REJESHO HURU
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 4,664
- 9,929
- Thread starter
- #21
Huenda ni bank ya wazirya mbunge wa bunda
Ni tasisi ya mbuge wa bundaHuenda ni bank ya waziri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huenda ni bank ya wazirya mbunge wa bunda
Ni tasisi ya mbuge wa bundaHuenda ni bank ya waziri
Kuna jambo la kuwa makini naloNi tasisi ya mbuge wa bunda
Bora maboto kuliko bank, maboto ni 40% na inakua hivyo kweli bank wanakuambia 17% deni utakalokutana nalo kwenye salary slip hutaamin macho yako!🔹 Kama hajajiunga saccos yoyote na haukopi saccos
🔹 Kama hata milango ya Benki zinazojulikana huzioni
🔵 Unajipeleka kwenye kitu kilichoandikwa " MICROFINANCE" ambazo riba zao Wana kufanganya kwa kukuambia ya mwezi badala ya mwaka.na tena unachukua huko mkopo wa miaka 9 na unafanya top up huko huko
🚮 Wewe huna miaka 5 kitu kiitwacho " magonjwa ya afya ya akili " kinakuhusu
Bado sio digital Sasa na umuhim was eloan. Haupo!!benki zote ziweke menu zao mle!tupate mikopi bila kwenda tawini!Kiongozi mfumo unatambua tasisi ulizoomba mkopo tu kama ujaomba mkopo hiyo tasisis tembelea hiyo tasisi tambua mahitaji yao ukielewa watakupa taratibu zao baada ya hapo details za bank husika utaziona endapo utachukua mkopo kwao
Mbona wameweka mkuuMimi kinacho nisikitisha kwenye mfumo was ess hakuna uainishaji wa benki zote Ili mteja achague na kujaza form Moja Kwa moja zaidi ya top up kwa wale tayari waliokopa tayari kwenye mabenki husika!!
Ess kwenye e loan kungekuwa na Benki kabisa kama nmb,crdb n k moja kwa moja unachagua mwenyewe na sio kuweka TU historian ya mikopo na topup tu!wangeweka hata BOT kabisa mtu anachagua anataka akope Benki gani kuliko kubandika mikopo Ile ile TU aliyokopa mtu!!
Mi sioni menu zao mbona!!?zaidi ya top up ya mikopo ya zamani na repayment tu pale kwenye Eloan!!Mbona wameweka mkuu
Ile ni kampuni ya kihuni. Haina leseni ya BOT, ndiyo maana hawauzi madeni. Mie wamenikera miaka miwili naomba balance wanarukaruka tu. Tena makao makuu Yao si pale Mwanza nadhani nyegezi. Wahuni tu. Yule anayejifanya meneja wao ukimpigia simu hata Sasa hivi anasema ametoka kikazi Yuko Arusha na kumbe Yuko buhongwa tu. Wenye mikopo Maboto kazi ipo.Jina tu linasound ukurutumbi.
Duh! Ndugu mbona wewe ni mjinga sana? Mkopo wenye riba 40% unaurudisha kwa kufanya biashara gani? Halafu haujui kuwa kama ukilipa mkopo kwa muda mrefu riba inakuwa kubwa? NMB ina riba kuliko hizo kampuni uchwara. Tatizo nyie watumishi mnachukua mikopo ya kulipa kwa miaka hata zaidi ya mitano.Bora maboto kuliko bank, maboto ni 40% na inakua hivyo kweli bank wanakuambia 17% deni utakalokutana nalo kwenye salary slip hutaamin macho yako!
