Jumapili iliyopota mapadre na maaskofu wote walimhuniri mwamposa tu.Wakatoliki wapo busy na Mambo Yao tu, huwezi Kuta wanamzungumzia mtu,
Jamaa anachukua kondoo za watu lazima wamjie juu.Ukisikiliza mahubili ya maaskofu wa kanisa katoliki au mapadre, wanapiga vita sana wachungaji wanaowaombea watu kufanikiw kifedha au maisha kiujumla. Kwa sasa maaskofu wote wa katoliki wamemlia kolabo mwamposa. Mahubili yote ni yeye.
Wanaponda sana kwamba kwa nini anawaombea watu wafanikiwe. Na watu wanazidi kumiminika sana kwake which means wanaponywa na wanafaidika.
Ushauri wangu kwa maaskofu au mapadre, hubirini injili ya kweli na watu watawafuata msitumie nguvu mtaaibika
Kama Yesu alisema"nenda gawa ulicho nacho kwa masikini na unifuate"Kama alisema ni vigumu kwa tajiri kuuona ufalme wa mbingu kama ilivyo kamba ya kufungia nanga ya meli kupita kwenye tundu la sindano,Kama alisema watatoa pepo kwa jina langu lakini si wangu,Yesu hakuwa tajiri lakini kina ni Matajiri wa kutisha,Kama zile zile tabia za Waganga wa asili ndizo tunaziona kwa Manabii,basi Kila mmoja wetu achwe na kwa kuwa mauti ni lazima na hukumu ni lazima acha pumba na mchele utaonekana wakati huoUkisikiliza mahubili ya maaskofu wa kanisa katoliki au mapadre, wanapiga vita sana wachungaji wanaowaombea watu kufanikiw kifedha au maisha kiujumla. Kwa sasa maaskofu wote wa katoliki wamemlia kolabo mwamposa. Mahubili yote ni yeye.
Wanaponda sana kwamba kwa nini anawaombea watu wafanikiwe. Na watu wanazidi kumiminika sana kwake which means wanaponywa na wanafaidika.
Ushauri wangu kwa maaskofu au mapadre, hubirini injili ya kweli na watu watawafuata msitumie nguvu mtaaibika
Ulihudhuria ibada makanisa mangapi?Jumapili iliyopota mapadre na maaskofu wote walimhuniri mwamposa tu.
Nilisikiliza kipitia radio maria na tumaini mosa tano zote zinamwongelea mwamposaUlihudhuria ibada makanisa mangapi?
Hivi kupata pesa kunatokana na kuombewa, au kufanya kazi? Mbona mchungaji akitaka gari anachangiwa lakini muumini aliyechangia gari la mchungaji, yeye akitaka gari anaombewa? Ule ujinga wa mume wa kisurisuri unauelewa? Ule ujinga wa I RECEIVE unadhani utapata mafanikio kiuchumi?Ukisikiliza mahubili ya maaskofu wa kanisa katoliki au mapadre, wanapiga vita sana wachungaji wanaowaombea watu kufanikiw kifedha au maisha kiujumla. Kwa sasa maaskofu wote wa katoliki wamemlia kolabo mwamposa. Mahubili yote ni yeye.
Wanaponda sana kwamba kwa nini anawaombea watu wafanikiwe. Na watu wanazidi kumiminika sana kwake which means wanaponywa na wanafaidika.
Ushauri wangu kwa maaskofu au mapadre, hubirini injili ya kweli na watu watawafuata msitumie nguvu mtaaibika
Mtumikie muumba wako kwa roho na kwl hzo sjui Mungu anagawa utajr hyo hmnaga watu wafanye kaz kwa bdii na maarfa nyng hzo kuombewa kuwa bilionea sahau nkupotezeana mda wanaambiwa ukwl Yesu akuja dunian kuhubr utajr wala umaskn nkuhubr habar njema ya neno la uzma wa mbingun hz lakna mamposa mafuta sjui imetoka wapUkisikiliza mahubili ya maaskofu wa kanisa katoliki au mapadre, wanapiga vita sana wachungaji wanaowaombea watu kufanikiw kifedha au maisha kiujumla. Kwa sasa maaskofu wote wa katoliki wamemlia kolabo mwamposa. Mahubili yote ni yeye.
Wanaponda sana kwamba kwa nini anawaombea watu wafanikiwe. Na watu wanazidi kumiminika sana kwake which means wanaponywa na wanafaidika.
Ushauri wangu kwa maaskofu au mapadre, hubirini injili ya kweli na watu watawafuata msitumie nguvu mtaaibika
Shida ni kwamba kanisa katiliki linasisitiza umaskini kama ambavyo jpm alisisitiza watu kuwa wanyonge.Hivi kupata pesa kunatokana na kuombewa, au kufanya kazi? Mbona mchungaji akitaka gari anachangiwa lakini muumini aliyechangia gari la mchungaji, yeye akitaka gari anaombewa? Ule ujinga wa mume wa kisurisuri unauelewa? Ule ujinga wa I RECEIVE unadhani utapata mafanikio kiuchumi?
Kuna watu wanaombewa wanapata utajari na hali yao inabadilika kabisa. Mfano mimiMtumikie muumba wako kwa roho na kwl hzo sjui Mungu anagawa utajr hyo hmnaga watu wafanye kaz kwa bdii na maarfa nyng hzo kuombewa kuwa bilionea sahau nkupotezeana mda wanaambiwa ukwl Yesu akuja dunian kuhubr utajr wala umaskn nkuhubr habar njema ya neno la uzma wa mbingun hz lakna mamposa mafuta sjui imetoka wap