REJESHO HURU
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 4,664
- 9,929
Tunaomba tujue kwani tasisi zote za kibenki ukingia kwenye mfumo unakuta application number ya mkopo ambayo inakuwezesha kusettle deni lako lakini hawa maboto uhuni gani ulitumiaka mpaka hazina wakawakubalia na kuwa N/A
Kwanini aisee hii inchi imechezewa sana tunaomba utumishi muwape namba hao jamaa watu wamalizane nao kwani walikuwa wabishi sana kusettle madeni kumbe ule ujanja wao walikuwa na sababu kujua wana janja janja uko hazina sasa mambo wazi mfumo umewaumbua kwani huwezi kufanya repayment
Kwanini aisee hii inchi imechezewa sana tunaomba utumishi muwape namba hao jamaa watu wamalizane nao kwani walikuwa wabishi sana kusettle madeni kumbe ule ujanja wao walikuwa na sababu kujua wana janja janja uko hazina sasa mambo wazi mfumo umewaumbua kwani huwezi kufanya repayment