Kwanini kampuni ya Maboto haina Application Number ya mkopo katika mfumo wa ESS

Kwanini kampuni ya Maboto haina Application Number ya mkopo katika mfumo wa ESS

Mkuu mm sio mjinga kama unavyodhani, nilikopa tsh 17,000,000 NMB, baada ya salary kucheck natakiwa kulipa tsh 25,330,000 sasa hiyo ni %ngapi? hata hizo taasisi tunazoziamini zina riba kubwa tu.
Kuchukua mkopo kwa muda mrefu au mfupi ni kulingana na mahitaji yako maana muda mfupi mkwanja kidogo riba ndogo, muda mrefu mkwanja mrefu riba kubwa hapo kazi kwako.
Iko sawa kabisa , wewe ndo ulikurupuka hukutaka kufuatilia hiyo 17% ni kwa mfumo upi.Chukua mkataba soma vizuri uuelewe.
Loan calculator inayotumika na bank iko kama hivi
Screenshot_20240405-090937_Samsung%20Internet.jpg
 
Tunaomba tujue kwani tasisi zote za kibenki ukingia kwenye mfumo unakuta application number ya mkopo ambayo inakuwezesha kusettle deni lako lakini hawa maboto uhuni gani ulitumiaka mpaka hazina wakawakubalia na kuwa N/A

Kwanini aisee hii inchi imechezewa sana tunaomba utumishi muwape namba hao jamaa watu wamalizane nao kwani walikuwa wabishi sana kusettle madeni kumbe ule ujanja wao walikuwa na sababu kujua wana janja janja uko hazina sasa mambo wazi mfumo umewaumbua kwani huwezi kufanya repayment
hiyo maboto ni ya yule mbunge wa ccm kutoka kanda maalum
 
Hivi watumishi wa umma huwa hamsomi terms za mikopo mkazielewa? Mbona wafanyabiashara wengi ambao sio watumishi hawalalamiki? Au huwa mkiambiwa na hizo MICROFINANCE kuwa riba ni 4% kwa mwezi huwa hamjiulizi ni 4% ya Tsh ngapi? Mimi naona mpigwe tu hadi akili ziwakae sawa.
yaani watumishi wengi zero kabisa baadhi yao kwenye ishu ya mkopo wanazidiwa na lasaba wa mtaani wafanyabiashara kwenye suala la riba
 
Angalia nilichoandika ina maana mpaka hazina wanakubali maboto watoe mikopo nini maana yake wamefuata sheria zote za hudumaa za mikopo sasa unapoona vitu tofauti ndio maana tuna hoji usione tukuruka kuhusu ili andiko tumeandika kwa sababu mbona vitu tofauti na sheria za mikopo so relax
Na nyinyi punguzeni njaa na ujinga! Kila siku tunawashauri humu jukwaani msikope kwenye taasisi za kifedha kama hao Maboto, Finca, Bayport, Platinum, Letshego nani sijui, na takataka nyingine!! Na badala yake mkakope benki kama NMB, CRDB, NBC, TCB, nk Ila hamkomi tu!!


Hivi nyinyi ni watu wa aina gani? Mtaibiwa na kuumizwa mpaka lini? Kwa nini mnakuwa wepesi hivi kushawishiwa na mwisho wa siku kuishia kutapeliwa?
 
Na nyinyi punguzeni njaa na ujinga! Kila siku tunawashauri humu jukwaani msikope kwenye taasisi za kifedha kama hao Maboto, Finca, Bayport, Platinum, Letshego nani sijui, na takataka nyingine!! Na badala yake mkakope benki kama NMB, CRDB, NBC, TCB, nk Ila hamkomi tu!!


Hivi nyinyi ni watu wa aina gani? Mtaibiwa na kuumizwa mpaka lini? Kwa nini mnakuwa wepesi hivi kushawishiwa na mwisho wa siku kuishia kutapeliwa?
Shida watanzania huwa hatuna desturi ya kufanya tafiti huwa tunaongea kwa hisia tu.
Huko bank kuna riba kubwa kuliko maboto na bayport! umewahi kukopa au unasimuliwa tu! fanya reseach halafu urudi tena hapa
 
Shida watanzania huwa hatuna desturi ya kufanya tafiti huwa tunaongea kwa hisia tu.
Huko bank kuna riba kubwa kuliko maboto na bayport! umewahi kukopa au unasimuliwa tu! fanya reseach halafu urudi tena hapa
Mnamuona huyu!! Eti Maboto na Bayport wana riba ndogo kuliko benki kama NMB, CRDB, TCB, NBC, nk!! Yaani taasisi inayotoza riba ya 4%-30% kwa mwezi ina unafuu zaidi kuliko benki inayotoza riba ya 16% kwa mwaka!!

Hata kama sijasomea masuala ya uchumi! Hapa huwezi kunidanganya.
 
Kwani huyo maboto si yupo ajitokeze ajitete au hata chawa wake aje kumtetea huku.
 
Mnamuona huyu!! Eti Maboto na Bayport wana riba ndogo kuliko benki kama NMB, CRDB, TCB, NBC, nk!! Yaani taasisi inayotoza riba ya 4%-30% kwa mwezi ina unafuu zaidi kuliko benki inayotoza riba ya 16% kwa mwaka!!

Hata kama sijasomea masuala ya uchumi! Hapa huwezi kunidanganya.
Umeshawahi kukopa au unasimuliwa! Mkuu achana na hizo lugha za kibiashara ongea uhalisia wa mambo!
 
Bila shaka mtoa mada ni mwalim wa msingi au sekondari
 
Na nyinyi punguzeni njaa na ujinga! Kila siku tunawashauri humu jukwaani msikope kwenye taasisi za kifedha kama hao Maboto, Finca, Bayport, Platinum, Letshego nani sijui, na takataka nyingine!! Na badala yake mkakope benki kama NMB, CRDB, NBC, TCB, nk Ila hamkomi tu!!


Hivi nyinyi ni watu wa aina gani? Mtaibiwa na kuumizwa mpaka lini? Kwa nini mnakuwa wepesi hivi kushawishiwa na mwisho wa siku kuishia kutapeliwa?
Elewa mada mzee
 
Shida watanzania huwa hatuna desturi ya kufanya tafiti huwa tunaongea kwa hisia tu.
Huko bank kuna riba kubwa kuliko maboto na bayport! umewahi kukopa au unasimuliwa tu! fanya reseach halafu urudi tena hapa
Duh! Mwanangu umeandika ukiwa na akili timamu kabisa?
 
Kwani huyo maboto si yupo ajitokeze ajitete au hata chawa wake aje kumtetea huku.
Uyo maboto anajua sasa tumia hata JF pengine waje chawa wake jamaa ni mbunge mwenye sifa ya kujua kusoma na kuandika
 
Back
Top Bottom