Gol D Roger
JF-Expert Member
- Sep 16, 2023
- 2,316
- 6,082
Ngoja tu nianze kwa kusema, This is all "Allegedly".
Observation yangu ni kwamba vijana wengi wa kataa ndoa asilimia kubwa ni vijana wa kikristo, au wana background ya kikristo au ni atheists.
Yes kila mtu ana experience zake but kwa mm, watu ambao nime interact nao(kweny mada za ndoa na mahusiano) watu ambao hawana imani au hawamini katika taasisi ya ndoa, karibia wote ni wakristo, ngoja tu niseme ukweli, sio "karibia wote", wote ni wakristo, sijajua kwa experience yenu, but for me huo ndio uhalisia.
Mimi ni mkristo na hii trend inanifikirisha sana, why is this so??
Je, ni malezi ya wazazi wa kikristo?
Je, ni mafundisho ya kikristo??
Ni kitu gani kimechangia kuwa hivi?
Katika vitu ambavyo hawa wenzetu waislamu nawapongeza sana, ni kwamba bado wana imani sana na taasisi ya ndoa, ni nadra sana kukuta kijana wa kiislamu anakwambia hatooa au haamini katika ndoa, au anasema "ndoa ni utapeli", wapo very optimistic kweny maswala ya ndoa, na wengi wao wanatamani kuoa na kuolewa mapema.
Kama una idea yoyote ebu tuambizane kwann hii ipo hivi?
Angalizo;
Sina data wala takwimu yoyote, ni kitu tu ambacho nimeki-observe kutoka kwa ndugu, jamaa na marafiki.
Observation yangu ni kwamba vijana wengi wa kataa ndoa asilimia kubwa ni vijana wa kikristo, au wana background ya kikristo au ni atheists.
Yes kila mtu ana experience zake but kwa mm, watu ambao nime interact nao(kweny mada za ndoa na mahusiano) watu ambao hawana imani au hawamini katika taasisi ya ndoa, karibia wote ni wakristo, ngoja tu niseme ukweli, sio "karibia wote", wote ni wakristo, sijajua kwa experience yenu, but for me huo ndio uhalisia.
Mimi ni mkristo na hii trend inanifikirisha sana, why is this so??
Je, ni malezi ya wazazi wa kikristo?
Je, ni mafundisho ya kikristo??
Ni kitu gani kimechangia kuwa hivi?
Katika vitu ambavyo hawa wenzetu waislamu nawapongeza sana, ni kwamba bado wana imani sana na taasisi ya ndoa, ni nadra sana kukuta kijana wa kiislamu anakwambia hatooa au haamini katika ndoa, au anasema "ndoa ni utapeli", wapo very optimistic kweny maswala ya ndoa, na wengi wao wanatamani kuoa na kuolewa mapema.
Kama una idea yoyote ebu tuambizane kwann hii ipo hivi?
Angalizo;
Sina data wala takwimu yoyote, ni kitu tu ambacho nimeki-observe kutoka kwa ndugu, jamaa na marafiki.