Et unajipeleka kwenye kitu kinaitwa microfinance, unajua kirefu cha bank ya NMB! Kuwa makini acha kukariri au labda we ndio unasumbuliwa na afya ya akili
Hizo takataka zote, lazima uwe na shida kwenye afya ya akili ndio ukope huko.Umesahau MABENA
Nadhani mfumo unaitaji afisa kwa awamu ya kwanza details zako ziingizwe na afisa utumishi baada ya hapo ndio unaweza jihudumia mfano top up na mambo ya repayment,, pamoja na hayo tuipongeze serikali kwani imeondoa umimi wa kubembelezana kuhusu repayment na kuchomekeana riba kubwa nje ya utaratibu wa B.O.TBado sio digital Sasa na umuhim was eloan. Haupo!!benki zote ziweke menu zao mle!tupate mikopi bila kwenda tawini!
Kiongozi hata hizo tasisi unazoziamini milikuwa mnapigwa shukuru mfumo wa ess unaenda ondoa hizo janja za mafisa mikopo kuna pesa kibao mlikuwa mnawachia wao wanakula mgao na mafisa utumishiHizo takataka zote, lazima uwe na shida kwenye afya ya akili ndio ukope huko.
Kiongozi walikuwa hawauzi kwa sababu ya hii janja ambayo tumeiona kwenye mfumo maaana mfumo wa ess kwa sasa unakupa option ya kusettle deni na kujua kiasi unachotakiwa kulipa sasa maboto wao hawana application namba maana yake nini kuna uhuni ulifanyika hazina wakawapokea na ndio maana ukiwafuata maboto mettle deni wanazingua kwa sababu wakisema wakube deni halisi ukalipa mfumo utagoma kufuta deni lote kwa sababu mfumo hautambui deni halisi na deni la riba na ndio maana ukiwafuta mfute deni wanaitaji ulipe mpaka deni la riba ya miaka mitatu kwanini usajiri wao hazina wakihuniIle ni kampuni ya kihuni. Haina leseni ya BOT, ndiyo maana hawauzi madeni. Mie wamenikera miaka miwili naomba balance wanarukaruka tu. Tena makao makuu Yao si pale Mwanza nadhani nyegezi. Wahuni tu. Yule anayejifanya meneja wao ukimpigia simu hata Sasa hivi anasema ametoka kikazi Yuko Arusha na kumbe Yuko buhongwa tu. Wenye mikopo Maboto kazi ipo.
Kwenye mfumo wa Ess siwaoni Lestshego,Bay port,mabotoKiongozi hata hizo tasisi unazoziamini milikuwa mnapigwa shukuru mfumo wa ess unaenda ondoa hizo janja za mafisa mikopo kuna pesa kibao mlikuwa mnawachia wao wanakula mgao na mafisa utumishi
Kama huna mkopo kwao huwezi kuwaona mfumo unakuonyesha tasisi ambazo una loan kwaoKwenye mfumo wa Ess siwaoni Lestshego,Bay port,maboto
Hivi mabena nae ni countrywide?Umesahau MABENA
Mkuu mm sio mjinga kama unavyodhani, nilikopa tsh 17,000,000 NMB, baada ya salary kucheck natakiwa kulipa tsh 25,330,000 sasa hiyo ni %ngapi? hata hizo taasisi tunazoziamini zina riba kubwa tu.Duh! Ndugu mbona wewe ni mjinga sana? Mkopo wenye riba 40% unaurudisha kwa kufanya biashara gani? Halafu haujui kuwa kama ukilipa mkopo kwa muda mrefu riba inakuwa kubwa? NMB ina riba kuliko hizo kampuni uchwara. Tatizo nyie watumishi mnachukua mikopo ya kulipa kwa miaka hata zaidi ya mitano.
Ilikua kwa muda gani?Mkuu mm sio mjinga kama unavyodhani, nilikopa tsh 17,000,000 NMB, baada ya salary kucheck natakiwa kulipa tsh 25,330,000 sasa hiyo ni %ngapi? hata hizo taasisi tunazoziamini zina riba kubwa tu.
Kuchukua mkopo kwa muda mrefu au mfupi ni kulingana na mahitaji yako maana muda mfupi mkwanja kidogo riba ndogo, muda mrefu mkwanja mrefu riba kubwa hapo kazi kwako.