Kwanini Kanisa Katoliki linahamasisha umaskini na halitaki kabisa watu waponywe na maradhi? Au wanafaidika nao

Kwanini Kanisa Katoliki linahamasisha umaskini na halitaki kabisa watu waponywe na maradhi? Au wanafaidika nao

deblabant

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2022
Posts
2,650
Reaction score
4,065
Ukisikiliza mahubili ya maaskofu wa kanisa katoliki au mapadre, wanapiga vita sana wachungaji wanaowaombea watu kufanikiw kifedha au maisha kiujumla. Kwa sasa maaskofu wote wa katoliki wamemlia kolabo mwamposa. Mahubili yote ni yeye.

Wanaponda sana kwamba kwa nini anawaombea watu wafanikiwe. Na watu wanazidi kumiminika sana kwake which means wanaponywa na wanafaidika.

Ushauri wangu kwa maaskofu au mapadre, hubirini injili ya kweli na watu watawafuata msitumie nguvu mtaaibika
 
Ni falsafa walizotoa kwa philosophers wakigiliki ambao kuna kipindi walikuwa na influence kubwa kwa mapapa kuliko Biblia.

Yesu alifanyika masikini ili sisi tulio masikini tupate kuwa matajiri. Huu mstari hawawezi kuusisitiza.
 
Ukisikiliza mahubili ya maaskofu wa kanisa katoliki au mapadre, wanapiga vita sana wachungaji wanaowaombea watu kufanikiw kifedha au maisha kiujumla. Kwa sasa maaskofu wote wa katoliki wamemlia kolabo mwamposa. Mahubili yote ni yeye.

Wanaponda sana kwamba kwa nini anawaombea watu wafanikiwe. Na watu wanazidi kumiminika sana kwake which means wanaponywa na wanafaidika.

Ushauri wangu kwa maaskofu au mapadre, hubirini injili ya kweli na watu watawafuata msitumie nguvu mtaaibika
Jamaa anachukua kondoo za watu lazima wamjie juu.
 
Ukisikiliza mahubili ya maaskofu wa kanisa katoliki au mapadre, wanapiga vita sana wachungaji wanaowaombea watu kufanikiw kifedha au maisha kiujumla. Kwa sasa maaskofu wote wa katoliki wamemlia kolabo mwamposa. Mahubili yote ni yeye.

Wanaponda sana kwamba kwa nini anawaombea watu wafanikiwe. Na watu wanazidi kumiminika sana kwake which means wanaponywa na wanafaidika.

Ushauri wangu kwa maaskofu au mapadre, hubirini injili ya kweli na watu watawafuata msitumie nguvu mtaaibika
Kama Yesu alisema"nenda gawa ulicho nacho kwa masikini na unifuate"Kama alisema ni vigumu kwa tajiri kuuona ufalme wa mbingu kama ilivyo kamba ya kufungia nanga ya meli kupita kwenye tundu la sindano,Kama alisema watatoa pepo kwa jina langu lakini si wangu,Yesu hakuwa tajiri lakini kina ni Matajiri wa kutisha,Kama zile zile tabia za Waganga wa asili ndizo tunaziona kwa Manabii,basi Kila mmoja wetu achwe na kwa kuwa mauti ni lazima na hukumu ni lazima acha pumba na mchele utaonekana wakati huo
 
Kristu alikuja kueneza habari njema ya wokovu, na akatupa mfano halisi kupitia maisha yake na msalaba. Wokovu wetu upo msalabani.

Shetani alimjaribu Yesu kupitia utajiri. Kuna uhusiano mkubwa kati ya utajiri na shetani upande mmoja; na ufukara, msalaba na Kristu upande mwingine.

NB: Wakatoliki hatujawahi kuhangaika na dini ama dhehebu la mtu. Tupo busy kumfuasa Kristu.
 
Akili tope za walokole

Ukiombewa na mwamposa ni sawa na utakuwa tajiri,
ila ukiombewa na Mama bikira Maria ni dhambi mwombezi wetu ni Yesu tu

Walokole hawana akili kabisa aheri ya waislamu
 
Shida nyie mnataka wakatoliki waendelee na trend zenu za kihuni
Kitu ambacho hujui katika ukatoliki kila kitu kinatiliwa maanani kwa uzito wake na utaratibu wake. Katika kanisa katoliki Kuna warsha, na semina na makongamano mbalimbali yanayohusu malezi, uchumi, huduma za kufunguliwa kiroho, makusanyiko ya watoto, vijana, akina mama, wababa, wazee, wanandoa, waseja, wajasiriamali na kadhalika

Kwahiyo kanisa katoliki linapokuambia njoo upate mafanikio sio kwa maombi tu Bali maombi na njia za kufuata kufikia hayo mafanikio. Na katika hizo warsha ambazo husimamiwa na makasisi au wasomi huduma za maombezi ni muhimu ambazo huambatana na huduma kamili za maisha ya watu na sio maombi tupu ya mdomo ndiyo maana tunaona haya makanisa ya mabati na mahema ni kama wahuni tu, wanawaombea watu sawa je mnawaonyesha njia ipi wachukue ili maombi yakaimarishe hizo njia?
Mimi binafsi tangu udogo nimelelewa katika utoto mtakatifu, viwawa, vyama kadhaa vya kitume na Sasa Niko pamoja na UWAKA na huko kote nimefanikiwa kutanua fikra bila kuruka hatua.

