Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
We jamaa bhana......aliekuambia utajiri lazima uwe na uhusiano na Shetani ni nani ?...hata wafuasi wa Kristo wameahidiwa baraka na Utajiri.Shetani alimjaribu Yesu kupitia utajiri. Kuna uhusiano mkubwa kati ya utajiri na shetani upande mmoja; na ufukara, msalaba na Kristu upande mwingine.
2 Wakorintho 8:9
Maana mmejua neema ya Bwana wetu Yesu Kristo, jinsi alivyokuwa maskini kwa ajili yenu, ingawa alikuwa tajiri, ili kwamba ninyi mpate kuwa matajiri kwa umaskini wake.