kufa halafu marafiki zake karibu wote nao wamekufa
Yaani kiuhalisia sijui kama kuna mtoto wake atakaepatiwa nafasi hata ya udiwani
Ndio maana yake, na walitaka kupandisha tena wakasimamishwa na kutumbuliwayaani alipandisha bila ikulu kubariki???
Ni kuvunja mtandao maana sidhani kama kunashida wote walikuwa na tarizo hiyo hapanaInajulikana Kalemani ndie mbunge wa Chato kipenzi cha Hayati na mrithi wa jimbo lake. Pia inajulikana Chamriho ametokea ngazi za juu huko Tanroads ambayo ndio iliyofanikisha ndoto ya Hayati kutwaa urais 2015.
Ukisikia na hotuba ya leo ya mama na ukiangalia walioondolewa hawakuwa wabaya kiutendaji ndio walioshika wizara kubwa na zinazofanya vizuri na kusimamia miradi mikubwa na ziko hadi vijijini kwenye wananchi.
Je, kulikuwa na harufu ya mtandao wa kumkwamisha mama katika safari yake kuelekea 2025?
Muda utaongea
Hazikufungwa za akina Kalamagi,Tibajiuka,Chenge.ufunge account za Kalemani kaiba Nini?Akaunti za kalemani zifungwe
Dai katiba acheni majunguInajulikana Kalemani ndie mbunge wa Chato kipenzi cha Hayati na mrithi wa jimbo lake. Pia inajulikana Chamriho ametokea ngazi za juu huko Tanroads ambayo ndio iliyofanikisha ndoto ya Hayati kutwaa urais 2015.
Ukisikia na hotuba ya leo ya mama na ukiangalia walioondolewa hawakuwa wabaya kiutendaji ndio walioshika wizara kubwa na zinazofanya vizuri na kusimamia miradi mikubwa na ziko hadi vijijini kwenye wananchi.
Je, kulikuwa na harufu ya mtandao wa kumkwamisha mama katika safari yake kuelekea 2025?
Muda utaongea
Huyo wacha apotee kabisaMwanachato alijichanganya sana kufa halafu marafiki zake karibu wote nao wamekufa
Yaani kiuhalisia sijui kama kuna mtoto wake atakaepatiwa nafasi hata ya udiwani
Tuliwaambia Simba akiwa anacheka na wewe habadiliki kuwa sungura. Kuweni makini.... Na washaambiwa hii ni comma sio full stopTulishawaonya hapa mara nyingi. Acheni dharau kwa Mama.
Bado wengine.
Zilipofungwa za mbowe na wafanyabiashara ulishangiliaHazikufungwa za akina Kalamagi,Tibajiuka,Chenge.ufunge account za Kalemani kaiba Nini?
Chuki na fitina zenu hazitawafikisha popote.
Hapana shaka hakuna utawala utadumu milele.
Si hii inatosha kuonesha ilivyo kuwa sio rahisi au?Kivipi mkuu mbona Bashiru Ally na mpayukaji Cyprian Musiba waliwahi kumtuhumu jasusi mbobezi Membe kuwa anataka kumkwamisha bwana hayati mwanachato
Sasa mbona Bashiru alikuwa analialiaSi hii inatosha kuonesha ilivyo kuwa sio rahisi au?