Mafanikio hayana miujiza ni mchakato ndo maana waSwahili husema kazi na sala au mnataka Sasa na wakatoliki nao waanze kufanya promo kwenye maredio na tv "ooh njoo ufunguliwe, njoo upokee" upokee kutoka kwa nani aliyevitelekeza?

Mnaibiwa sana ndugu zetu kwa kupenda mkato mnadanganyana huko kuwa wakatoliki hawana upako, hawaombei kwahiyo mnataka faragha za huduma za kiroho nazo ziambatane makamera na voice tapes si ndiyo? Huo ni uhuni na uigiza tu kama wa akina mkojani?
Sisi tuna akili kuliko nyie ndo maana hatuwezi kufanana njia
 
Ukichunguza kwa makini viongozi wa kikatoliki ni wanyonyaji wakubwa, angalia wanavyotumia jumuiya ndogo katika kukamua watu bila huruma.
 
Ukisikiliza mahubili ya maaskofu wa kanisa katoliki au mapadre, wanapiga vita sana wachungaji wanaowaombea watu kufanikiw kifedha au maisha kiujumla. Kwa sasa maaskofu wote wa katoliki wamemlia kolabo mwamposa. Mahubili yote ni yeye.

Wanaponda sana kwamba kwa nini anawaombea watu wafanikiwe. Na watu wanazidi kumiminika sana kwake which means wanaponywa na wanafaidika.

Ushauri wangu kwa maaskofu au mapadre, hubirini injili ya kweli na watu watawafuata msitumie nguvu mtaaibika
Hivi kupata pesa kunatokana na kuombewa, au kufanya kazi? Mbona mchungaji akitaka gari anachangiwa lakini muumini aliyechangia gari la mchungaji, yeye akitaka gari anaombewa? Ule ujinga wa mume wa kisurisuri unauelewa? Ule ujinga wa I RECEIVE unadhani utapata mafanikio kiuchumi?
 
Ukisikiliza mahubili ya maaskofu wa kanisa katoliki au mapadre, wanapiga vita sana wachungaji wanaowaombea watu kufanikiw kifedha au maisha kiujumla. Kwa sasa maaskofu wote wa katoliki wamemlia kolabo mwamposa. Mahubili yote ni yeye.

Wanaponda sana kwamba kwa nini anawaombea watu wafanikiwe. Na watu wanazidi kumiminika sana kwake which means wanaponywa na wanafaidika.

Ushauri wangu kwa maaskofu au mapadre, hubirini injili ya kweli na watu watawafuata msitumie nguvu mtaaibika
Mtumikie muumba wako kwa roho na kwl hzo sjui Mungu anagawa utajr hyo hmnaga watu wafanye kaz kwa bdii na maarfa nyng hzo kuombewa kuwa bilionea sahau nkupotezeana mda wanaambiwa ukwl Yesu akuja dunian kuhubr utajr wala umaskn nkuhubr habar njema ya neno la uzma wa mbingun hz lakna mamposa mafuta sjui imetoka wap
 
Hivi kupata pesa kunatokana na kuombewa, au kufanya kazi? Mbona mchungaji akitaka gari anachangiwa lakini muumini aliyechangia gari la mchungaji, yeye akitaka gari anaombewa? Ule ujinga wa mume wa kisurisuri unauelewa? Ule ujinga wa I RECEIVE unadhani utapata mafanikio kiuchumi?
Shida ni kwamba kanisa katiliki linasisitiza umaskini kama ambavyo jpm alisisitiza watu kuwa wanyonge.
 
Mtumikie muumba wako kwa roho na kwl hzo sjui Mungu anagawa utajr hyo hmnaga watu wafanye kaz kwa bdii na maarfa nyng hzo kuombewa kuwa bilionea sahau nkupotezeana mda wanaambiwa ukwl Yesu akuja dunian kuhubr utajr wala umaskn nkuhubr habar njema ya neno la uzma wa mbingun hz lakna mamposa mafuta sjui imetoka wap
Kuna watu wanaombewa wanapata utajari na hali yao inabadilika kabisa. Mfano mimi
 
Back
Top Bottom